LGE2024 Wapinzani lazima wakubali kwamba Uchaguzi umekwisha

LGE2024 Wapinzani lazima wakubali kwamba Uchaguzi umekwisha

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Kama Wapinzani wakiendelea kulalamika basi wajue uvumilivu wa Serikali utafika mwisho halafu jambo baya litatokea.

Wapinzani wajikite katika Uchaguzi wa mwaka kesho.

Kama lipo tatizo lolote katika Uchaguzi huu,basi CCM inaweza kufanya internal review.

CCM inaweza kujipeleleza
Wapinzani wanashindwa katika hizi chaguzi kwa sababu hawapendani wao kwa wao.

Tazama yule dada aliyepigwa akasingizia Dola kumbe alikuwa amefumaniwa.

Umoja na upendo katika Chama ni kila kitu. Lakini CHADEMA always ugomvi wao unaongezeka maradufu siku ya Uchaguzi inapozidi kukaribia .

Ndio ushauri wangu isije ikatokea kitu mbaya.
 
Kama Wapinzani wakiendelea kulalamika basi wajue uvumilivu wa Serikali utafika mwisho halafu jambo baya litatokea.
Wapinzani wajikite katika Uchaguzi wa mwaka kesho.
Kama lipo tatizo lolote katika Uchaguzi huu,basi CCM inaweza kufanya internal review. CCM inaweza kujipeleleza
Wapinzani wanashindwa katika hizi chaguzi kwa sababu hawapendani wao kwa wao.
Tazama yule dada aliyepigwa akasingizia Dola kumbe alikuwa amefumaniwa.
Umoja na upendo katika Chama ni kila kitu. Lakini Chadema always ugomvi wao unaongezeka maradufu siku ya Uchaguzi inapozidi kukaribia .
Ndio ushauri wangu isije ikatokea kitu mbaya.

Umekunywa kinywaji gani mtoto wa baba wa Taifa?
Nimetupa jiwe gizani.
 
Tuna Injili,tuna Sunnah ya Mtume,tuna Imam Maliki,Imam Hanafi,Imam Shafii,Imam Hanbali, kwa nini tuweke kando sh.bilioni chache kujadili Katiba Mpya.
 
Kama Wapinzani wakiendelea kulalamika basi wajue uvumilivu wa Serikali utafika mwisho halafu jambo baya litatokea.

Wapinzani wajikite katika Uchaguzi wa mwaka kesho.

Kama lipo tatizo lolote katika Uchaguzi huu,basi CCM inaweza kufanya internal review.

CCM inaweza kujipeleleza
Wapinzani wanashindwa katika hizi chaguzi kwa sababu hawapendani wao kwa wao.

Tazama yule dada aliyepigwa akasingizia Dola kumbe alikuwa amefumaniwa.

Umoja na upendo katika Chama ni kila kitu. Lakini CHADEMA always ugomvi wao unaongezeka maradufu siku ya Uchaguzi inapozidi kukaribia .

Ndio ushauri wangu isije ikatokea kitu mbaya.
Unaandika upuuzi mkuu. ubaya gani watafanya ambao hawajaufanya. Mimi naona Kwanza kulalamika tu haitoshi inapaswa ni vitendo viwepo.
 
Kama Wapinzani wakiendelea kulalamika basi wajue uvumilivu wa Serikali utafika mwisho halafu jambo baya litatokea.

Wapinzani wajikite katika Uchaguzi wa mwaka kesho.

Kama lipo tatizo lolote katika Uchaguzi huu,basi CCM inaweza kufanya internal review.

CCM inaweza kujipeleleza
Wapinzani wanashindwa katika hizi chaguzi kwa sababu hawapendani wao kwa wao.

Tazama yule dada aliyepigwa akasingizia Dola kumbe alikuwa amefumaniwa.

Umoja na upendo katika Chama ni kila kitu. Lakini CHADEMA always ugomvi wao unaongezeka maradufu siku ya Uchaguzi inapozidi kukaribia .

Ndio ushauri wangu isije ikatokea kitu mbaya.
Unawakubalishaje wakati wanaona haujaisha hadi uishe.
 
CCM sio wa kutolewa madarakani na vimtu lainilaini.Mnakamata kura feki na bado mnakubali kuendelea na uchaguzi!.
 
Kama Wapinzani wakiendelea kulalamika basi wajue uvumilivu wa Serikali utafika mwisho halafu jambo baya litatokea.

Wapinzani wajikite katika Uchaguzi wa mwaka kesho.

Kama lipo tatizo lolote katika Uchaguzi huu,basi CCM inaweza kufanya internal review.

CCM inaweza kujipeleleza
Wapinzani wanashindwa katika hizi chaguzi kwa sababu hawapendani wao kwa wao.

Tazama yule dada aliyepigwa akasingizia Dola kumbe alikuwa amefumaniwa.

Umoja na upendo katika Chama ni kila kitu. Lakini CHADEMA always ugomvi wao unaongezeka maradufu siku ya Uchaguzi inapozidi kukaribia .

Ndio ushauri wangu isije ikatokea kitu mbaya.
Kweli kabisa, hata yule Katibu wa sisiemu Iringa naye ameuwawa na watu wasiojulikana kwa sababu hizo hizo, huyo mwenyekiti wa ccm chunya naye atakuwa amefumaniwa, nchi ina mambo mengi hao waliokufa wamekufa. Kazi iendelee,

et ccm wafanye internal review kwamba wao ndio wenye mamlaka ya kusimamia uchaguzi na kutatua changamoto za uchaguzi.... kama huna cha kuandika kaa kimya
 
Kama Wapinzani wakiendelea kulalamika basi wajue uvumilivu wa Serikali utafika mwisho halafu jambo baya litatokea.

Wapinzani wajikite katika Uchaguzi wa mwaka kesho.

Kama lipo tatizo lolote katika Uchaguzi huu,basi CCM inaweza kufanya internal review.

CCM inaweza kujipeleleza
Wapinzani wanashindwa katika hizi chaguzi kwa sababu hawapendani wao kwa wao.

Tazama yule dada aliyepigwa akasingizia Dola kumbe alikuwa amefumaniwa.

Umoja na upendo katika Chama ni kila kitu. Lakini CHADEMA always ugomvi wao unaongezeka maradufu siku ya Uchaguzi inapozidi kukaribia .

Ndio ushauri wangu isije ikatokea kitu mbaya.
Mtoto wa kiume unajilegeeeeza unataka nini?
 
Kama Wapinzani wakiendelea kulalamika basi wajue uvumilivu wa Serikali utafika mwisho halafu jambo baya litatokea.

Wapinzani wajikite katika Uchaguzi wa mwaka kesho.

Kama lipo tatizo lolote katika Uchaguzi huu,basi CCM inaweza kufanya internal review.

CCM inaweza kujipeleleza
Wapinzani wanashindwa katika hizi chaguzi kwa sababu hawapendani wao kwa wao.

Tazama yule dada aliyepigwa akasingizia Dola kumbe alikuwa amefumaniwa.

Umoja na upendo katika Chama ni kila kitu. Lakini CHADEMA always ugomvi wao unaongezeka maradufu siku ya Uchaguzi inapozidi kukaribia .

Ndio ushauri wangu isije ikatokea kitu mbaya.
Principle moja ya maisha hata wewe uitumie kwenye maisha yako.

Usimsamehe mtu kama hajaomba msamaha na kufanya reconciliation na wewe. Kila mtu atalipa madhambi yake kwa usawa ule ule uliotumia kuufanya. Usijipe umuhimu wa kutoa msamaha na kusahau kama mtendaji kapuuzia. Hii itaponya moyo wako mambo ya hovyo yasijirudie maishani mwako.

Chukua hiyo.
 
Kama Wapinzani wakiendelea kulalamika basi wajue uvumilivu wa Serikali utafika mwisho halafu jambo baya litatokea.

Wapinzani wajikite katika Uchaguzi wa mwaka kesho.

Kama lipo tatizo lolote katika Uchaguzi huu,basi CCM inaweza kufanya internal review.

CCM inaweza kujipeleleza
Wapinzani wanashindwa katika hizi chaguzi kwa sababu hawapendani wao kwa wao.

Tazama yule dada aliyepigwa akasingizia Dola kumbe alikuwa amefumaniwa.

Umoja na upendo katika Chama ni kila kitu. Lakini CHADEMA always ugomvi wao unaongezeka maradufu siku ya Uchaguzi inapozidi kukaribia .

Ndio ushauri wangu isije ikatokea kitu mbaya.
ushauri kuntu
P
 
Kama Wapinzani wakiendelea kulalamika basi wajue uvumilivu wa Serikali utafika mwisho halafu jambo baya litatokea.

Wapinzani wajikite katika Uchaguzi wa mwaka kesho.

Kama lipo tatizo lolote katika Uchaguzi huu,basi CCM inaweza kufanya internal review.

CCM inaweza kujipeleleza
Wapinzani wanashindwa katika hizi chaguzi kwa sababu hawapendani wao kwa wao.

Tazama yule dada aliyepigwa akasingizia Dola kumbe alikuwa amefumaniwa.

Umoja na upendo katika Chama ni kila kitu. Lakini CHADEMA always ugomvi wao unaongezeka maradufu siku ya Uchaguzi inapozidi kukaribia .

Ndio ushauri wangu isije ikatokea kitu mbaya.
CCM ndio inaongoza kwa chuki na fitna. Kea taarifa yako tu ni kuwa madhabi yote mliyowafanyia wapinzani wakati wa uchaguzi wa Serikali za mitaa mtafanyiana ninyi kwa ninyi mwaka kesho wakati wa kura za maoni. Mtu akiziea kula nyama za watu hawezi kuacha. Atamla hadi mwanae.
 
Back
Top Bottom