Wapinzani ndio walio shauri tununue ndege tena wakaanza kuzipinga

Wapinzani ndio walio shauri tununue ndege tena wakaanza kuzipinga

umeungaunga sana


Hakuna hata mmoja haapo aliyesema mnuunue nyingi bila kuangalia ushindani wa soko wala hakuna aliyeshauri zinunuliwe kwa misifaa, NOTHING!
Zikapigwa chapa HAPA KAZI TU kumtukuza mnunuzi! Wamefeli wanakuja kulalamikia wapinzani! Kama mazuzu vile!
 
Wewe ndio hujui lolote, mkuu. Ungekua unajua lolote ungejieleza kwa weledi lakini kwasababu hujui lolote zaidi yangu basi ndio sababu unajieleza kwa jazba.

Nimekuuliza kama biashara ccm na ndege zenu mlinunua kwa
1. Mikakati ipi?
2. Nini ilikuwa matarajio ya mapato na matumizi ilikuwa na tija?

Nimekupa mfano wa fast jet walivosaidia usafiri kwa haraka, bei nafuu na kwa idadi kubwa.

Naomba majibu please
 
Nimekuja na uthibitisho hapa unaonyesha jinsi wapinzani walivyo wanafiki.
Wanatuchanganya watanzania

Wao ndio walio ishauri serikali inunue ndege na kufufu ATCL leo tena hao hao ndio wapingaji wa ndege na ATCL.

Naomba niweke hii video kama ilivyo, niwaombeni dada zangu na kaka zangu wa upinzani hebu tizameni hii video. Hiki ndicho mlicho kizungumza katika bunge letu la awamu ya nne mkaja tena mkakizungumza katika bunge la awamu ya tano.

View attachment 1741271
Mbona unatujazia forum na maujingaujinga tu! Hauna vitu vya maana vya kujadili?

Hivi vichwa vyenu sijui muumbaji alijaza kamasi badala ya brain!
 
Wao ndio walio ishauri serikali inunue ndege na kufufu ATCL.
mleta mada,
sio tu hilo la kununua ndege, bali pia hata hili la kupandishiwa gharama kubwa ya vifurushi ni wapinzani.

wapinzani watu wabaya sana, wameishauri serikali iongeze gharama za vifurushi.
au nasema uongo ndugu zangu.
 
Walishauri ununue ndege kwa kificho Bila Bunge kujua na kujihamishia Ununuzi Ilkulu?
 
Wapinzani wanajua kulaumu bila kutoa solution -prof lumumba
 
mleta mada,
sio tu hilo la kununua ndege, bali pia hata hili la kupandishiwa gharama kubwa ya vifurushi ni wapinzani.

wapinzani watu wabaya sana, wameishauri serikali iongeze gharama za vifurushi.
au nasema uongo ndugu zangu.

Msema kweli mpenzi wa Mungu 😀
Na umejitoa sadaka kwelikweli
 
Wapinzani wanajua kulaumu bila kutoa solution -prof lumumba
 
Wapinzani wanajua kulaumu bila kutoa solution -prof lumumba

How? Wewe na huyo mzushi wote nimatatizo tu.

1. Bajeti ilijadiliwa wapi?

2. Bunge lilipitisha lini?

Mfanye mambo yenu uchochoroni halafu mkalaumu wapinzani .
 
How? Wewe na huyo mzushi wote nimatatizo tu.

1. Bajeti ilijadiliwa wapi?

2. Bunge lilipitisha lini?

Mfanye mambo yenu uchochoroni halafu mkalaumu wapinzani .
[/QUOTE
How? Wewe na huyo mzushi wote nimatatizo tu.

1. Bajeti ilijadiliwa wapi?

2. Bunge lilipitisha lini?

Mfanye mambo yenu uchochoroni halafu mkalaumu wapinzani .
rudi kwenye muktadha wa mada
 
Mambo ya kupitisha mimi hayanihusu, silikiza video jinsi wanavyojinga wenyewe.
Walishauri kununua kwa kufuata taratibu. Siyo kununua Bajaji kwa bei za V8.

Pia Ikumbukwe J.K Nyerere hakuchimba Madini yoyote ila ali nunua ndege zenye capacity ya 240, 300+ passengers. Walio ua shirika hawa hawa wezi wa CCM.
 
Walishauri kununua kwa kufuata taratibu. Siyo kununua Bajaji kwa bei za V8.

Pia Ikumbukwe J.K Nyerere hakuchimba Madini yoyote ila ali nunua ndege zenye capacity ya 240, 300+ passengers. Walio ua shirika hawa hawa wezi wa CCM.
Mkuu rudi hiyo video itazame vizuri jinsi wanavyopinga pinga
 
Nimekuja na uthibitisho hapa unaonyesha jinsi wapinzani walivyo wanafiki.
Wanatuchanganya watanzania

Wao ndio walio ishauri serikali inunue ndege na kufufu ATCL leo tena hao hao ndio wapingaji wa ndege na ATCL.

Naomba niweke hii video kama ilivyo, niwaombeni dada zangu na kaka zangu wa upinzani hebu tizameni hii video. Hiki ndicho mlicho kizungumza katika bunge letu la awamu ya nne mkaja tena mkakizungumza katika bunge la awamu ya tano.

View attachment 1741271
Ukiwalundika "wapinzani" pamoja tu, nakuona mwehu.

Kwenye wapinzani kuna vyamq vingi tofauti, hata kwenye chama kimojanchabupinzani kuna watu tofauti wenye ajenda tofauti.

Tumeona mpaka watu wanatoka chama kimoja cha upinzani kwenda kingine.

Zitto Kabwe katoka CHADEMA kwenda ACT. Marehwmu Seif Sharif Hamad katoka CUF kaenda ACT.

Unawalundikaje watu wengi hivyo kama "wapinzani"?
 
Back
Top Bottom