Ningekuwa mpinzania ningeishinda CCM mapema asubuhi.nachukua ilani ya CCM nawaponda nayo.
Mtu uneahidi kufanya jambo kwa miaka mitano na hujafanya.sasa hapo nikikuambua kuwa wewe ni mwongo,mwizi wa kura kwa kuahidi uongo nk nitakuwa nimekuonea?
Wambieni wananchi kuwa CCM niwaongo maana kwenye ilani yao waliahidi kufanya hili na lile lakini wahawakutekeleza.tuchagueni sisi hayo yote waliyoahidi sisi tutayatekeleza kwa budii
Mtu uneahidi kufanya jambo kwa miaka mitano na hujafanya.sasa hapo nikikuambua kuwa wewe ni mwongo,mwizi wa kura kwa kuahidi uongo nk nitakuwa nimekuonea?
Wambieni wananchi kuwa CCM niwaongo maana kwenye ilani yao waliahidi kufanya hili na lile lakini wahawakutekeleza.tuchagueni sisi hayo yote waliyoahidi sisi tutayatekeleza kwa budii