EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,085
Nimekuja na uthibitisho hapa unaonyesha jinsi wapinzani walivyo wanafiki.
Wanatuchanganya watanzania
Wao ndio walio ishauri serikali inunue ndege na kufufu ATCL leo tena hao hao ndio wapingaji wa ndege na ATCL.
Naomba niweke hii video kama ilivyo, niwaombeni dada zangu na kaka zangu wa upinzani hebu tizameni hii video. Hiki ndicho mlicho kizungumza katika bunge letu la awamu ya nne mkaja tena mkakizungumza katika bunge la awamu ya tano.
Wanatuchanganya watanzania
Wao ndio walio ishauri serikali inunue ndege na kufufu ATCL leo tena hao hao ndio wapingaji wa ndege na ATCL.
Naomba niweke hii video kama ilivyo, niwaombeni dada zangu na kaka zangu wa upinzani hebu tizameni hii video. Hiki ndicho mlicho kizungumza katika bunge letu la awamu ya nne mkaja tena mkakizungumza katika bunge la awamu ya tano.