Uchaguzi 2020 Wapinzani msimuamini sana Membe kwa yoyote atakayosema na kuyatenda kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu baadae mwaka huu

Uchaguzi 2020 Wapinzani msimuamini sana Membe kwa yoyote atakayosema na kuyatenda kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu baadae mwaka huu

Hapana why now n not then ? Ya lowasa yametosha hatutaki wasaliti Tena.
"Then" when?

It is now because it is the season for doing it.

Wasaliti wapo kila sehemu, hata wengi waliomo ndani ya chama mazingira yanaporuhusu wanasaliti, kwani huyaoni yanayofanyika hata sasa?

The difference now, is that no one comes with a promise of a specific position in the party. Those who decide to come, must work to prove their worth before being rewarded for the outcomes of their work.

What is wrong with that?
 
Bado hukuelewa nilichoandika na ukani'quote.'

Hapa unazidi kujipoteza. Badala ya kutafuta 'mkirindi', ingekusaidia kama ungesoma tena niliyoandika, halafu uka'quote' bila ya kuelewa kilichoandikwa.
Hata ungeleta 'ujuaji' kiasi gani Membe wako ni 'takataka' tu.

Na hana tofauti na wakina Lowassa&associates na hana msaada wowote ule kwa Chadema ila kama unampenda sana mchukue uende ukanywe nae chai.
 
Hata ungeleta 'ujuaji' kiasi gani Membe wako ni 'takataka' tu.

Na hana tofauti na wakina Lowassa&associates na hana msaada wowote ule kwa Chadema ila kama unampenda sana mchukue uende ukanywe nae chai.
Kwani wewe ndie CHADEMA au ni mali yako? Mbona unakuwa mpuuzi hivyo!
 


Jr[emoji769]

IMG-20200608-WA0001.jpg
 
Mwanasiasa ambae anaweza kujiamini kusema na kufanya lolote kwa lengo la kukosoa watawala waliopo madarakani bila hofu ya kushitakiwa,mali zake kutaifishwa au kunyang'anywa,n.k ni yule tu ambae wakati alipokuwa kwenye system, hakuwahi kutuhumiwa kufanya ufisadi,wizi,kujihusisha na rushwa,kujilimbikizia mali na vitendo vingine ambavyo ni kinyume na sheria za nchi.

Binafsi naamini Nyerer tu ndie aliekuwa na sifa hii na ndio maana aliweza kuwakosoa watawala bila hofu ya kuumbuliwa au kufanyiwa mizengwe ila kwa waliobaki, sijui kama yuko mwenye sifa ya aina hii au walau ya kufanana na sifa alizokuwa nazo Baba wa Taifa.

Kwa msingi huu,kama Membe ni mmojawapo ya watu wenye sifa kama za Mwalimu Nyerere,basi mnaweza kumuamini, vinginevyo, kuweni makini nae sana na mjiulize sana ujasiri huu anaouonyesha ni wa kweli au kuna kilicho nyuma yake kabla ya kufikiria kumpa nafasi yoyote katika vyama vyenu na hasa ya kuwa mgombea katika uchaguzi wa baadae mwaka huu iwapo ataonyesha ni ya kutaka kuhamia katika vyama vyenu.

Sometimes in life, it worth to be curious when others are satisfied,and to be dissatisfied, when other are curios.
Kama mlikuwa tayari kuungana na shetani kuiondoa CCM mnashindwa vipi kuungana na Member?
 
Kumgusa Membe ni kumgusa Kikwete ambaye ni mwenyekiti wa vikao vijavyo vya ccm Chimwaga , Magufuli mpaka muda huu hajui kama atapona , maana atakuwa nje ya vikao vya kumjadili , naamini atakatwa tu maana uborongaji wake hauna mfano , hiki ndicho kimefanya watekaji kumuogopa Membe
Huu sizani kama ni ukweli mwenyekiti si magufuli iweje akatwe?
 
Hata ungeleta 'ujuaji' kiasi gani Membe wako ni 'takataka' tu.

Na hana tofauti na wakina Lowassa&associates na hana msaada wowote ule kwa Chadema ila kama unampenda sana mchukue uende ukanywe nae chai.
Unamtukana mtu aliyekuzidi akili, umaarufu,Pesa, Hadi ujinga kakupita
 
Back
Top Bottom