Wapinzani simameni na Rais sakata la Bomba la mafuta; Mabadiliko ya tabia nchi hayasababishwi na Bomba la mafuta pekee, wanaharakati wanatumika

Kuna kale kabinti na wanamazingira wenzie kutoka Kenya, Poland, France na Germany wanajifanya kupinga huu mradi juzi nilikatumia meseji ya kukablust kutumiwa na wakenya akakujibu kitu, Kimsingi wakenya wanahusika sana na hii propaganda.
Hili bomba tutakuwa tunakula Transit fees zetu kwa miongo mingi hao Wanaharakati wa Mazingira wakawazuie INDIA biggest polluters.
 
Kuna kale kabinti na wanamazingira wenzie kutoka Kenya, Poland, France na Germany wanajifanya kupinga huu mradi juzi nilikatumia meseji ya kukablust kutumiwa na wakenya akakujibu kitu, Kimsingi wakenya wanahusika sana na hii propaganda.
Kuna kipindi rais wao alienda france kujifanya ziara tu ya kawaida lakini issue ilikua ni hilo bomba,hatari ukiwa na jirani mwenye roho mbaya ako kadada kanaitwa nani?
 
Majasusi wa Kenya wapo kazini.
Majasusi wa Tanzania wanalinda maslahi ya ccm.
Bomba la mafuta ni fursa yenye faida nyingi kwa sasa.
 
Mkipanga mipango yenu miovu huwa mnawatenga na kuwazodoa wapinzani, ila mambo yakianza kuwaendea kombo mnaanza kuwalaumu kuwa hawawaungi mkono. Kwanini mambo yanapokuwa mazuri mnawatenga
 
Shida mkuu sio kujitoa kwa total,hali iliyopo wanaharakati wanadai hilo bomba likipitia TZ litaharibu mazingira wanachotaka wao baada ya kufanikiwa lisipitie TZ liende kenya,sasa hapo uoni kama kuna sabotage ya kuukwamisha huu mradi kuja TZ?


Mradi umeshafikia construction stage hadi costs ya route inajulikana na serikali ya Tanzania imelipa fidia maeneo ya njia ya bomba; kuvunja huo mkataba bila kigezo cha ‘contract frustration’ au any other reason beyond control ni swala la kushitikiana.

Either way ata kama ni frustration you would still need to compensate serikali ya Tanzania ukiachana na mradi kabisa.

Hilo bomba aliwezi badili njia kwa hatua project ilipofikia kwa sasa kama kuna mkenya anadhani hayo maamuzi yanaweza badilika at this stage of the project ni highly stupid it’s more than desperation na roho mbaya; but that decision won’t change or else it will be financially costly kwa mwekezaji for many reasons.

Kama ni mazingira kila siku makampuni ya mafuta wanamwaga mafuta kwa bahati mbaya na kuna huge environmental costs and damage to eco-systems. Huko Delta region Nigeria kila siku shida local wanatoboa bomba kuiba mafuta na gharama za spillage on environment anadaiwa BP.

Makampuni ya mafuta yanatumia zaidi $2 billion on clean bill za spillage duniani wanapambana na international environmental groups with global political influence na hawajaacha kuchimba mafuta wala kutafuta visima waje kumsikiliza mwanamke wazimu wa kikenya.
 
ushasainiwa mara 6
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…