KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
"Then" when?Hapana why now n not then ? Ya lowasa yametosha hatutaki wasaliti Tena.
Hata ungeleta 'ujuaji' kiasi gani Membe wako ni 'takataka' tu.Bado hukuelewa nilichoandika na ukani'quote.'
Hapa unazidi kujipoteza. Badala ya kutafuta 'mkirindi', ingekusaidia kama ungesoma tena niliyoandika, halafu uka'quote' bila ya kuelewa kilichoandikwa.
Kwani wewe ndie CHADEMA au ni mali yako? Mbona unakuwa mpuuzi hivyo!Hata ungeleta 'ujuaji' kiasi gani Membe wako ni 'takataka' tu.
Na hana tofauti na wakina Lowassa&associates na hana msaada wowote ule kwa Chadema ila kama unampenda sana mchukue uende ukanywe nae chai.
Chadema ni mali ya mumeo so una haki ya kuandika upuuzi wako.Kwani wewe ndie CHADEMA au ni mali yako? Mbona unakuwa mpuuzi hivyo!
Tayari umekwishajionyesha ulivy mtupu kichwani. Sina sababu tena ya kuhangaika nawe.Chadema ni mali ya mumeo so una haki ya kuandika upuuzi wako.
Pamoja sana.Kaka.SALUMembe ndiye mgombea wa kiti cha Urais kupitia CCM mwaka huu ni suala la muda tu.
Jr[emoji769]
Bado mkuuHazijatoka kwani
Jr[emoji769]
Pita na 100 chap.Tayari umekwishajionyesha ulivy mtupu kichwani. Sina sababu tena ya kuhangaika nawe.
Mbona mnawaamini Lissu na Mbowe?ukichagua kumuamini mwana siasa. .ni sawa na kumuoa kahaba huku ukiweka imani kwamba atakua muaminifu katika ndoa yenu
Kama mlikuwa tayari kuungana na shetani kuiondoa CCM mnashindwa vipi kuungana na Member?Mwanasiasa ambae anaweza kujiamini kusema na kufanya lolote kwa lengo la kukosoa watawala waliopo madarakani bila hofu ya kushitakiwa,mali zake kutaifishwa au kunyang'anywa,n.k ni yule tu ambae wakati alipokuwa kwenye system, hakuwahi kutuhumiwa kufanya ufisadi,wizi,kujihusisha na rushwa,kujilimbikizia mali na vitendo vingine ambavyo ni kinyume na sheria za nchi.
Binafsi naamini Nyerer tu ndie aliekuwa na sifa hii na ndio maana aliweza kuwakosoa watawala bila hofu ya kuumbuliwa au kufanyiwa mizengwe ila kwa waliobaki, sijui kama yuko mwenye sifa ya aina hii au walau ya kufanana na sifa alizokuwa nazo Baba wa Taifa.
Kwa msingi huu,kama Membe ni mmojawapo ya watu wenye sifa kama za Mwalimu Nyerere,basi mnaweza kumuamini, vinginevyo, kuweni makini nae sana na mjiulize sana ujasiri huu anaouonyesha ni wa kweli au kuna kilicho nyuma yake kabla ya kufikiria kumpa nafasi yoyote katika vyama vyenu na hasa ya kuwa mgombea katika uchaguzi wa baadae mwaka huu iwapo ataonyesha ni ya kutaka kuhamia katika vyama vyenu.
Sometimes in life, it worth to be curious when others are satisfied,and to be dissatisfied, when other are curios.
Lakini wao walisema wako tayari hata kuungana na shetani mradi tu CCM iondokeAkili imeanza kuwaingia...
Hama kbs na ufie huko huko..shenz kbs
Huu sizani kama ni ukweli mwenyekiti si magufuli iweje akatwe?Kumgusa Membe ni kumgusa Kikwete ambaye ni mwenyekiti wa vikao vijavyo vya ccm Chimwaga , Magufuli mpaka muda huu hajui kama atapona , maana atakuwa nje ya vikao vya kumjadili , naamini atakatwa tu maana uborongaji wake hauna mfano , hiki ndicho kimefanya watekaji kumuogopa Membe
Unamtukana mtu aliyekuzidi akili, umaarufu,Pesa, Hadi ujinga kakupitaHata ungeleta 'ujuaji' kiasi gani Membe wako ni 'takataka' tu.
Na hana tofauti na wakina Lowassa&associates na hana msaada wowote ule kwa Chadema ila kama unampenda sana mchukue uende ukanywe nae chai.
CCM ndiyo shetani mwenyeweKama mlikuwa tayari kuungana na shetani kuiondoa CCM mnashindwa vipi kuungana na Member?
Na anapenda watu dizaini yako wazungu wanawaita 'asslickers'.Unamtukana mtu aliyekuzidi akili, umaarufu,Pesa, Hadi ujinga kakupita
Magufuli hatoongoza vikao vya uteuzi maana na yeye ni mgombeaHuu sizani kama ni ukweli mwenyekiti si magufuli iweje akatwe?