Wapinzani wa Ontario nao wameshusha bei.

Wapinzani wa Ontario nao wameshusha bei.

Ivi mentor au hao walimu wanautajiri wa kiasi gn! Je na wao acc zao hupungua!?
 
Ivi mentor au hao walimu wanautajiri wa kiasi gn! Je na wao acc zao hupungua!?
 
Ni kumloga ONTARIO asahau kukudai fees.Hivi ni viwanda pia vinaanzishwa au ni vyuo? Hii Nchi tamu sana!Kachero Doctor Shika yupo wapi siku hizi au bado Shigongo Kamficha kama ndumba ya DAR LIVE ha ha
Mpaka hili sakata likiisha nitakuwa nimeshakuwa gwiji la forex bila kulipia ada zaidi ya bundle
Ila nataka nianze ku trade kwa kutumia ndumba sijui itawezekana!? Sitaki kabisa kusikia kitu kinaitwa loss
 
Kwi kwi kwi kwi LoL! Unapiga zako bonge la hirizi kama la nanihii kitu loss tupa kuleee weye mwendo wa profit tu kila kukicha.

Mpaka hili sakata likiisha nitakuwa nimeshakuwa gwiji la forex bila kulipia ada zaidi ya bundle
Ila nataka nianze ku trade kwa kutumia ndumba sijui itawezekana!? Sitaki kabisa kusikia kitu kinaitwa loss
 
Walizani baada ya jaribio la kumchafua ndio wangefanikiwa hahahaa daaah hii nchi hii!!!

Lakini tujiulize kwanini ontario anaoneka mwizi kwa kuchaji laki mbili lakini hawa walio kuwa wana chaji laki tano wala hawaguswi!!

Hii ni vita ya kibiashara na ontario lazima ajipange sawa sawa!!!

Watapambana lakini hawatashinda!! na hii njia waliyoitumia ni ya enzi za cold war, enzi za akina gobachev, sasa hivi tuko kwenye enzi ambazo kiduku anatunishana msuli na trump bila woga...HAWA WATU WAJIPANGE UPYA!!

[HASHTAG]#TMT[/HASHTAG]
Upo vizuri kutetea kitumbua.
 
Watashindwa, ONTARIO Atabaki kuwa shujaa wetu, walikuwa wanakula kimya kimya ONTA kaamua kutujuza, sasa wamejipanga kumsakama kwa vikashfa visivyo na mashiko. NASEMA KWA KWA SAUTI KUU, WATASHINWDWA!!!!
 
Nilisema nilisema mimi hapa JF!! Kua hawa wanaoponda TMT ni washindani wao tu!! Ona sasa yako wapi vibaraka genge lao.
Pole sana ONTARIO nasema piga kazi in baba jesca voice
 
Acha uongo mkuu,,,Dar Forex Academy ilikuwepo ila chinichini,mimi nimefanyiwa mentoring bure kabisa baada ya kumtafuta Carl kipindi hicho,ila wameanza semina baada ya TMT kuanza,,na kupunguza being ni suala la kibiashara,,,,

Hahahahahaaa!!! Mbona ukusema mapema mkuu!!!
Mm nilijua mapema hilo genge la wahuni wachache pumzi fupi manina
 
Aisee kumbe walikua wanatuficha?

Kama sio akina ontario wala nisingejua kama kuna forex hapa duniani!!

Kweli kabisa mdau!!!
Hilo genge la wahuni walikua wanafaidika wao tu!! Kuona hata mm napata. Full mapovu tu
 
Walizani baada ya jaribio la kumchafua ndio wangefanikiwa hahahaa daaah hii nchi hii!!!

Lakini tujiulize kwanini ontario anaoneka mwizi kwa kuchaji laki mbili lakini hawa walio kuwa wana chaji laki tano wala hawaguswi!!

Hii ni vita ya kibiashara na ontario lazima ajipange sawa sawa!!!

Watapambana lakini hawatashinda!! na hii njia waliyoitumia ni ya enzi za cold war, enzi za akina gobachev, sasa hivi tuko kwenye enzi ambazo kiduku anatunishana msuli na trump bila woga...HAWA WATU WAJIPANGE UPYA!!

[HASHTAG]#TMT[/HASHTAG]


Double IDs;

Hivi wewe ONTARIO, ni kwanini unatumia ID mbili?

Kwani ukitumia id ya ontario pekee kuna shida gani hadi uje na hii ya Upepo wa Pesa?

Kwa hili, ninaamini wewe si mtu mwema na katapeli fulani hivi, maana ni kwanini ujifiche????
 
Mpaka hili sakata likiisha nitakuwa nimeshakuwa gwiji la forex bila kulipia ada zaidi ya bundle
Ila nataka nianze ku trade kwa kutumia ndumba sijui itawezekana!? Sitaki kabisa kusikia kitu kinaitwa loss
Kweli kabisa mkuu

Siku zote wanasema ukiona unaitwa kwenye fursa, basi jua wewe ndo fursa yenyewe.
 
Back
Top Bottom