Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
- Thread starter
-
- #201
Kuutaka urais sio kukubalika kwa wananchi. Tumia akiri wewe bwege. Ametekeleza ilani vizuri ndio maana wamemwachia. Na huu ni utamaduni wa Ccm.CCM wangeruhusu form ya Urais ichukuliwe kidemokrasia kama Zanzibar idadi ya watia nia ya Urais ingeweza kufika hata 500 hata kama wangesema kuchukua form ni tshs milion 10 au zaidi, huko CCM kuna watu wanautaka Urais kuliko hata mtukufu mwenyewe.
Wewe mbweha unatumia nini Mbona Akili huna hata punje? au ukivuta Bangi unajiona Akili zimekuja kwako? Mbowe hajang’ang’ania Uenyekiti chaguzi huwa huru huchaguliwa na wananchi wanaipenda chadema ndiyo maana mmeamua kuwabambikia kesi baada ya kushindwa kila mbinu zenu za kishamba, Utamaduni gani wa CCM? Utamaduni wa kupitisha jina moja? Utamaduni wa kuzuia wengine kuchukua form kibabe? Utamaduni wa CCM haufanyi kazi Zanzibar? Utamaduni wa CCM ni kwa Tanganyika pekee? Ukimaliza kuvuta Bangi utulie Bangi ikikuisha kichwani ndipo unijibuKuutaka urais sio kukubalika kwa wananchi. Tumia akiri wewe bwege. Ametekeleza ilani vizuri ndio maana wamemwachia. Na huu ni utamaduni wa Ccm.
Kama mna akili mgemuuliza mbowe kwa nini ameg'ag'ania uenyekiti wa kudumu? Hiyo ni demokrasia?
Hatuwezi kumwachia nguruwe shamba la mihogo kisa nyama yake ni tamu.Kuna tatizo la kufikiri kwa kutumia akili za kawaida ndani ya vyama vya upinzani hapa Tanzania. Sababu kwa akili za kawaida tu unaweza kupata uthubutu upi wa kupambana na rais kama Magufuli?
Chama Cha Mapinduzi kina misingi imara na thabiti ambayo kimekuwa kikiisimamia tokea kuanzishwa kwake. Na moja ya misingi ni usawa na haki kwa wote. Kwa ujumla kwa CCM binadamu wote ni sawa.
Mwaka 2015 alipopewa ridhaa ya kuwa mgombea wa CCM ni dhahiri kuwa CCM ilimpa kazi ya kutekeleza mambo muhimu kwa watanzania.
JPM ametekeleza mambo makubwa kwa muda mfupi na hii ni kwa sababu anaongoza kwa kufuata misingi ya CCM.
Aliahidi atajenga SGR kipande cha kwanza Dar to Moro kitakamilika hivi karibuni. Aliahidi kujenga JNHPP na ametekeleza na mradi huu ukikamilika utakuwa na manufaa kwa watanzania wote. Aliaahidi kuimarisha sekta ya afya na elimu na yote watanzania wameshuhudia nini kimefanyika.
Kwa ujumla Tanzania ina rais mchapa kazi ambae akiahidi kitu kwa manufaa ya watanzania lazima atekeleze.
Sasa vyama vya upinzani kama Chadema ambavyo hata kuongoza majimbo na kata ni tatizo inakuwaje wanathubutu kuchukua fomu na kutaka kuweka mgombea wa kupambana na rais kama Magufuli?
Chama kama Chadema ambacho hakiwezi kusimamia ruzuku ya ya mil 360, kitaweza vipi kuwa na rais ambae atawatekelezea maendekeo watanzania?
Nani kakuambia nimehama? Na mtapambana na JPM wakati wagombea wenu hata udiwani hawawezi kupata?Hatuwezi kumwachia nguruwe shamba la mihogo kisa nyama yake ni tamu.
Hv umehama lini NCCR?
Nakwambia kutokuwa na mkuki siyo sababu ya kumuacha nguruwe atawale shamba la mihogoNani kakuambia nimehama? Na mtapambana na JPM wakati wagombea wenu hata udiwani hawawezi kupata?
Utamdhibiti vipi?Nakwambia kutokuwa na mkuki siyo sababu ya kumuacha nguruwe atawale shamba la mihogo
Hata marungu unampiga na mawe ikibidiUtamdhibiti vipi?
Wewe Akili huna unawezaje kujua chadema wanatafuna ruzuku wakati ruzuku ya CCM ndiyo inatafunwa kwa kazi haramu hujaonaMh... Kwa chama kama Chadema! Hakuna mwenye akili atawawaamini. Mnatafuna ruzuku kama mnakula karanga.
Mwaka huu noma tupu. Chadema mmefeli vibaya sana.Hata marungu unampiga na mawe ikibidi
Subiri mpandishwe mahakamani ndio uone.Wewe Akili huna unawezaje kujua chadema wanatafuna ruzuku wakati ruzuku ya CCM ndiyo inatafunwa kwa kazi haramu hujaona
Kama nikweli unayosema kwanini mnawaeletea bunduki wapinzani wakifanya siasa zao ...Kuna tatizo la kufikiri kwa kutumia akili za kawaida ndani ya vyama vya upinzani hapa Tanzania. Sababu kwa akili za kawaida tu unaweza kupata uthubutu upi wa kupambana na rais kama Magufuli?
Chama Cha Mapinduzi kina misingi imara na thabiti ambayo kimekuwa kikiisimamia tokea kuanzishwa kwake. Na moja ya misingi ni usawa na haki kwa wote. Kwa ujumla kwa CCM binadamu wote ni sawa.
Mwaka 2015 alipopewa ridhaa ya kuwa mgombea wa CCM ni dhahiri kuwa CCM ilimpa kazi ya kutekeleza mambo muhimu kwa watanzania.
JPM ametekeleza mambo makubwa kwa muda mfupi na hii ni kwa sababu anaongoza kwa kufuata misingi ya CCM.
Aliahidi atajenga SGR kipande cha kwanza Dar to Moro kitakamilika hivi karibuni. Aliahidi kujenga JNHPP na ametekeleza na mradi huu ukikamilika utakuwa na manufaa kwa watanzania wote. Aliaahidi kuimarisha sekta ya afya na elimu na yote watanzania wameshuhudia nini kimefanyika.
Kwa ujumla Tanzania ina rais mchapa kazi ambae akiahidi kitu kwa manufaa ya watanzania lazima atekeleze.
Sasa vyama vya upinzani kama Chadema ambavyo hata kuongoza majimbo na kata ni tatizo inakuwaje wanathubutu kuchukua fomu na kutaka kuweka mgombea wa kupambana na rais kama Magufuli?
Chama kama Chadema ambacho hakiwezi kusimamia ruzuku ya ya mil 360, kitaweza vipi kuwa na rais ambae atawatekelezea maendekeo watanzania?
Kwani magufuli kafanya nini kipya? maana tunaona mipovu lkn hamtuambiiWanaanchi waaamue kwa wagombea kama hawa wa Chadema kupambana na JPM? Bora wangekaa kando kuliko kupoteza muda
Kuna tatizo la kufikiri kwa kutumia akili za kawaida ndani ya vyama vya upinzani hapa Tanzania. Sababu kwa akili za kawaida tu unaweza kupata uthubutu upi wa kupambana na rais kama Magufuli?
Chama Cha Mapinduzi kina misingi imara na thabiti ambayo kimekuwa kikiisimamia tokea kuanzishwa kwake. Na moja ya misingi ni usawa na haki kwa wote. Kwa ujumla kwa CCM binadamu wote ni sawa.
Mwaka 2015 alipopewa ridhaa ya kuwa mgombea wa CCM ni dhahiri kuwa CCM ilimpa kazi ya kutekeleza mambo muhimu kwa watanzania.
JPM ametekeleza mambo makubwa kwa muda mfupi na hii ni kwa sababu anaongoza kwa kufuata misingi ya CCM.
Aliahidi atajenga SGR kipande cha kwanza Dar to Moro kitakamilika hivi karibuni. Aliahidi kujenga JNHPP na ametekeleza na mradi huu ukikamilika utakuwa na manufaa kwa watanzania wote. Aliaahidi kuimarisha sekta ya afya na elimu na yote watanzania wameshuhudia nini kimefanyika.
Kwa ujumla Tanzania ina rais mchapa kazi ambae akiahidi kitu kwa manufaa ya watanzania lazima atekeleze.
Sasa vyama vya upinzani kama Chadema ambavyo hata kuongoza majimbo na kata ni tatizo inakuwaje wanathubutu kuchukua fomu na kutaka kuweka mgombea wa kupambana na rais kama Magufuli?
Chama kama Chadema ambacho hakiwezi kusimamia ruzuku ya ya mil 360, kitaweza vipi kuwa na rais ambae atawatekelezea maendekeo watanzania?
Mgonjwa mtambuka ya akiliKuna tatizo la kufikiri kwa kutumia akili za kawaida ndani ya vyama vya upinzani hapa Tanzania. Sababu kwa akili za kawaida tu unaweza kupata uthubutu upi wa kupambana na rais kama Magufuli?
Chama Cha Mapinduzi kina misingi imara na thabiti ambayo kimekuwa kikiisimamia tokea kuanzishwa kwake. Na moja ya misingi ni usawa na haki kwa wote. Kwa ujumla kwa CCM binadamu wote ni sawa.
Mwaka 2015 alipopewa ridhaa ya kuwa mgombea wa CCM ni dhahiri kuwa CCM ilimpa kazi ya kutekeleza mambo muhimu kwa watanzania.
JPM ametekeleza mambo makubwa kwa muda mfupi na hii ni kwa sababu anaongoza kwa kufuata misingi ya CCM.
Aliahidi atajenga SGR kipande cha kwanza Dar to Moro kitakamilika hivi karibuni. Aliahidi kujenga JNHPP na ametekeleza na mradi huu ukikamilika utakuwa na manufaa kwa watanzania wote. Aliaahidi kuimarisha sekta ya afya na elimu na yote watanzania wameshuhudia nini kimefanyika.
Kwa ujumla Tanzania ina rais mchapa kazi ambae akiahidi kitu kwa manufaa ya watanzania lazima atekeleze.
Sasa vyama vya upinzani kama Chadema ambavyo hata kuongoza majimbo na kata ni tatizo inakuwaje wanathubutu kuchukua fomu na kutaka kuweka mgombea wa kupambana na rais kama Magufuli?
Chama kama Chadema ambacho hakiwezi kusimamia ruzuku ya ya mil 360, kitaweza vipi kuwa na rais ambae atawatekelezea maendekeo watanzania?
Kama mpaka siasa hujaona Kosa kubwa la Mbowe akiwa kubadili katiba na kuondoa ukomo wa Uongozi wa Uenyekiti ndani ya Chadema basi utakua unakosea sana kuilaumu CCM na Magufuli ambaye ameshika Urais wenye mamlaka makubwa sana kikatiba lakini mapaka sasa ameshatangaza zaidi ya Mara NNE kuwa hawabadili katiba kujiongezea muda.Wewe mbweha unatumia nini Mbona Akili huna hata punje? au ukivuta Bangi unajiona Akili zimekuja kwako? Mbowe hajang’ang’ania Uenyekiti chaguzi huwa huru huchaguliwa na wananchi wanaipenda chadema ndiyo maana mmeamua kuwabambikia kesi baada ya kushindwa kila mbinu zenu za kishamba, Utamaduni gani wa CCM? Utamaduni wa kupitisha jina moja? Utamaduni wa kuzuia wengine kuchukua form kibabe? Utamaduni wa CCM haufanyi kazi Zanzibar? Utamaduni wa CCM ni kwa Tanganyika pekee? Ukimaliza kuvuta Bangi utulie Bangi ikikuisha kichwani ndipo unijibu
Kuna tatizo la kufikiri kwa kutumia akili za kawaida ndani ya vyama vya upinzani hapa Tanzania. Sababu kwa akili za kawaida tu unaweza kupata uthubutu upi wa kupambana na rais kama Magufuli?
Chama Cha Mapinduzi kina misingi imara na thabiti ambayo kimekuwa kikiisimamia tokea kuanzishwa kwake. Na moja ya misingi ni usawa na haki kwa wote. Kwa ujumla kwa CCM binadamu wote ni sawa.
Mwaka 2015 alipopewa ridhaa ya kuwa mgombea wa CCM ni dhahiri kuwa CCM ilimpa kazi ya kutekeleza mambo muhimu kwa watanzania.
JPM ametekeleza mambo makubwa kwa muda mfupi na hii ni kwa sababu anaongoza kwa kufuata misingi ya CCM.
Aliahidi atajenga SGR kipande cha kwanza Dar to Moro kitakamilika hivi karibuni. Aliahidi kujenga JNHPP na ametekeleza na mradi huu ukikamilika utakuwa na manufaa kwa watanzania wote. Aliaahidi kuimarisha sekta ya afya na elimu na yote watanzania wameshuhudia nini kimefanyika.
Kwa ujumla Tanzania ina rais mchapa kazi ambae akiahidi kitu kwa manufaa ya watanzania lazima atekeleze.
Sasa vyama vya upinzani kama Chadema ambavyo hata kuongoza majimbo na kata ni tatizo inakuwaje wanathubutu kuchukua fomu na kutaka kuweka mgombea wa kupambana na rais kama Magufuli?
Chama kama Chadema ambacho hakiwezi kusimamia ruzuku ya ya mil 360, kitaweza vipi kuwa na rais ambae atawatekelezea maendekeo watanzania?
Nani kawazuia kuuona huo uzuri? Na hao wapinzani ni wazuri? Wanafaa kuongoza?Kwa hio wapinzani hawana haki ya kuona uzuri wa watu wengine isipokuwa wale unaowaona wewe niwazuri?
Nani kawazuia kuuona huo uzuri? Na hao wapinzani ni wazuri? Wanafaa kuongoza?