Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Wajibu kitu gani kwa mfano? Kupanda punda?Maana sisi ndio tulipaswa kupambana ili dhuluma , ufisadi na uonevu wa CCM uwekwe wazi.
Lakini tumebako kubug'aaa tu.
Leo hii wananachi wanataka kuona wazembe, mafisadi na wapigaji wanawajibishwa hadharani.
Alafu eti tuanze kuropoka na kupinga. Tutajichafua kwa wananchi.
Hivi na nyie Kuna watu wanawaamini? 😁😁Maana sisi ndio tulipaswa kupambana ili dhuluma , ufisadi na uonevu wa CCM uwekwe wazi.
Lakini tumebako kubug'aaa tu.
Leo hii wananachi wanataka kuona wazembe, mafisadi na wapigaji wanawajibishwa hadharani.
Alafu eti tuanze kuropoka na kupinga. Tutajichafua kwa wananchi.
Yaani mafisadi na wazembe wanaweza kuzuiwa na maigizo ya huyo muhalifu? Wapinzani hawana muda wa kujibishana na mfungwa mtarajiwa.Maana sisi ndio tulipaswa kupambana ili dhuluma , ufisadi na uonevu wa CCM uwekwe wazi.
Lakini tumebako kubug'aaa tu.
Leo hii wananachi wanataka kuona wazembe, mafisadi na wapigaji wanawajibishwa hadharani.
Alafu eti tuanze kuropoka na kupinga. Tutajichafua kwa wananchi.
Wapinzani wa kusumbuliwa na mtu muovu hawapo.Mumjibu mara ngapi?,nyie ni nyumbu waheed,sasahivi habari ni Makonda iwe nyie watoa taarifa na baadhi ya wanaccm wategemea mbereko za wazazi wao
Kamanda mwenzangu acha ukweli ukuweke huru.Yaani mafisadi na wazembe wanaweza kuzuiwa na maigizo ya huyo muhalifu? Wapinzani hawana muda wa kujibishana na mfungwa mtarajiwa.
Maana sisi ndio tulipaswa kupambana ili dhuluma , ufisadi na uonevu wa CCM uwekwe wazi.
Lakini tumebako kubug'aaa tu.
Leo hii wananachi wanataka kuona wazembe, mafisadi na wapigaji wanawajibishwa hadharani.
Alafu eti tuanze kuropoka na kupinga. Tutajichafua kwa wananchi.
Na wewe tuondolee upumbavu wako wa kiuvccm hapa. Wakikunyima posho unajifanya nawe mpinzani pambaf.Maana sisi ndio tulipaswa kupambana ili dhuluma , ufisadi na uonevu wa CCM uwekwe wazi.
Lakini tumebako kubug'aaa tu.
Leo hii wananachi wanataka kuona wazembe, mafisadi na wapigaji wanawajibishwa hadharani.
Alafu eti tuanze kuropoka na kupinga. Tutajichafua kwa wananchi.
Lini na wapi uliona au kusikia Chadema wanajibizana na huyo msanii.Kamanda mwenzangu acha ukweli ukuweke huru.
Eti juzi anawataka wapinzani wafanye mikutano ili apate watu wa kijibishana nao, na kuonyeshana nyomi fake. Bahati nzuri wapinzani wamempotezea, amebaki kutoa maagizo ya kisanii ili aonekane anafanya kazi.Kwani nani kamjibu?. Kila mtu na time zake. Yeye kabakia kuwaamrisha Wana CCM wenzake.
Sio msanii ni muhalifu. Ni mfungwa mtarajiwa.Lini na wapi uliona au kusikia Chadema wanajibizana na huyo msanii.
Acha stori za kizandikiSio msanii ni muhalifu. Ni mfungwa mtarajiwa.
Tulia we chawa wa ccm, huyo muhalifu aache siasa za kishamba na hadaa.Acha stori za kizandiki
Nyie chadema matusi ndio mnaweza, siasa za hoja masuala hayo wenyewe ni ACT WAZALENDO.Maana sisi ndio tulipaswa kupambana ili dhuluma , ufisadi na uonevu wa CCM uwekwe wazi.
Lakini tumebako kubug'aaa tu.
Leo hii wananachi wanataka kuona wazembe, mafisadi na wapigaji wanawajibishwa hadharani.
Alafu eti tuanze kuropoka na kupinga. Tutajichafua kwa wananchi.