PlayBoyMwema
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 1,714
- 1,829
if it was that easy..eti unaingia google kusoma forex ila nashukuru umejisemea mwenyewe kuwa haujiusishi na forex so sikulaumu kwa majibu yako ya kusema utajifunzia kupitia googleMimi kama niko determined kupata kitu nitakipata ila nitatumia the most less expensive way.
Nb: Raha ya ngoma uingie uicheze mwenyewe usiishie kusimuliwa