Uchaguzi 2020 Wapinzani msimuamini sana Membe kwa yoyote atakayosema na kuyatenda kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu baadae mwaka huu

Kumbe somo la Lowassa,Sumaye&Co. halikutuingia vizuri?

Upuuzi ule wa 2015 ukirudiwa tena Chadema kinaenda kua 'kichwa cha mwendawazimu' milele.
Naona hutaki kunielewa kwa maksudi mkuu mng'ato.
Niliyoandika hapo yanahusiana vipi na ya 2015 kama sio kulazimisha unayoamini wewe yawe ninayopendekeza?
 
Membe hana tofauti na Lowassa
 
inshort sio mnafiki
 
Naona hutaki kunielewa kwa maksudi mkuu mng'ato.
Niliyoandika hapo yanahusiana vipi na ya 2015 kama sio kulazimisha unayoamini wewe yawe ninayopendekeza?
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Namuunga mkono, mleta mada, Membe haaminiki, ni muonga kwa Tabia, atawauza chama atakachojiunga nacho
Uko sawa kabisa kwa 100%.

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
 
Wewe kwenye saccos unamaamuzi gani? Mwenye saccos akipewa pesa kidogo tu anabadirisha gia angani pia utashangilia kama zuzu!!
 
Jasusi Mbobezi
 
Yeyote anayefanya siasa za upinzani akiwa ndani ya CCM ni mpinzani halisi.
Membe anayohaki ya kufanya siasa kupitia upinzani maana ameonyesha kuwa ni mpinzani halisi wa utawala huu dhalimu
 
Namuunga mkono, mleta mada, Membe haaminiki, ni muonga kwa Tabia, atawauza chama atakachojiunga nacho
Labda Membe bado anatumaini kupitia CCM ile ile kuingia Magogoni.
 
Wanaweza kabisa kumuacha aongee au atende atakavyo ili muamini kweli ni mwenzenu kumbe wana agenda zao, hivyo wapinzani wafanye kazi ya ziada kujua ukweli kuhusu Membe na misimamo yake kabla ya kumuamini kwa asilimia 100.
Kumgusa Membe ni kumgusa Kikwete ambaye ni mwenyekiti wa vikao vijavyo vya ccm Chimwaga , Magufuli mpaka muda huu hajui kama atapona , maana atakuwa nje ya vikao vya kumjadili , naamini atakatwa tu maana uborongaji wake hauna mfano , hiki ndicho kimefanya watekaji kumuogopa Membe
 
Hapana why now n not then ? Ya lowasa yametosha hatutaki wasaliti Tena.
 
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Uko sawa kabisa kwa 100%.

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Bado hukuelewa nilichoandika na ukani'quote.'

Hapa unazidi kujipoteza. Badala ya kutafuta 'mkirindi', ingekusaidia kama ungesoma tena niliyoandika, halafu uka'quote' bila ya kuelewa kilichoandikwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…