Hao wapinzani ni wapi si hawa wanafiki kina Yericko Nyerere wameanzisha hadi mada wakimsifia mama?1. Umeeilewa mada?
2. Nini mchango wako katika maada hii
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Wapinzani na wanaharakati, andaeni maandamano ya amani kutaka uwazi wa mikataba ukiwemo wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo
Ni wajinga kweli!Bavicha na nyumbu KWA Sasa wapo tayari hata tuuzwe wakiamini wanamkomoa Mwendazake kumbe wanakomoa vizazi na vizazi vyao
Hao wapinzani ni wapi si hawa wanafiki kina Yericko Nyerere wameanzisha hadi mada wakimsifia mama?
Wapinzani wenyewe ni wapi hawa kina Malisa kila siku lazima waandike mada kusifia mama?
wakati magufuli anaukataa hadharani alianisha japo kwa mdomo,mapungufu yaliyopo mule.
sijui ni nani alitafuta mwekezaji yule,na kwa lengo gani!!
tillion 21 tsh ni pesa nyingi sana mtu kuwekeza halafu asiweke mazingira ya hiyo pesa kurudi.
magufuli ali sound logically zaidi.
bado ukweli wa uwekezaji huo una maswali mengi sana.
Yule mzee alitamani kuwa IGP, jaji mkuu, spika wa bunge nk. Ulitaka kuandamana mikwara mizito...Mh mbona Marehemu Magufuli hamkumfanyia hivi?
Si ndio hawa wapinzani wanaoshangilia kila tukio la siku hizi wakidhani wanamkomoa alie mbinguni?? Au mnapanga kuitisha maandamano ya kushangilia??1. Umeeilewa mada?
2. Nini mchango wako katika maada hii
ππππ
Wapinzani na wanaharakati, andaeni maandamano ya amani kutaka uwazi wa mikataba ukiwemo wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo
Vp we nyumbu unasemajeHuwa hamueleweki wala kueleweke
Wapinzani na wanahataka, andaeni maandamano ya amani kutaka uwazi wa mikataba ukiwemo wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo
Nyumba ni nyie mliotufikisha hapa huku mkienda kama kuku aliekaatwa kichwa.
Hata kwenye gesi ya Mtwara mlikuwa kama vipofu matokeo yake leo hii mnakuja kutuambia gesi hii ni ya mabeberu wakati mlikuwa mnashangilia na kugonga meza.
Pathetic and hopeless creatures!
Leo unalikataa jina lenu!Nyumbu ni nyie tena wa viwango vya juu.
Kuna umuhimu gani kujenga bandari mpya ? Kwanini tusiboreshe bandari zilizopo mtwara , tanga na DSM ?
Leo unalikataa jina lenu!
Ulichokiandika hapa ni tofauti kabisa na mada inayojadiliwa.Bavicha na nyumbu KWA Sasa wapo tayari hata tuuzwe wakiamini wanamkomoa Mwendazake kumbe wanakomoa vizazi na vizazi vyao
Mama akifanya jema lazima asifiwe, usiwageuze wengine mawe kama nyie.Hao wapinzani ni wapi si hawa wanafiki kina Yericko Nyerere wameanzisha hadi mada wakimsifia mama?
Wapinzani wenyewe ni wapi hawa kina Malisa kila siku lazima waandike mada kusifia mama?
Mkuu, achana na huyo MATAGA hajui hata anachosimamia bali yuko tu humu kuandika pumba.1. Umeeilewa mada?
2. Nini mchango wako katika maada hii
ππππ
Wapinzani na wanaharakati, andaeni maandamano ya amani kutaka uwazi wa mikataba ukiwemo wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo
Hivi kutamani na kuwa si vinatofautiana? Alitamani nini sasa?Yule mzee alitamani kuwa IGP, jaji mkuu, spika wa bunge nk. Ulitaka kuandamana mikwara mizito...