Valuhwanoswela
JF-Expert Member
- Jun 27, 2019
- 1,229
- 1,125
Msukuma mmoja mkulima kule Chato angependa kufuga ng'ombe wa maziwa baada ya kushahriana na mke wake wakakubaliana waanze na 10 na maziwa watauza kwenye ile Hoteli mpya na Uwanja wa Ndege ya ziada yatatumika nyumbani. Ng'ombe watahitaji zizi imara ili wasiibiwe kwa hiyo wanatafutwa vijana wa Kijijini mafundi wa kazi hiyo kwa malipo nafuu na baada ya kazi kukamilika atahitajika mtu wa kuchunga maana watoto wote wanaenda bure elimu lakini atapata Mrundi mmoja atalipwa na fedha za mauzo ya maziwa. Baada ya kumpatia mchungaji mzuri mwenye uzoefu, wanaenda pamoja mpaka kwenye eneo la kuchungia wakionyeshana njia za kupitia na kutopita ili wanyama wasiharibu mali za watu wengine. Sasa wanaanza kuleta ng'ombe mmojammoja, wawiliwawili jinsi matayarisho mengine yanavyokamilika. Yule Msukuma mwingine mwenye PhD angefuata utaratibu wa Mkulima, hakuna mtu angehoji kila kitu kingeenda sawa.Zikapigwa chapa HAPA KAZI TU kumtukuza mnunuzi! Wamefeli wanakuja kulalamikia wapinzani! Kama mazuzu vile!