Wapinzani msimwamini Dkt. Slaa

Slaa ni Mzalendo, vijana waache kumnanga sana. Kwanza kakipigania chama sana kuliko watu wengi ambao walikuja wakaondoka.
Mzee kasaidia sana Watanzania kujua nini kinaendelea kwenye maridhiano,

Walikaa muda mrefu vikao Kwa vikao bila mrejesho Kwa umma Hadi Mzee huyo alipohoji akisaidiana na Lissu na Lema.
 
Waambie! Deep under cover na kiapo chake hatakisaliti. Baada ya gia nyingine kubuma .... upenyo unatafutwa kwa njia hii sasa?
 
Mzee kasaidia sana Watanzania kujua nini kinaendelea kwenye maridhiano,

Walikaa muda mrefu vikao Kwa vikao bila mrejesho Kwa umma Hadi Mzee huyo alipohoji akisaidiana na Lissu na Lema.
Mzee ni asset sana kwa upinzani. Inawezekana akawa na makando yake lakini nadhani mazuri yake na uwezo wake unafunika hayo mengine.
 
Ccm yenyewe waliomkata kwenye ugombea u Rais kwa sababu hizo hizo. Walimpokea kwa sherehe zilizoongozwa na mwenyekiti/Rais wa nchi, lumumba baada kumshawishi aihame Cdm. Hapo utasema Je ?!

Kwanini uione kosa la Cdm na si ya ccm inayoongoza nchi. Why double standard ?!
 
Mimi naongelea chadema kama chamba mbadala ya ccm. Hivyo kinapaswa kuwa kimenyooka sio kufanya yale ya ccm na ukigeugeu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…