Uchaguzi 2020 Wapinzani msimuamini sana Membe kwa yoyote atakayosema na kuyatenda kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu baadae mwaka huu

Uchaguzi 2020 Wapinzani msimuamini sana Membe kwa yoyote atakayosema na kuyatenda kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu baadae mwaka huu

Mwanasiasa ambae anaweza kujiamini kusema na kufanya lolote kwa lengo la kukosoa watawala waliopo madarakani bila hofu ya kushitakiwa,mali zake kutaifishwa au kunyang'anywa,n.k ni yule tu ambae wakati alipokuwa kwenye system, hakuwahi kutuhumiwa kufanya ufisadi,wizi,kujihusisha na rushwa,kujilimbikizia mali na vitendo vingine ambavyo ni kinyume na sheria za nchi.

Binafsi naamini Nyerer tu ndie aliekuwa na sifa hii na ndio maana aliweza kuwakosoa watawala bila hofu ya kuumbuliwa au kufanyiwa mizengwe ila kwa waliobaki, sijui kama yuko mwenye sifa ya aina hii au walau ya kufanana na sifa alizokuwa nazo Baba wa Taifa.

Kwa msingi huu,kama Membe ni mmojawapo ya watu wenye sifa kama za Mwalimu Nyerere,basi mnaweza kumuamini, vinginevyo, kuweni makini nae sana na mjiulize sana ujasiri huu anaouonyesha ni wa kweli au kuna kilicho nyuma yake kabla ya kufikiria kumpa nafasi yoyote katika vyama vyenu na hasa ya kuwa mgombea katika uchaguzi wa baadae mwaka huu iwapo ataonyesha ni ya kutaka kuhamia katika vyama vyenu.

Sometimes in life, it worth to be curious when others are satisfied,and to be dissatisfied, when other are curios.
Subiri apeleke cheki kwa mwenyekiti kama watajali huu upuuzi wako uliouandika!
 
Nyie humu mnapiga kelele tu, alichukuliwa Lowassa kitu ambacho hakuna aliyefikiri kama ingewezekana na mwisho mkaishia kushangilia tu.

Hata Membe anaweza kwenda upinzani na akapewa nafasi hakuna linaloshindikana na nyie mtabaki kushangilia tu kama kawaida.
 
Mkuu 'denoo J', Membe anao msaada sana CHADEMA wakimtaka, na nawashawishi wamtake.

Kwani Lissu hawezi hata kumteua awe waziri baada ya kazi kubwa atakayokuwa ameifanya kwenye kampeni?

CHADEMA wakati huu ni wa kuwakaribisha kwa wingi, wote walioko ndani ya CCM wakiwa hawana furaha kutokana na chama chao kubinafsishwa na mtu mmoja. Waende CHADEMA wakafanye kazi, na uteuzi watapewa, kwani nafasi zitakuwepo nyingi zitakazohitaji kujazwa.
Membe ni CCM

PERIOD.
 
Mwanasiasa ambae anaweza kujiamini kusema na kufanya lolote kwa lengo la kukosoa watawala waliopo madarakani bila hofu ya kushitakiwa,mali zake kutaifishwa au kunyang'anywa,n.k ni yule tu ambae wakati alipokuwa kwenye system, hakuwahi kutuhumiwa kufanya ufisadi,wizi,kujihusisha na rushwa,kujilimbikizia mali na vitendo vingine ambavyo ni kinyume na sheria za nchi.

Binafsi naamini Nyerer tu ndie aliekuwa na sifa hii na ndio maana aliweza kuwakosoa watawala bila hofu ya kuumbuliwa au kufanyiwa mizengwe ila kwa waliobaki, sijui kama yuko mwenye sifa ya aina hii au walau ya kufanana na sifa alizokuwa nazo Baba wa Taifa.

Kwa msingi huu,kama Membe ni mmojawapo ya watu wenye sifa kama za Mwalimu Nyerere,basi mnaweza kumuamini, vinginevyo, kuweni makini nae sana na mjiulize sana ujasiri huu anaouonyesha ni wa kweli au kuna kilicho nyuma yake kabla ya kufikiria kumpa nafasi yoyote katika vyama vyenu na hasa ya kuwa mgombea katika uchaguzi wa baadae mwaka huu iwapo ataonyesha ni ya kutaka kuhamia katika vyama vyenu.

Sometimes in life, it worth to be curious when others are satisfied,and to be dissatisfied, when other are curios.
YEYOTE ANAYEIBOMOA CCM TUNAUNGANANAE
 
Nyie humu mnapiga kelele tu, alichukuliwa Lowassa kitu ambacho hakuna aliyefikiri kama ingewezekana na mwisho mkaishia kushangilia tu.

Hata Membe anaweza kwenda upinzani na akapewa nafasi hakuna linaloshindikana na nyie mtabaki kushangilia tu kama kawaida.
ANAYEIBOMOA CCM TUNAUNGANANAYE
 
Mkuu, hakuna sababu ya kumwogopa Membe, au yeyote atakayejitoa CCM na kutaka kusaidia juhudi za kukiangusha chama hicho.

Nina hakika watu hawa wapo wengi tu kwa sasa hivi.

Kinachotakiwa ni kwa upinzani kuwapa majukumu na malengo ya kazi zao za kuiangusha CCM bila ya kuwapa nafasi za uongozi ndani ya vyama vyao.

Malipo ni baada ya kazi, na sio kabla.

Yeyote atakayekubaliana na hili akaribishwe kwa mikono miwili na awezeshwe kufanya kazi zake kwa ufanisi.

Utakataaje msaada kama huo?
Uko sahihi
 
Mkuu, hakuna sababu ya kumwogopa Membe, au yeyote atakayejitoa CCM na kutaka kusaidia juhudi za kukiangusha chama hicho.

Nina hakika watu hawa wapo wengi tu kwa sasa hivi.

Kinachotakiwa ni kwa upinzani kuwapa majukumu na malengo ya kazi zao za kuiangusha CCM bila ya kuwapa nafasi za uongozi ndani ya vyama vyao.

Malipo ni baada ya kazi, na sio kabla.

Yeyote atakayekubaliana na hili akaribishwe kwa mikono miwili na awezeshwe kufanya kazi zake kwa ufanisi.

Utakataaje msaada kama huo?
nimeipenda hii "malipo ni baada ya kazi"
 
Mwanasiasa ambae anaweza kujiamini kusema na kufanya lolote kwa lengo la kukosoa watawala waliopo madarakani bila hofu ya kushitakiwa,mali zake kutaifishwa au kunyang'anywa,n.k ni yule tu ambae wakati alipokuwa kwenye system, hakuwahi kutuhumiwa kufanya ufisadi,wizi,kujihusisha na rushwa,kujilimbikizia mali na vitendo vingine ambavyo ni kinyume na sheria za nchi.

Binafsi naamini Nyerer tu ndie aliekuwa na sifa hii na ndio maana aliweza kuwakosoa watawala bila hofu ya kuumbuliwa au kufanyiwa mizengwe ila kwa waliobaki, sijui kama yuko mwenye sifa ya aina hii au walau ya kufanana na sifa alizokuwa nazo Baba wa Taifa.

Kwa msingi huu,kama Membe ni mmojawapo ya watu wenye sifa kama za Mwalimu Nyerere,basi mnaweza kumuamini, vinginevyo, kuweni makini nae sana na mjiulize sana ujasiri huu anaouonyesha ni wa kweli au kuna kilicho nyuma yake kabla ya kufikiria kumpa nafasi yoyote katika vyama vyenu na hasa ya kuwa mgombea katika uchaguzi wa baadae mwaka huu iwapo ataonyesha ni ya kutaka kuhamia katika vyama vyenu.

Sometimes in life, it worth to be curious when others are satisfied,and to be dissatisfied, when other are curios.

waendelee kuamini tu kama walivyomwamini Mzee wa Mabadiliko
 
Hama kbs na ufie huko huko..shenz kbs
Mkuu Kwenye matusi ndo huwa nashindwa kufurahishwa ,mbona Mimi sijakutukana mkuu? Unakwama wapi ndugu yangu kujadili bila kutukana mtu? Huwa sikatai kupingwa ila kumpinga mtu kwa kumshambulia kwa matusi huwa nasikitika sana

Mkuu jifunze kukosoa mawazo ya watu bila kutoa lugha zisizostaha,unadhani ukinitukana ndo utakuwa umebadili uhalisia?

Mbona Mimi nakuheshimu sana ,sasa wewe mbona kunikosea heshima?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Kwenye matusi ndo huwa nashindwa kufurahishwa ,mbona Mimi sijakutukana mkuu? Unakwama wapi ndugu yangu kujadili bila kutukana mtu? Huwa sikatai kupingwa ila kumpinga mtu kwa kumshambulia kwa matusi huwa nasikitika sana

Mkuu jifunze kukosoa mawazo ya watu bila kutoa lugha zisizostaha,unadhani ukinitukana ndo utakuwa umebadili uhalisia?

Mbona Mimi nakuheshimu sana ,sasa wewe mbona kunikosea heshima?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sorry Kama unadhani nimekutusi mkuu...
 
Back
Top Bottom