Uchaguzi 2020 Wapinzani mnatambua kabisa Rais Magufuli ni mtendaji, mchapa kazi na mtekelezaji mzuri. Bado hamuoni aibu kuchukua fomu za urais!

Kwahiyo kwa akili yako hiyo ya ngamia kwamba upinzani hawapaswi kugombea nafasi ya Uraisi kwa kigezo hicho mfu? hopeless kabisa wewe
Acha kufananisha akili ya ngamia na vitu vya kijinga mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…