Wapinzani wa Simba kwenye mchezo wa Shirikisho bado hawajafika nchini

Wapinzani wa Simba kwenye mchezo wa Shirikisho bado hawajafika nchini

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Kupitia Wasafi Fm, wanaripoti kuwa wapinzani wa Simba katika mchezo wa kesho Bravo bado hawajafika nchini.

Kitaalam walipaswa wafike jana mapema na kufanya mazoezi uwanja wa Benjamin Mkapa ili wauzoee uwanja. Sasa mpaka muda huu bado hawajawasili.

Inasemekana wanaweza kuwasili saa 9:00 mchana, masaa takribani 24 kabla ya mtanange huo.

Inaonekanaa Kombe la Shirikisho ni kama Mashindano ya Umisetta vilabu havina usiriaz!
 
Kupitia Wasafi Fm, wanaripoti kuwa wapinzani wa Simba katika mchezo wa kesho Bravo bado hawajafika nchini.

Kitaalam walipaswa wafike jana mapema na kufanya mazoezi uwanja wa Benjamin Mkapa ili wauzoee uwanja. Sasa mpaka muda huu bado hawajawasili.

Inasemekana wanaweza kuwasili saa 9:00 mchana, masaa takribani 24 kabla ya mtanange huo.

Inaonekanaa Kombe la Shirikisho ni kama Mashindano ya Umisetta vilabu havina usiriaz!
Uwanja wanaujua vizuri si juzi tu walicheza na coastal
 
Ao jamaa Wana faili lote la Simba usifikiri wapuuzi.
Wanacheza na akili za nje ya uwanja.
Shida watapata kwenye vyumba vya kubadilishia nguo.
 
Kupitia Wasafi Fm, wanaripoti kuwa wapinzani wa Simba katika mchezo wa kesho Bravo bado hawajafika nchini.

Kitaalam walipaswa wafike jana mapema na kufanya mazoezi uwanja wa Benjamin Mkapa ili wauzoee uwanja. Sasa mpaka muda huu bado hawajawasili.

Inasemekana wanaweza kuwasili saa 9:00 mchana, masaa takribani 24 kabla ya mtanange huo.

Inaonekanaa Kombe la Shirikisho ni kama Mashindano ya Umisetta vilabu havina usiriaz!
Wanalo faili la Simba na wanajua michezo yao ya nje ya uwanja awajafanya ivyo kwa bahati MBAYA ingawa ni timu ndogo kama majimaji fc ya songea wanakuja kwa tahadhali zote
 
Ao jamaa Wana faili lote la Simba usifikiri wapuuzi.
Wanacheza na akili za nje ya uwanja.
Shida watapata kwenye vyumba vya kubadilishia nguo.
Washenzi hao Makolo msimu uliopita walitupulizia midude yao tukashtuka mapema😀😀😀
 
Wanalo faili la Simba na wanajua michezo yao ya nje ya uwanja awajafanya ivyo kwa bahati MBAYA ingawa ni timu ndogo kama majimaji fc ya songea wanakuja kwa tahadhali zote
Faili walinunua stationary ipi hapo dar..
 
Bravos wameshajua kinachoenda kutokea ila wewe kwakua unawashwa ngoja ujikune saa kumi jioni leo.
 
Kupitia Wasafi Fm, wanaripoti kuwa wapinzani wa Simba katika mchezo wa kesho Bravo bado hawajafika nchini.

Kitaalam walipaswa wafike jana mapema na kufanya mazoezi uwanja wa Benjamin Mkapa ili wauzoee uwanja. Sasa mpaka muda huu bado hawajawasili.

Inasemekana wanaweza kuwasili saa 9:00 mchana, masaa takribani 24 kabla ya mtanange huo.

Inaonekanaa Kombe la Shirikisho ni kama Mashindano ya Umisetta vilabu havina usiriaz!
We Uto unaitwa ghetto na Tabora United.
 
Inaonekanaa Kombe la Shirikisho ni kama Mashindano ya Umisetta vilabu havina usiriaz!
Kuna timu mbili zilicheza na Yanga, mechi zake za nyumbani zilikuwa hapa hapa Bongo. Sijajua yalikuwa ni mashindano gani
 
Kupitia Wasafi Fm, wanaripoti kuwa wapinzani wa Simba katika mchezo wa kesho Bravo bado hawajafika nchini.

Kitaalam walipaswa wafike jana mapema na kufanya mazoezi uwanja wa Benjamin Mkapa ili wauzoee uwanja. Sasa mpaka muda huu bado hawajawasili.

Inasemekana wanaweza kuwasili saa 9:00 mchana, masaa takribani 24 kabla ya mtanange huo.

Inaonekanaa Kombe la Shirikisho ni kama Mashindano ya Umisetta vilabu havina usiriaz!
Wapo avic wamehifadhiwa na gongo wazi wanapewa maelekezo!
 
Back
Top Bottom