Wapinzani naona vijana wa Lumumba wanawaonea huruma sana kwa ajili ya Membe!

Wapinzani naona vijana wa Lumumba wanawaonea huruma sana kwa ajili ya Membe!

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
2,577
Reaction score
4,637
Pale inapotokea adui anapokwambia kwenye mzinga uliojaa asali kuwa hakuna NYUKI, wewe ingiza tu.. .

Usimsikilize hakutakii mema. ..

Asijikute anakushauri...

Mwanzo walimsema sana Mbowe mbona haachii UENYEKITI. .. Kiasi kwamba hadi wanachadema wakakaa chemba kufikiria "eti kweli mbona mwenyekiti haachii muda mrefu.. ." hadi mkatolewa kwenye hoja ya msingi.. .

Wakamsema Zitto kabwe eti oooh msaliti, wakawashirikisha hadi baadhi ya watu chadema kuwaaminisha kuwa zito ni msaliti.. .wakatumika pamoja kusambaza propaganda. ..

Leo hii vijana wa CCM wanawashauri UPINZANI HALISI(ACT & CHADEMA) kwa pamoja. . . Ety msipokee MEMBE. .. Ety yatatokea yaleyale ya Lowasa.. .

Mbona hamkutoa ushauri huo huo alipoenda upinzani Lowasa..? Leo ndo mwautakia mema upinzani ety MTAANGUKA UPINZANI MKIMPOKEA MEMBE.. .

Kweli siasa ni APPLICATION YA UNAFKI.. .

Leo adui yako vitani anakwambia usitumie silaha hiyo ety itakudhuru. .. Msisikilize ndo ongeza juhudi zaidi ya mapambano juu ya silaha hiyo. ..

Bahati nzuri CCM haina watu STRATEGIST kama KINANA wachora mipango kama hao akina membe, SASA HIVI WAPO WAIMBA MAPAMBIO TU YA KUMTUKUZA MUNGU WAO. . .NDIO MAANA ROHO ZINAWAUMA. . .

UPINZANI TAFAKARINI SANA HIZI TAHADHARI MNAZOPEWA JUU YA MEMBE.. . KUNA KITU KIPO NYUMA.. .
 
Pale inapotokea adui anapokwambia kwenye mzinga uliojaa asali kuwa hakuna NYUKI, wewe ingiza tu.. .

Usimsikilize hakutakii mema. ..

Asijikute anakushauri...

Mwanzo walimsema sana Mbowe mbona haachii UENYEKITI. .. Kiasi kwamba hadi wanachadema wakakaa chemba kufikiria "eti kweli mbona mwenyekiti haachii muda mrefu.. ." hadi mkatolewa kwenye hoja ya msingi.. .

Wakamsema Zitto kabwe eti oooh msaliti, wakawashirikisha hadi baadhi ya watu chadema kuwaaminisha kuwa zito ni msaliti.. .wakatumika pamoja kusambaza propaganda. ..

Leo hii vijana wa CCM wanawashauri UPINZANI HALISI(ACT & CHADEMA) kwa pamoja. . . Ety msipokee MEMBE. .. Ety yatatokea yaleyale ya Lowasa.. .

Mbona hamkutoa ushauri huo huo alipoenda upinzani Lowasa..? Leo ndo mwautakia mema upinzani ety MTAANGUKA UPINZANI MKIMPOKEA MEMBE.. .

Kweli siasa ni APPLICATION YA UNAFKI.. .

Leo adui yako vitani anakwambia usitumie silaha hiyo ety itakudhuru. .. Msisikilize ndo ongeza juhudi zaidi ya mapambano juu ya silaha hiyo. ..

Bahati nzuri CCM haina watu STRATEGIST kama KINANA wachora mipango kama hao akina membe, SASA HIVI WAPO WAIMBA MAPAMBIO TU YA KUMTUKUZA MUNGU WAO. . .NDIO MAANA ROHO ZINAWAUMA. . .

UPINZANI TAFAKARINI SANA HIZI TAHADHARI MNAZOPEWA JUU YA MEMBE.. . KUNA KITU KIPO NYUMA.. .


Mimi nashangaa sana ccm wanatupangia mgombea wakati wanjuwa sisi tuko vizuri kichwani.
 
Mbona mnapingana!!.
kuna nyumba wanasema Membe afai na wengine mnasema anafaa sasa mbona hamna msimamo mmoja?
 
Mimi nashangaa sana ccm wanatupangia mgombea wakati wanjuwa sisi tuko vizuri kichwani.
Naziona kweli jinsi threads zao zilivyo jaa humu kumdisqualify urais. ..

Hii ndio silaha adhim ya kuitumia kuiua ccm. . .

Ccm kuna kitu inaogopa kwa membe. .. There is something to use from membe. ..

Nguvu kubwa inatumika kwenye propaganda juu ya kumfanya membe hafai. ..
 
Naziona kweli jinsi threads zao zilivyo jaa humu kumdisqualify urais. ..

Hii ndio silaha adhim ya kuitumia kuiua ccm. . .

Ccm kuna kitu inaogopa kwa membe. .. There is something to use from membe. ..

Nguvu kubwa inatumika kwenye propaganda juu ya kumfanya membe hafai. ..


Membe yuko makini anamfukuza mwizi kimya kimya.
 
Kesi ya lowasa na membe ni tofauti. ..

Lowasa alienda na pesa...

Membe anaenda na akili na mikakati madhubuti. ..
 
Ndio maana wanamuogopa. .. Ni mtu mwenye akili sana. ..


Marafiki zake membe wote wamepata Urais bado yeye tu, na ukiangalia Mkataba ulikuwa unasema magufuli atawale miaka 5 tu then apewe member,sasa mzee wa cattle kamgeuka membe lkn lazima sisi chadema tumpe nafasi ili tuingie ikulu.
 
Naziona kweli jinsi threads zao zilivyo jaa humu kumdisqualify urais. ..

Hii ndio silaha adhim ya kuitumia kuiua ccm. . .

Ccm kuna kitu inaogopa kwa membe. .. There is something to use from membe. ..

Nguvu kubwa inatumika kwenye propaganda juu ya kumfanya membe hafai. ..

Kama umekula hela ya Membe rudisha haraka. Tuna akili zetu timamu usidhani sisi ni wajinga wa hivyo. Hakuna mtu anasikiliza ushauri wa vilaza wa ccm, msimamo wetu uko wazi, ni mwiko wapinzani hasa cdm kupokea tena taka ngumu kutoka ccm. ACT wanaweza kumpokea Membe, lakini cdm tutafanyana vibaya. Lissu anatosha, na tutadai tume huru ya uchaguzi bila kujali kama muda umeisha ama la.
 
Pale inapotokea adui anapokwambia kwenye mzinga uliojaa asali kuwa hakuna NYUKI, wewe ingiza tu.. .

Usimsikilize hakutakii mema. ..

Asijikute anakushauri...

Mwanzo walimsema sana Mbowe mbona haachii UENYEKITI. .. Kiasi kwamba hadi wanachadema wakakaa chemba kufikiria "eti kweli mbona mwenyekiti haachii muda mrefu.. ." hadi mkatolewa kwenye hoja ya msingi.. .

Wakamsema Zitto kabwe eti oooh msaliti, wakawashirikisha hadi baadhi ya watu chadema kuwaaminisha kuwa zito ni msaliti.. .wakatumika pamoja kusambaza propaganda. ..

Leo hii vijana wa CCM wanawashauri UPINZANI HALISI(ACT & CHADEMA) kwa pamoja. . . Ety msipokee MEMBE. .. Ety yatatokea yaleyale ya Lowasa.. .

Mbona hamkutoa ushauri huo huo alipoenda upinzani Lowasa..? Leo ndo mwautakia mema upinzani ety MTAANGUKA UPINZANI MKIMPOKEA MEMBE.. .

Kweli siasa ni APPLICATION YA UNAFKI.. .

Leo adui yako vitani anakwambia usitumie silaha hiyo ety itakudhuru. .. Msisikilize ndo ongeza juhudi zaidi ya mapambano juu ya silaha hiyo. ..

Bahati nzuri CCM haina watu STRATEGIST kama KINANA wachora mipango kama hao akina membe, SASA HIVI WAPO WAIMBA MAPAMBIO TU YA KUMTUKUZA MUNGU WAO. . .NDIO MAANA ROHO ZINAWAUMA. . .

UPINZANI TAFAKARINI SANA HIZI TAHADHARI MNAZOPEWA JUU YA MEMBE.. . KUNA KITU KIPO NYUMA.. .
Wapinzani kumpokea ni kutojifunza ya Lowasa na Sumaye.......upinzani hakuna recruitment? Huu uchaguzi ulikuwa haujulikani mmeshtukizwa? Kwa ujinga huu sisiemu itatawala milele,maana wanajua kucheza na akili tu,nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa Membe ana mgogoro na sisiemu........
 
Kwani ccm nichama kibovu?
CCM ni chama cha mbinu na mipango.udhaniae ndie kumbe,,,,,,,,,!!!
Mrema 1995.Mageuzi.
Lipumba 2000-2005.Haki sawa kwa wote.
Slaa 2010.Tokomeza ufisadi.
Lowasa 2015.Elimu,elimu,elimu.
Membe 2020 kazi na bata.akimaliza kazi anarudi home kula mema ya nchi.
 
Back
Top Bottom