Raila Odinga ni mpigania haki nguli wa wakati wetu. Amaarufu GOAT, kama alivyotambuliwa Messi Qatar, 2023.
Maneno ya Odinga kwa wafuasi wake ni sheria.
Leo wako mapumziko, kujipanga na kuja na nguvu mpya na kasi mpya. Tukutane kesho Tahrir.
Tunataka haki? Hatutaki tozo? Tukutane Tahrir
Kwa mtu huyu tunayo ya kujifunza. Huyu siyo wa kubeza.
Makamanda tunayo ya kujifunza kwa Raila Odinga
Ukurasa wake unajiongelea zaidi.
Raila Odinga hawezi kubezwa na wapinzani uchwara walioingiwa na tamaa ya ubunge kwa maslahi binafsi. Wenye kuuwaza ubunge tu, tena kwa gharama yoyote? Kwamba hata kama ni kwa kuiuwa agenda yetu kipaumbele ya kupata katiba mpya sasa?!
Uchaguzi 2024/25 wa nini kama hakuna Katiba Mpya?
Wapinzani wa namna hii wana tofauti gani na wale 19 wasiokuwa na chama bungeni?
Kwamba kundi la wapinzani wasaka ubunge ndilo hilo lenye kumzodoa Odinga leo? What a coincidence?!
Ukombozi hupiganiwa. Kuna kupigania au kutopigania ukombozi. Ni hayo mawili tu.
Huwezi kuwa katikati.
Maneno ya Odinga kwa wafuasi wake ni sheria.
Leo wako mapumziko, kujipanga na kuja na nguvu mpya na kasi mpya. Tukutane kesho Tahrir.
Tunataka haki? Hatutaki tozo? Tukutane Tahrir
Kwa mtu huyu tunayo ya kujifunza. Huyu siyo wa kubeza.
Makamanda tunayo ya kujifunza kwa Raila Odinga
Ukurasa wake unajiongelea zaidi.
Raila Odinga hawezi kubezwa na wapinzani uchwara walioingiwa na tamaa ya ubunge kwa maslahi binafsi. Wenye kuuwaza ubunge tu, tena kwa gharama yoyote? Kwamba hata kama ni kwa kuiuwa agenda yetu kipaumbele ya kupata katiba mpya sasa?!
Uchaguzi 2024/25 wa nini kama hakuna Katiba Mpya?
Wapinzani wa namna hii wana tofauti gani na wale 19 wasiokuwa na chama bungeni?
Kwamba kundi la wapinzani wasaka ubunge ndilo hilo lenye kumzodoa Odinga leo? What a coincidence?!
Ukombozi hupiganiwa. Kuna kupigania au kutopigania ukombozi. Ni hayo mawili tu.
Huwezi kuwa katikati.