Wapinzani tambueni kuwa tunayahitaji maendeleo zaidi kuliko siasa

Verified user halafu kichwani umejaza mavi.

Hebu maliza kwanza chuo wanaokutumia walisoma kwanza ndiyo wakapata akili ya kukutumia wewe.
 
Verified user halafu kichwani umejaza mavi.

Hebu maliza kwanza chuo wanaokutumia walisoma kwanza ndiyo wakapata akili ya kukutumia wewe.
Hahahahah nipo nachunga ng'ombe kwa babu.
Shule sikwenda
 
Maendeleo ni nini?

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Siasa zirudi tu maana siasa zikirudi utapata jibu la swali hili "kwanin Dr Bashiru alimpangia mama Samia ziara ya kwenda Tanga kuzunguka kwa siku7 huku raisi yupo chumba cha wagonjwa mahutihut ICU"
 
Siasa zirudi tu maana siasa zikirudi utapata jibu la swali hili "kwanin Dr Bashiru alimpangia mama Samia ziara ya kwenda Tanga kuzunguka kwa siku7 huku raisi yupo chumba cha wagonjwa mahutihut ICU"
Dah hii nchi bhana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…