Pre GE2025 Wapinzani wa Tanzania wasaidiwe kuachana na siasa za kufikirika!

Pre GE2025 Wapinzani wa Tanzania wasaidiwe kuachana na siasa za kufikirika!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Leo.
Wapinzani Wasaidiwe.jpg

Kiukweli kabisa, upinzani Tanzania una hali mbaya sana, uko dholfu bin taaban kwa kukosa watu wa mikakati, hivyo kuendelea kufanya siasa za kiharakati kwa kutumia utopian politics!, badala ya kufanya siasa za kimikakati, matokeo yake ni kushindwa vibaya, na ni kwa zaidi ya miaka 30, upinzani umeshindwa kushika dola, upinzani huu unatakiwa kusaidiwa, bila kusaidiwa, uchaguzi wa 2025, unakwenda kuwa kama uchaguzi wa 2020, Bunge la 2025 litakosa tena kambi rasmi ya upinzani Bungeni, matokeo yake ni hasara wote, CCM, Nchi na Watanzania kwa ujumla.

Kukosekana kwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, kumepelekea kuwa na Bunge legelege, lisilo na uwezo wa kuisimamia serikali kikamilifu!. Bunge hili limekuwa linapitisha kitutusa, kila linacholetewa na serikali!.

Tungekuwa na wapinzani makini mule Bungeni, yale baadhi ya madudu ya ajabu.ajabu yaliyopitishwa na Bunge letu, kama kama ule Mkataba batili, kisha kuletewa muswada batili wa sheria mpya ya uchaguzi na kutunga kuwa sheria huku inakwenda kinyume na katiba yetu, yasingepita kabisa kirahisi ki vile!.

Leo nazungumzia umuhimu wa Tanzania kuwa na upinzani makini, upinzani imara na upinzani wa kweli kwa maendeleo ya taifa, bila kuwepo kwa upinzani imara, upinzani makini, hakutakuwa na CCM imara!, kwasababu imethibitishwa pasipo shaka, nchi zenye upinzani legelege, hupelekea vyama tawala kubweteka kwa kukosa changamoto, hivyo upinzani makini, imara na wa ukweli ni muhimu kwa maendeleo ya taifa.

Hili limethibishwa na hili Bunge ambalo ni kama Bunge Rubber Stempu, linapitisha kila kitu hata madudu ya ajabu ajabu, hivyo kukosa msisimko, ili Bunge lichangamke, lazima baadhi ya wapinzani makini waingie Bungeni, Bunge lijalo liwe na kambi rasmi ya upinzani. Wapinzani wasiposaidiwa, uchaguzi wa 2025, utakuwa kama uchaguzi wa 2020!.

Kazi ya upinzani makini na upinzani wa kweli ni kupinga kwa kutumia hoja mbadala, na sio kupinga tuu ili mradi unapinga, upinzani makini unapinga kwa kutumia nguvu ya hoja na sio hoja za nguvu, unapinga kwa hoja kwa kupangua hoja kwa hoja na wakati huo huo unaweka hoja mbadala ili kutoa changamoto kwa chama tawala kuwa tunakuangalia, ukishindwa unaondolewa!.

Upinzani wetu hapa Tanzania, una tatizo kwa wapinzani karibu wote, hawana hoja mbadala za kushindanisha na hoja za serikali, hivyo kuonekana kama upinzani wa kupiga tu kelele nawapinzani wengine karibu wote ni wapinzani wa kupinga tuu kila kitu bila kuwa na hoja mbadala, matokeo yake ni tuna upinzani uchwara usiotimiza majukumu ya upinzani makini, matokeo yake CCM kuutumia udhaifu wa upinzani wa aina hii kujiimarisha, uchaguzi mkuu wa 2025 upinzani usiposaidiwa, uchaguzi huu ni CCM tena!.

Kwa kuanzia kwanza tujifunze upinzani makini na wa kweli ni nini, unatakiwa kufanya nini, na upinzani legelege na uchwara ni nini, unafanya nini, kwanini Tanzania hatuna upinzani makini?

Tanzania tuna vyama 21 vya siasa vyenye usajili wa kudumu.

Lengo kuu la vyama vyote vya siasa, ni kushika dola na kuongoza serikali yaani kutawala. Kila chama kinaandaa ilani yake ya uchaguzi kwa kueleza iwapo kitapewa ridhaa ya kutawala na wananchi, kupitia uchaguzi huru, na wa haki, kitafanya hivi na vile katika maeneo haya na yale.

Kazi ya chama tawala ni kuongoza serikali kwa kutumia ilani yake ya uchaguzi. Baada ya uchaguzi, kazi ya upinzani makini duniani kote ni kupinga sera za chama tawala kwa hoja mbadala na sio kupinga tuu alimradi kupinga.

Hii imeifanya Tanzania kuwa na chama kimoja kikuu chenye nguvu, CCM ambacho ni kama dola, na vyama utitiri vya upinzani vinavyofanya siasa za uchwala, hali inayopelekea hakuna serious people wenye kutaka mabadiliko ya kweli, wanaweza kuviaminia kuvikabidhi nchi kutokana na kujikita kwenye siasa uchwara za matukio na kupinga tuu kila kitu badala ya kujikita kwenye siasa za kujenga hoja.

Upinzani makini unatakiwa kupinga hoja za serikali kwa hoja mbadala zenye mashiko, kwa upinzani huu wa kupinga tuu bila mbadala, nani atawaaminia wapinzani na kuwapa ridhaa?.

Nimemsikiliza TAL kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV kuhusu falsafa yake ya No Reforms No Election.

Japo hakuna ubishi kuhusu umahiri wa TAL kama mwanasheria, mwanasiasa, mbunge, mnadhimu mkuu wa upinzani, M/Mwenyekiti wa Chadema, lakini TAL kama Mwenyekiti wa Chadema, ana strengths zake, (umahiri), ila pia ana madhaifu yake ambayo anahitaji msaada mkubwa kusaidiwa na watu wenye uwezo wa kusaidia, ili Tundu Lissu, Chadema na wapinzani wengine, waweze kubadilika na kuachana na siasa za kiunaharakati na badala yake kufanya siasa za kimikakati ya kujiandaa kutawala.

Hivyo vibwagizo vya kiuanaharakati, kama “no reforms no election” vibwagiza hadaa (utopian politics) visivyotekelezeka!. Chadema na wapinzani wote, lazima wajikite kwenye kufanya siasa za ukweli, (real politics) ambazo ni siasa za mikakati, (politics of engagement), vinginevyo uchaguzi wa 2025, mambo ya 2020 yanakwenda kujirudia, na itakuwa ni CCM tena!.

Hivyo natoa wito, kwa Watanzania wowote wazalendo wa kweli wa nchi hii, na wenye mapenzi mema na nchi yetu, wenye uwezo, wa kuwasaidia wapinzani, na kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL ili aweze, na kuisaidia Chadema ili iweze na pia kuwasaidia wapinzani wengine wote kufanya siasa za ukweli za kutaka kushika dola.

Kwenye kipindi hicho, TAL alipoulizwa maandalizi ya uchaguzi, amesema Chadema haifanyi maandalizi yoyote bila reforms ni no election!. Hizi ni utopian politics, sii TAL wala Chadema wana uwezo wa kuzuia uchaguzi Mkuu usifanyike!.

Natoa wito, kwa watu wowote, wenye uwezo, kutoka popote hata wana CCM, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, kwa kuishauri kuwa uchaguzi mkuu wa 2025, Chadema ina fursa!, hii ni fursa adhimu na fursa adimu kwa Chadema kuichangamkia, muda uliobaki kabla ya uchaguzi, sio rafiki kufanya siasa za kiharakati, huu ni muda wa kufanya siasa za kimikakati ya ushindi, tena namshauri TAL na Chadama wakumbatie falsafa ya pragmatism politics, wawe pragmatic and do what is possible!.

TAL na Chadema na wapinzani wengine wote, wasaidiwe waachane na utopian politics, wafanye real politics, the time is almost too little too short!, hakuna muda wa kupoteza!.

Paskali.
 
😄

Multiparty imetushinda

Hamas Walikuwa Chama Cha Upinzani huko Palestine

Zelenesky ni Rais kutoka Chama Cha Upinzani huko Ukraine

Labda ndio sababu watanzania hawapendelei Vyama kama CUF
 
Tanzania uchaguzi wa mwisho wa vyama vingi ulifanyika mwaka 2005!!

Sasa Kama hakuna uchaguzi utasemaje upinzani dhaifu?

Dhaifu ni CCM wanaoiba chaguzi toka 2010 au upinzani ?

Kama wewe ni Bora kwanini uibe chaguzi?

Real politics ni Nini?? kusema uongo??

Trump kawa Rais Marekani Tena Mara mbili kwa ku play siasa ya harakati kwa 90% maana yake watu wanaojielewa wanaelewa siasa za Tundu Lissu ila wanasiasa wenye makandokando na wapigaji hawawezi kumuelewa

Na ndio wanampiga kwa kujuwa jamaa akiingia atawanyoosha na siasa za kweli zitaanza Tanzania !!

Subiri apitishwe kugombea urais ndio mtaelewa Lissu ni dhaifu au ni kina kirefu!!
 
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Leo.
View attachment 3246218
Kiukweli kabisa, upinzani Tanzania una hali mbaya sana, uko dholfu bin taaban kwa kukosa watu wa mikakati, hivyo kuendelea kufanya siasa za kiharakati kwa kutumia utopian politics!, badala ya kufanya siasa za kimikakati, matokeo yake ni kushindwa vibaya, na ni kwa zaidi ya miaka 30, upinzani umeshindwa kushika dola, upinzani huu unatakiwa kusaidiwa, bila kusaidiwa, uchaguzi wa 2025, unakwenda kuwa kama uchaguzi wa 2020, Bunge la 2025 litakosa tena kambi rasmi ya upinzani Bungeni, matokeo yake ni hasara wote, CCM, Nchi na Watanzania, kwa kuwa na Bunge legelege, lisilo na uwezo wa kuisimamia serikali kikamilifu!. Tungekuwa na wapinzani makini mule Bungeni, yale baadhi ya madudu ya ajabu, yaliyopitishwa na Bunge letu, kama kama ule Mkataba wa DPW na Bandari zetu, na kutunga sheria batili ya uchaguzi inayokwenda kinyume na katiba yetu, yasingepita kirahisi vile!.

tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, kwa kuishauri kuwa uchaguzi mkuu wa 2025, Chadema ina fursa!, hii ni fursa adhimu na fursa adimu kwa Chadema kuichangamkia, muda uliobaki kabla ya uchaguzi, sio rafiki kufanya siasa za kiharakati, huu ni muda wa kufanya siasa za kimikakati ya ushindi, tena namshauri TAL na Chadama wakumbatie falsafa ya pragmatism politics, wawe pragmatic and do what is possible!.

TAL na Chadema na wapinzani wengine wote, wasaidiwe waachane na utopian politics, wafanye real politics, the time is almost too little too short!, hakuna muda wa kupoteza!.

Paskali.
Kwani Bunge hili la Sasa hivi Lina Kambi Rasmi ya Upinzani?
 
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Leo.
View attachment 3246218
Kiukweli kabisa, upinzani Tanzania una hali mbaya sana, uko dholfu bin taaban kwa kukosa watu wa mikakati, hivyo kuendelea kufanya siasa za kiharakati kwa kutumia utopian politics!, badala ya kufanya siasa za kimikakati, matokeo yake ni kushindwa vibaya, na ni kwa zaidi ya miaka 30, upinzani umeshindwa kushika dola, upinzani huu unatakiwa kusaidiwa, bila kusaidiwa, uchaguzi wa 2025, unakwenda kuwa kama uchaguzi wa 2020, Bunge la 2025 litakosa tena kambi rasmi ya upinzani Bungeni, matokeo yake ni hasara wote, CCM, Nchi na Watanzania, kwa kuwa na Bunge legelege, lisilo na uwezo wa kuisimamia serikali kikamilifu!. Tungekuwa na wapinzani makini mule Bungeni, yale baadhi ya madudu ya ajabu, yaliyopitishwa na Bunge letu, kama kama ule Mkataba wa DPW na Bandari zetu, na kutunga sheria batili ya uchaguzi inayokwenda kinyume na katiba yetu, yasingepita kirahisi vile!.

tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, kwa kuishauri kuwa uchaguzi mkuu wa 2025, Chadema ina fursa!, hii ni fursa adhimu na fursa adimu kwa Chadema kuichangamkia, muda uliobaki kabla ya uchaguzi, sio rafiki kufanya siasa za kiharakati, huu ni muda wa kufanya siasa za kimikakati ya ushindi, tena namshauri TAL na Chadama wakumbatie falsafa ya pragmatism politics, wawe pragmatic and do what is possible!.

TAL na Chadema na wapinzani wengine wote, wasaidiwe waachane na utopian politics, wafanye real politics, the time is almost too little too short!, hakuna muda wa kupoteza!.

Paskali.
Yes, hata Mimi ni muumini wa real politics. Kuwa utopian Kuna changiwa na vitu viwili.
1. Ujinga wa watanzania
2. Dola au mfumo namna ulivyojengwa toka 1992 ya multi-party system. There is no total favor for opposition party to rule. Kwahiyo multi -party system in Tanzania is a total utopian and idiot ideology. Now tuwekeze kwenye no reforms no election na iwe scientific kweli. Tukifanya haya tunaweza kubadilisha sura ya nchi kiuchumi. Tanzania imejaaliwa rasilimali lakini kwa muda mrefu inaongozwa na matapeli. Kwa mikataba waliyoingia Mwinyi, mkapa na kikwete wanastahili kunyongwa Hadi kufa.
 
Kaka Pascal unayo nafasi ya kuwasaidia Chadema Hasa kwenye hili la strategic politics...Endelea kuandika nafikiri Kuna muda wapo viongozi wa ngazi za juu wanasoma maandiko yako nukta kwa nukta....

Usichoke kaka tunaoelewa unachomaanisha hatutaacha kusoma maandiko yako kujifunza
 
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Leo.
View attachment 3246218
Kiukweli kabisa, upinzani Tanzania una hali mbaya sana, uko dholfu bin taaban kwa kukosa watu wa mikakati, hivyo kuendelea kufanya siasa za kiharakati kwa kutumia utopian politics!, badala ya kufanya siasa za kimikakati, matokeo yake ni kushindwa vibaya, na ni kwa zaidi ya miaka 30, upinzani umeshindwa kushika dola, upinzani huu unatakiwa kusaidiwa, bila kusaidiwa, uchaguzi wa 2025, unakwenda kuwa kama uchaguzi wa 2020, Bunge la 2025 litakosa tena kambi rasmi ya upinzani Bungeni, matokeo yake ni hasara wote, CCM, Nchi na Watanzania, kwa kuwa na Bunge legelege, lisilo na uwezo wa kuisimamia serikali kikamilifu!. Tungekuwa na wapinzani makini mule Bungeni, yale baadhi ya madudu ya ajabu, yaliyopitishwa na Bunge letu, kama kama ule Mkataba wa DPW na Bandari zetu, na kutunga sheria batili ya uchaguzi inayokwenda kinyume na katiba yetu, yasingepita kirahisi vile!.

Kwenye kipindi hicho, TAL alipoulizwa maandalizi ya uchaguzi, amesema Chadema haifanyi maandalizi yoyote bila reforms ni no election!. Hizi ni utopian politics, sii TAL wala Chadema wana uwezo wa kuzuia uchaguzi Mkuu usifanyike!.

Natoa wito, kwa watu wowote, wenye uwezo, kutoka popote hata wana CCM, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, kwa kuishauri kuwa uchaguzi mkuu wa 2025, Chadema ina fursa!, hii ni fursa adhimu na fursa adimu kwa Chadema kuichangamkia, muda uliobaki kabla ya uchaguzi, sio rafiki kufanya siasa za kiharakati, huu ni muda wa kufanya siasa za kimikakati ya ushindi, tena namshauri TAL na Chadama wakumbatie falsafa ya pragmatism politics, wawe pragmatic and do what is possible!.

TAL na Chadema na wapinzani wengine wote, wasaidiwe waachane na utopian politics, wafanye real politics, the time is almost too little too short!, hakuna muda wa kupoteza!.

P
Bro ..
Rejea Uchaguz wa 2020(uchaguzi mkuu) na 2024 (serikal za mitaa),yaliyotendeka..
Ungeshari strategy ipi hapo tuwe na uchaguz huru na haki?

Mbona hauzungumzii mapunguf ya kikatiba na tume ya uchaguzi?

Mbona hauzungumzii kata kata ya wagombea wa upanzani tu na sio wa Ccm?

Kwakuwa wewe pia ni mtanzania na naamini umepita darasani na una nia njema kabisa na chi yako,embu walau tupe briefly baadhi ya "Strategy" za kufanya au kuingia kwenye chaguzi ilihali katiba na tume ya uchaguzi ziko au zinabaki kama zilivyo..

Utakuwa umeitendea haki elimu yako, nchi na familia yako.
 
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Leo.
View attachment 3246218
Kiukweli kabisa, upinzani Tanzania una hali mbaya sana, uko dholfu bin taaban kwa kukosa watu wa mikakati, hivyo kuendelea kufanya siasa za kiharakati kwa kutumia utopian politics!, badala ya kufanya siasa za kimikakati, matokeo yake ni kushindwa vibaya, na ni kwa zaidi ya miaka 30, upinzani umeshindwa kushika dola, upinzani huu unatakiwa kusaidiwa, bila kusaidiwa, uchaguzi wa 2025, unakwenda kuwa kama uchaguzi wa 2020, Bunge la 2025 litakosa tena kambi rasmi ya upinzani Bungeni, matokeo yake ni hasara wote, CCM, Nchi na Watanzania, kwa kuwa na Bunge legelege, lisilo na uwezo wa kuisimamia serikali kikamilifu!. Tungekuwa na wapinzani makini mule Bungeni, yale baadhi ya madudu ya ajabu, yaliyopitishwa na Bunge letu, kama kama ule Mkataba wa DPW na Bandari zetu, na kutunga sheria batili ya uchaguzi inayokwenda kinyume na katiba yetu, yasingepita kirahisi vile!.

Leo nazungumzia umuhimu wa Tanzania kuwa na upinzani makini, upinzani imara na upinzani wa kweli kwa maendeleo ya taifa, bila kuwepo kwa upinzani imara, upinzani makini, hakutakuwa na CCM imara!, kwasababu imethibitishwa pasipo shaka, nchi zenye upinzani legelege, hupelekea vyama tawala kubweteka kwa kukosa changamoto, hivyo upinzani makini, imara na wa ukweli ni muhimu kwa maendeleo ya taifa.

Hili limethibishwa na hili Bunge ambalo ni kama Bunge Rubber Stempu, linapitisha kila kitu hata madudu ya ajabu, hivyo kukosa msisimko, ili Bunge lichangamke, lazima baadhi ya wapinzani makini waingie Bungeni, Bunge lijalo liwe na kambi rasmi ya upinzani. Wapinzani wasiposaidiwa, uchaguzi wa 2025, utakuwa kama uchaguzi wa 2020!.

Kazi ya upinzani makini na upinzani wa kweli ni kupinga kwa kutumia hoja mbadala, na sio kupinga tuu ili mradi unapinga, upinzani makini unapinga kwa kutumia nguvu ya hoja na sio hoja za nguvu, unapinga kwa hoja kwa kupangua hoja kwa hoja na wakati huo huo unaweka hoja mbadala ili kutoa changamoto kwa chama tawala kuwa tunakuangalia, ukishindwa unaondolewa!.

Upinzani wetu hapa Tanzania, una tatizo kwa wapinzani karibu wote, hawana hoja mbadala za kushindanisha na hoja za serikali, hivyo kuonekana kama upinzani wa kupiga tu kelele nawapinzani wengine karibu wote ni wapinzani wa kupinga tuu kila kitu bila kuwa na hoja mbadala, matokeo yake ni tuna upinzani uchwara usiotimiza majukumu ya upinzani makini, matokeo yake CCM kuutumia udhaifu wa upinzani wa aina hii kujiimarisha, uchaguzi mkuu wa 2025 upinzani usiposaidiwa, uchaguzi huu ni CCM tena!.

Kwa kuanzia kwanza tujifunze upinzani makini na wa kweli ni nini, unatakiwa kufanya nini, na upinzani legelege na uchwara ni nini, unafanya nini, kwanini Tanzania hatuna upinzani makini?

Tanzania tuna vyama 21 vya siasa vyenye usajili wa kudumu.

Lengo kuu la vyama vyote vya siasa, ni kushika dola na kuongoza serikali yaani kutawala. Kila chama kinaandaa ilani yake ya uchaguzi kwa kueleza iwapo kitapewa ridhaa ya kutawala na wananchi, kupitia uchaguzi huru, na wa haki, kitafanya hivi na vile katika maeneo haya na yale.

Kazi ya chama tawala ni kuongoza serikali kwa kutumia ilani yake ya uchaguzi. Baada ya uchaguzi, kazi ya upinzani makini duniani kote ni kupinga sera za chama tawala kwa hoja mbadala na sio kupinga tuu alimradi kupinga.

Hii imeifanya Tanzania kuwa na chama kimoja kikuu chenye nguvu, CCM ambacho ni kama dola, na vyama utitiri vya upinzani vinavyofanya siasa za uchwala, hali inayopelekea hakuna serious people wenye kutaka mabadiliko ya kweli, wanaweza kuviaminia kuvikabidhi nchi kutokana na kujikita kwenye siasa uchwara za matukio na kupinga tuu kila kitu badala ya kujikita kwenye siasa za kujenga hoja.

Upinzani makini unatakiwa kupinga hoja za serikali kwa hoja mbadala zenye mashiko, kwa upinzani huu wa kupinga tuu bila mbadala, nani atawaaminia wapinzani na kuwapa ridhaa?.

Nimemsikiliza TAL kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV kuhusu falsafa yake ya No Reforms No Election.

Japo hakuna ubishi kuhusu umahiri wa TAL kama mwanasheria, mwanasiasa, mbunge, mnadhimu mkuu wa upinzani, M/Mwenyekiti wa Chadema, lakini TAL kama Mwenyekiti wa Chadema, ana strengths zake, (umahiri), ila pia ana madhaifu yake ambayo anahitaji msaada mkubwa kusaidiwa na watu wenye uwezo wa kusaidia, ili Tundu Lissu, Chadema na wapinzani wengine, waweze kubadilika na kuachana na siasa za kiunaharakati na badala yake kufanya siasa za kimikakati ya kujiandaa kutawala.

Hivyo vibwagizo vya kiuanaharakati, kama “no reforms no election” vibwagiza hadaa (utopian politics) visivyotekelezeka!. Chadema na wapinzani wote, lazima wajikite kwenye kufanya siasa za ukweli, (real politics) ambazo ni siasa za mikakati, (politics of engagement), vinginevyo uchaguzi wa 2025, mambo ya 2020 yanakwenda kujirudia, na itakuwa ni CCM tena!.

Hivyo natoa wito, kwa Watanzania wowote wazalendo wa kweli wa nchi hii, na wenye mapenzi mema na nchi yetu, wenye uwezo, wa kuwasaidia wapinzani, na kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL ili aweze, na kuisaidia Chadema ili iweze na pia kuwasaidia wapinzani wengine wote kufanya siasa za ukweli za kutaka kushika dola.

Kwenye kipindi hicho, TAL alipoulizwa maandalizi ya uchaguzi, amesema Chadema haifanyi maandalizi yoyote bila reforms ni no election!. Hizi ni utopian politics, sii TAL wala Chadema wana uwezo wa kuzuia uchaguzi Mkuu usifanyike!.

Natoa wito, kwa watu wowote, wenye uwezo, kutoka popote hata wana CCM, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, kwa kuishauri kuwa uchaguzi mkuu wa 2025, Chadema ina fursa!, hii ni fursa adhimu na fursa adimu kwa Chadema kuichangamkia, muda uliobaki kabla ya uchaguzi, sio rafiki kufanya siasa za kiharakati, huu ni muda wa kufanya siasa za kimikakati ya ushindi, tena namshauri TAL na Chadama wakumbatie falsafa ya pragmatism politics, wawe pragmatic and do what is possible!.

TAL na Chadema na wapinzani wengine wote, wasaidiwe waachane na utopian politics, wafanye real politics, the time is almost too little too short!, hakuna muda wa kupoteza!.

Paskali.
Katika hili nakubaliana mahali fulani nawewe, sio Kwamba wanakosa watu wa mikakati laah, shida kubwa ya vyama vyetu Vya upinzani vinashindwa kuendana na mabadiliko ya wakati, kuwa na mentality za kitoto zinazowapelekea kuongozwa na mihemuko na ushabiki usio na tija.
Siasa za Tanzania na Nchi nyingi zilizopata uhuru wa mezani ni tofauti na siasa Za Nchi zilizopata uhuru wa mtutu wa bunduki au zile siasa za maumau za Kenya!

Leo vyama hivi vinayegemea mtanzania aliyepata uhuru wa mezani aingie barabarani kushinikiza uchaguzi huru wakati kuna CCM wanaotoa hela ukienda kwenye mikutano Yao au kofia na fulana kwenye kampeni zao.

Siasa ni sayansi inayohitaji numbers na rasilimali. Siasa ni zaidi ya kuzungumza sana jukwaani! Siasa ni zaidi ya sheria na katiba zaidi sana siasa Zina uhusiano wa moja kwa moja wa maisha ya jamii husika tabia zake na utamaduni wao. Ukishondwa kuendesha siasa zisizoakisi hayo niliyoorodhesha hapo juu utafeli vibaya sana.
 
Tanzania uchaguzi wa mwisho wa vyama vingi ulifanyika mwaka 2005!!

Sasa Kama hakuna uchaguzi utasemaje upinzani dhaifu?

Dhaifu ni CCM wanaoiba chaguzi toka 2010 au upinzani ?

Kama wewe ni Bora kwanini uibe chaguzi?

Real politics ni Nini kusema uongo?

Trump kawa Rais Marekani Tena Mara mbili kwa ku play siasa ya harakati kwa 90% maana yake watu wanajielewa wanaelewa siasa za Tundu Lissu Ila wanasiasa wenye makandokando na wapigaji hawawezi kumuelewa.

Subiri apitishwe kugombea urais ndio mtaelewa Lissu ni dhaifu au ni kina kirefu!!
Acha analysis za kitoto, Trump hajafanya siasa za harakati! Trump alikua na strategists Wazuri sana na alikua na sera ambazo zilivutia makundi mengi ya wapiga kura!! Then Marekani ipo mile elfu na elfu Mbele ya Tanzania katika mambo ya demokrasia na uongozi. Punguza ujuaji wa kitoto.
 
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Leo.
View attachment 3246218
Kiukweli kabisa, upinzani Tanzania una hali mbaya sana, uko dholfu bin taaban kwa kukosa watu wa mikakati, hivyo kuendelea kufanya siasa za kiharakati kwa kutumia utopian politics!, badala ya kufanya siasa za kimikakati, matokeo yake ni kushindwa vibaya, na ni kwa zaidi ya miaka 30, upinzani umeshindwa kushika dola, upinzani huu unatakiwa kusaidiwa, bila kusaidiwa, uchaguzi wa 2025, unakwenda kuwa kama uchaguzi wa 2020, Bunge la 2025 litakosa tena kambi rasmi ya upinzani Bungeni, matokeo yake ni hasara wote, CCM, Nchi na Watanzania kwa ujumla.

Kukosekana kwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, kumepelekea kuwa na Bunge legelege, lisilo na uwezo wa kuisimamia serikali kikamilifu!. Bunge hili limekuwa linapitisha kitutusa, kila linacholetewa na serikali!.

Tungekuwa na wapinzani makini mule Bungeni, yale baadhi ya madudu ya ajabu.ajabu yaliyopitishwa na Bunge letu, kama kama ule Mkataba batili, kisha kuletewa muswada batili wa sheria mpya ya uchaguzi na kutunga kuwa sheria huku inakwenda kinyume na katiba yetu, yasingepita kabisa kirahisi ki vile!.

Leo nazungumzia umuhimu wa Tanzania kuwa na upinzani makini, upinzani imara na upinzani wa kweli kwa maendeleo ya taifa, bila kuwepo kwa upinzani imara, upinzani makini, hakutakuwa na CCM imara!, kwasababu imethibitishwa pasipo shaka, nchi zenye upinzani legelege, hupelekea vyama tawala kubweteka kwa kukosa changamoto, hivyo upinzani makini, imara na wa ukweli ni muhimu kwa maendeleo ya taifa.

Hili limethibishwa na hili Bunge ambalo ni kama Bunge Rubber Stempu, linapitisha kila kitu hata madudu ya ajabu ajabu, hivyo kukosa msisimko, ili Bunge lichangamke, lazima baadhi ya wapinzani makini waingie Bungeni, Bunge lijalo liwe na kambi rasmi ya upinzani. Wapinzani wasiposaidiwa, uchaguzi wa 2025, utakuwa kama uchaguzi wa 2020!.

Kazi ya upinzani makini na upinzani wa kweli ni kupinga kwa kutumia hoja mbadala, na sio kupinga tuu ili mradi unapinga, upinzani makini unapinga kwa kutumia nguvu ya hoja na sio hoja za nguvu, unapinga kwa hoja kwa kupangua hoja kwa hoja na wakati huo huo unaweka hoja mbadala ili kutoa changamoto kwa chama tawala kuwa tunakuangalia, ukishindwa unaondolewa!.

Upinzani wetu hapa Tanzania, una tatizo kwa wapinzani karibu wote, hawana hoja mbadala za kushindanisha na hoja za serikali, hivyo kuonekana kama upinzani wa kupiga tu kelele nawapinzani wengine karibu wote ni wapinzani wa kupinga tuu kila kitu bila kuwa na hoja mbadala, matokeo yake ni tuna upinzani uchwara usiotimiza majukumu ya upinzani makini, matokeo yake CCM kuutumia udhaifu wa upinzani wa aina hii kujiimarisha, uchaguzi mkuu wa 2025 upinzani usiposaidiwa, uchaguzi huu ni CCM tena!.

Kwa kuanzia kwanza tujifunze upinzani makini na wa kweli ni nini, unatakiwa kufanya nini, na upinzani legelege na uchwara ni nini, unafanya nini, kwanini Tanzania hatuna upinzani makini?

Tanzania tuna vyama 21 vya siasa vyenye usajili wa kudumu.

Lengo kuu la vyama vyote vya siasa, ni kushika dola na kuongoza serikali yaani kutawala. Kila chama kinaandaa ilani yake ya uchaguzi kwa kueleza iwapo kitapewa ridhaa ya kutawala na wananchi, kupitia uchaguzi huru, na wa haki, kitafanya hivi na vile katika maeneo haya na yale.

Kazi ya chama tawala ni kuongoza serikali kwa kutumia ilani yake ya uchaguzi. Baada ya uchaguzi, kazi ya upinzani makini duniani kote ni kupinga sera za chama tawala kwa hoja mbadala na sio kupinga tuu alimradi kupinga.

Hii imeifanya Tanzania kuwa na chama kimoja kikuu chenye nguvu, CCM ambacho ni kama dola, na vyama utitiri vya upinzani vinavyofanya siasa za uchwala, hali inayopelekea hakuna serious people wenye kutaka mabadiliko ya kweli, wanaweza kuviaminia kuvikabidhi nchi kutokana na kujikita kwenye siasa uchwara za matukio na kupinga tuu kila kitu badala ya kujikita kwenye siasa za kujenga hoja.

Upinzani makini unatakiwa kupinga hoja za serikali kwa hoja mbadala zenye mashiko, kwa upinzani huu wa kupinga tuu bila mbadala, nani atawaaminia wapinzani na kuwapa ridhaa?.

Nimemsikiliza TAL kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV kuhusu falsafa yake ya No Reforms No Election.

Japo hakuna ubishi kuhusu umahiri wa TAL kama mwanasheria, mwanasiasa, mbunge, mnadhimu mkuu wa upinzani, M/Mwenyekiti wa Chadema, lakini TAL kama Mwenyekiti wa Chadema, ana strengths zake, (umahiri), ila pia ana madhaifu yake ambayo anahitaji msaada mkubwa kusaidiwa na watu wenye uwezo wa kusaidia, ili Tundu Lissu, Chadema na wapinzani wengine, waweze kubadilika na kuachana na siasa za kiunaharakati na badala yake kufanya siasa za kimikakati ya kujiandaa kutawala.

Hivyo vibwagizo vya kiuanaharakati, kama “no reforms no election” vibwagiza hadaa (utopian politics) visivyotekelezeka!. Chadema na wapinzani wote, lazima wajikite kwenye kufanya siasa za ukweli, (real politics) ambazo ni siasa za mikakati, (politics of engagement), vinginevyo uchaguzi wa 2025, mambo ya 2020 yanakwenda kujirudia, na itakuwa ni CCM tena!.

Hivyo natoa wito, kwa Watanzania wowote wazalendo wa kweli wa nchi hii, na wenye mapenzi mema na nchi yetu, wenye uwezo, wa kuwasaidia wapinzani, na kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL ili aweze, na kuisaidia Chadema ili iweze na pia kuwasaidia wapinzani wengine wote kufanya siasa za ukweli za kutaka kushika dola.

Kwenye kipindi hicho, TAL alipoulizwa maandalizi ya uchaguzi, amesema Chadema haifanyi maandalizi yoyote bila reforms ni no election!. Hizi ni utopian politics, sii TAL wala Chadema wana uwezo wa kuzuia uchaguzi Mkuu usifanyike!.

Natoa wito, kwa watu wowote, wenye uwezo, kutoka popote hata wana CCM, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, kwa kuishauri kuwa uchaguzi mkuu wa 2025, Chadema ina fursa!, hii ni fursa adhimu na fursa adimu kwa Chadema kuichangamkia, muda uliobaki kabla ya uchaguzi, sio rafiki kufanya siasa za kiharakati, huu ni muda wa kufanya siasa za kimikakati ya ushindi, tena namshauri TAL na Chadama wakumbatie falsafa ya pragmatism politics, wawe pragmatic and do what is possible!.

TAL na Chadema na wapinzani wengine wote, wasaidiwe waachane na utopian politics, wafanye real politics, the time is almost too little too short!, hakuna muda wa kupoteza!.

Paskali.
Cha kushangaza ikifika siku ya kupiga kura mnakata majina ya wapinzani,kama wako hoi Kwa nini mnakata majina?
 
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Leo.
View attachment 3246218
Kiukweli kabisa, upinzani Tanzania una hali mbaya sana, uko dholfu bin taaban kwa kukosa watu wa mikakati, hivyo kuendelea kufanya siasa za kiharakati kwa kutumia utopian politics!, badala ya kufanya siasa za kimikakati, matokeo yake ni kushindwa vibaya, na ni kwa zaidi ya miaka 30, upinzani umeshindwa kushika dola, upinzani huu unatakiwa kusaidiwa, bila kusaidiwa, uchaguzi wa 2025, unakwenda kuwa kama uchaguzi wa 2020, Bunge la 2025 litakosa tena kambi rasmi ya upinzani Bungeni, matokeo yake ni hasara wote, CCM, Nchi na Watanzania, kwa kuwa na Bunge legelege, lisilo na uwezo wa kuisimamia serikali kikamilifu!. Tungekuwa na wapinzani makini mule Bungeni, yale baadhi ya madudu ya ajabu, yaliyopitishwa na Bunge letu, kama kama ule Mkataba wa DPW na Bandari zetu, na kutunga sheria batili ya uchaguzi inayokwenda kinyume na katiba yetu, yasingepita kirahisi vile!.

Leo nazungumzia umuhimu wa Tanzania kuwa na upinzani makini, upinzani imara na upinzani wa kweli kwa maendeleo ya taifa, bila kuwepo kwa upinzani imara, upinzani makini, hakutakuwa na CCM imara!, kwasababu imethibitishwa pasipo shaka, nchi zenye upinzani legelege, hupelekea vyama tawala kubweteka kwa kukosa changamoto, hivyo upinzani makini, imara na wa ukweli ni muhimu kwa maendeleo ya taifa.

Hili limethibishwa na hili Bunge ambalo ni kama Bunge Rubber Stempu, linapitisha kila kitu hata madudu ya ajabu, hivyo kukosa msisimko, ili Bunge lichangamke, lazima baadhi ya wapinzani makini waingie Bungeni, Bunge lijalo liwe na kambi rasmi ya upinzani. Wapinzani wasiposaidiwa, uchaguzi wa 2025, utakuwa kama uchaguzi wa 2020!.

Kazi ya upinzani makini na upinzani wa kweli ni kupinga kwa kutumia hoja mbadala, na sio kupinga tuu ili mradi unapinga, upinzani makini unapinga kwa kutumia nguvu ya hoja na sio hoja za nguvu, unapinga kwa hoja kwa kupangua hoja kwa hoja na wakati huo huo unaweka hoja mbadala ili kutoa changamoto kwa chama tawala kuwa tunakuangalia, ukishindwa unaondolewa!.

Upinzani wetu hapa Tanzania, una tatizo kwa wapinzani karibu wote, hawana hoja mbadala za kushindanisha na hoja za serikali, hivyo kuonekana kama upinzani wa kupiga tu kelele nawapinzani wengine karibu wote ni wapinzani wa kupinga tuu kila kitu bila kuwa na hoja mbadala, matokeo yake ni tuna upinzani uchwara usiotimiza majukumu ya upinzani makini, matokeo yake CCM kuutumia udhaifu wa upinzani wa aina hii kujiimarisha, uchaguzi mkuu wa 2025 upinzani usiposaidiwa, uchaguzi huu ni CCM tena!.

Kwa kuanzia kwanza tujifunze upinzani makini na wa kweli ni nini, unatakiwa kufanya nini, na upinzani legelege na uchwara ni nini, unafanya nini, kwanini Tanzania hatuna upinzani makini?

Tanzania tuna vyama 21 vya siasa vyenye usajili wa kudumu.

Lengo kuu la vyama vyote vya siasa, ni kushika dola na kuongoza serikali yaani kutawala. Kila chama kinaandaa ilani yake ya uchaguzi kwa kueleza iwapo kitapewa ridhaa ya kutawala na wananchi, kupitia uchaguzi huru, na wa haki, kitafanya hivi na vile katika maeneo haya na yale.

Kazi ya chama tawala ni kuongoza serikali kwa kutumia ilani yake ya uchaguzi. Baada ya uchaguzi, kazi ya upinzani makini duniani kote ni kupinga sera za chama tawala kwa hoja mbadala na sio kupinga tuu alimradi kupinga.

Hii imeifanya Tanzania kuwa na chama kimoja kikuu chenye nguvu, CCM ambacho ni kama dola, na vyama utitiri vya upinzani vinavyofanya siasa za uchwala, hali inayopelekea hakuna serious people wenye kutaka mabadiliko ya kweli, wanaweza kuviaminia kuvikabidhi nchi kutokana na kujikita kwenye siasa uchwara za matukio na kupinga tuu kila kitu badala ya kujikita kwenye siasa za kujenga hoja.

Upinzani makini unatakiwa kupinga hoja za serikali kwa hoja mbadala zenye mashiko, kwa upinzani huu wa kupinga tuu bila mbadala, nani atawaaminia wapinzani na kuwapa ridhaa?.

Nimemsikiliza TAL kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV kuhusu falsafa yake ya No Reforms No Election.

Japo hakuna ubishi kuhusu umahiri wa TAL kama mwanasheria, mwanasiasa, mbunge, mnadhimu mkuu wa upinzani, M/Mwenyekiti wa Chadema, lakini TAL kama Mwenyekiti wa Chadema, ana strengths zake, (umahiri), ila pia ana madhaifu yake ambayo anahitaji msaada mkubwa kusaidiwa na watu wenye uwezo wa kusaidia, ili Tundu Lissu, Chadema na wapinzani wengine, waweze kubadilika na kuachana na siasa za kiunaharakati na badala yake kufanya siasa za kimikakati ya kujiandaa kutawala.

Hivyo vibwagizo vya kiuanaharakati, kama “no reforms no election” vibwagiza hadaa (utopian politics) visivyotekelezeka!. Chadema na wapinzani wote, lazima wajikite kwenye kufanya siasa za ukweli, (real politics) ambazo ni siasa za mikakati, (politics of engagement), vinginevyo uchaguzi wa 2025, mambo ya 2020 yanakwenda kujirudia, na itakuwa ni CCM tena!.

Hivyo natoa wito, kwa Watanzania wowote wazalendo wa kweli wa nchi hii, na wenye mapenzi mema na nchi yetu, wenye uwezo, wa kuwasaidia wapinzani, na kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL ili aweze, na kuisaidia Chadema ili iweze na pia kuwasaidia wapinzani wengine wote kufanya siasa za ukweli za kutaka kushika dola.

Kwenye kipindi hicho, TAL alipoulizwa maandalizi ya uchaguzi, amesema Chadema haifanyi maandalizi yoyote bila reforms ni no election!. Hizi ni utopian politics, sii TAL wala Chadema wana uwezo wa kuzuia uchaguzi Mkuu usifanyike!.

Natoa wito, kwa watu wowote, wenye uwezo, kutoka popote hata wana CCM, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, kwa kuishauri kuwa uchaguzi mkuu wa 2025, Chadema ina fursa!, hii ni fursa adhimu na fursa adimu kwa Chadema kuichangamkia, muda uliobaki kabla ya uchaguzi, sio rafiki kufanya siasa za kiharakati, huu ni muda wa kufanya siasa za kimikakati ya ushindi, tena namshauri TAL na Chadama wakumbatie falsafa ya pragmatism politics, wawe pragmatic and do what is possible!.

TAL na Chadema na wapinzani wengine wote, wasaidiwe waachane na utopian politics, wafanye real politics, the time is almost too little too short!, hakuna muda wa kupoteza!.

Paskali.
For sure,
hata mimi natamani mno kuona united and vibrant opposition Tanzania,

hayo mengine ya sijui eti bunge legelege, nadhan ni sawa na hayo ya utopian view ya upinzani, kwasababu bunge linaweza kutekeleza wajibu na majukumu yake kwa niaba ya wananchi na kwa mujibu wa katiba bila hata uwepo wa upinzani.

Chuki binafsi dhidi ya maazimio mballimbali ya bunge ni kujaribu kudhoofisha au kubeza matakwa ya wananchi.

Jambo la mwisho,
kuna baadhi ya vingozi wa upinzani ni alfa na omega ndani ya vyama vyao, wao ndio wahasibu, wao ndio washauri n.k, huwezi kumshauri na wala hahitaji ushauri wa yeyote, mathalani kwa huyo kiongozi ambae unajaribu kumshauri na kuomba wadau wamshauri kwa kumsaidia namna bora ya kurun siasa za upinzani kulingana na wakati uliopo,

mi nadhani huyo ni kibaka na tapeli wa kisiasa tu, Lazima kwanza matokeo ya uchaguzi mkuu wa Oct mwaka 2025 yamfedheheshe ndipo akili itamkaa sawa, napengine ndipo anaweza kuskiza ushauri wa wengine,

wengine wana viburi vya asili, ni hadi aone damu zinamtoka kwanza ndio aamini kwamba anapigwa 🐒
 
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Leo.
View attachment 3246218
Kiukweli kabisa, upinzani Tanzania una hali mbaya sana, uko dholfu bin taaban kwa kukosa watu wa mikakati, hivyo kuendelea kufanya siasa za kiharakati kwa kutumia utopian politics!, badala ya kufanya siasa za kimikakati, matokeo yake ni kushindwa vibaya, na ni kwa zaidi ya miaka 30, upinzani umeshindwa kushika dola, upinzani huu unatakiwa kusaidiwa, bila kusaidiwa, uchaguzi wa 2025, unakwenda kuwa kama uchaguzi wa 2020, Bunge la 2025 litakosa tena kambi rasmi ya upinzani Bungeni, matokeo yake ni hasara wote, CCM, Nchi na Watanzania kwa ujumla.

Kukosekana kwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, kumepelekea kuwa na Bunge legelege, lisilo na uwezo wa kuisimamia serikali kikamilifu!. Bunge hili limekuwa linapitisha kitutusa, kila linacholetewa na serikali!.

Tungekuwa na wapinzani makini mule Bungeni, yale baadhi ya madudu ya ajabu.ajabu yaliyopitishwa na Bunge letu, kama kama ule Mkataba batili, kisha kuletewa muswada batili wa sheria mpya ya uchaguzi na kutunga kuwa sheria huku inakwenda kinyume na katiba yetu, yasingepita kabisa kirahisi ki vile!.

Leo nazungumzia umuhimu wa Tanzania kuwa na upinzani makini, upinzani imara na upinzani wa kweli kwa maendeleo ya taifa, bila kuwepo kwa upinzani imara, upinzani makini, hakutakuwa na CCM imara!, kwasababu imethibitishwa pasipo shaka, nchi zenye upinzani legelege, hupelekea vyama tawala kubweteka kwa kukosa changamoto, hivyo upinzani makini, imara na wa ukweli ni muhimu kwa maendeleo ya taifa.

Hili limethibishwa na hili Bunge ambalo ni kama Bunge Rubber Stempu, linapitisha kila kitu hata madudu ya ajabu ajabu, hivyo kukosa msisimko, ili Bunge lichangamke, lazima baadhi ya wapinzani makini waingie Bungeni, Bunge lijalo liwe na kambi rasmi ya upinzani. Wapinzani wasiposaidiwa, uchaguzi wa 2025, utakuwa kama uchaguzi wa 2020!.

Kazi ya upinzani makini na upinzani wa kweli ni kupinga kwa kutumia hoja mbadala, na sio kupinga tuu ili mradi unapinga, upinzani makini unapinga kwa kutumia nguvu ya hoja na sio hoja za nguvu, unapinga kwa hoja kwa kupangua hoja kwa hoja na wakati huo huo unaweka hoja mbadala ili kutoa changamoto kwa chama tawala kuwa tunakuangalia, ukishindwa unaondolewa!.

Upinzani wetu hapa Tanzania, una tatizo kwa wapinzani karibu wote, hawana hoja mbadala za kushindanisha na hoja za serikali, hivyo kuonekana kama upinzani wa kupiga tu kelele nawapinzani wengine karibu wote ni wapinzani wa kupinga tuu kila kitu bila kuwa na hoja mbadala, matokeo yake ni tuna upinzani uchwara usiotimiza majukumu ya upinzani makini, matokeo yake CCM kuutumia udhaifu wa upinzani wa aina hii kujiimarisha, uchaguzi mkuu wa 2025 upinzani usiposaidiwa, uchaguzi huu ni CCM tena!.

Kwa kuanzia kwanza tujifunze upinzani makini na wa kweli ni nini, unatakiwa kufanya nini, na upinzani legelege na uchwara ni nini, unafanya nini, kwanini Tanzania hatuna upinzani makini?

Tanzania tuna vyama 21 vya siasa vyenye usajili wa kudumu.

Lengo kuu la vyama vyote vya siasa, ni kushika dola na kuongoza serikali yaani kutawala. Kila chama kinaandaa ilani yake ya uchaguzi kwa kueleza iwapo kitapewa ridhaa ya kutawala na wananchi, kupitia uchaguzi huru, na wa haki, kitafanya hivi na vile katika maeneo haya na yale.

Kazi ya chama tawala ni kuongoza serikali kwa kutumia ilani yake ya uchaguzi. Baada ya uchaguzi, kazi ya upinzani makini duniani kote ni kupinga sera za chama tawala kwa hoja mbadala na sio kupinga tuu alimradi kupinga.

Hii imeifanya Tanzania kuwa na chama kimoja kikuu chenye nguvu, CCM ambacho ni kama dola, na vyama utitiri vya upinzani vinavyofanya siasa za uchwala, hali inayopelekea hakuna serious people wenye kutaka mabadiliko ya kweli, wanaweza kuviaminia kuvikabidhi nchi kutokana na kujikita kwenye siasa uchwara za matukio na kupinga tuu kila kitu badala ya kujikita kwenye siasa za kujenga hoja.

Upinzani makini unatakiwa kupinga hoja za serikali kwa hoja mbadala zenye mashiko, kwa upinzani huu wa kupinga tuu bila mbadala, nani atawaaminia wapinzani na kuwapa ridhaa?.

Nimemsikiliza TAL kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV kuhusu falsafa yake ya No Reforms No Election.

Japo hakuna ubishi kuhusu umahiri wa TAL kama mwanasheria, mwanasiasa, mbunge, mnadhimu mkuu wa upinzani, M/Mwenyekiti wa Chadema, lakini TAL kama Mwenyekiti wa Chadema, ana strengths zake, (umahiri), ila pia ana madhaifu yake ambayo anahitaji msaada mkubwa kusaidiwa na watu wenye uwezo wa kusaidia, ili Tundu Lissu, Chadema na wapinzani wengine, waweze kubadilika na kuachana na siasa za kiunaharakati na badala yake kufanya siasa za kimikakati ya kujiandaa kutawala.

Hivyo vibwagizo vya kiuanaharakati, kama “no reforms no election” vibwagiza hadaa (utopian politics) visivyotekelezeka!. Chadema na wapinzani wote, lazima wajikite kwenye kufanya siasa za ukweli, (real politics) ambazo ni siasa za mikakati, (politics of engagement), vinginevyo uchaguzi wa 2025, mambo ya 2020 yanakwenda kujirudia, na itakuwa ni CCM tena!.

Hivyo natoa wito, kwa Watanzania wowote wazalendo wa kweli wa nchi hii, na wenye mapenzi mema na nchi yetu, wenye uwezo, wa kuwasaidia wapinzani, na kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL ili aweze, na kuisaidia Chadema ili iweze na pia kuwasaidia wapinzani wengine wote kufanya siasa za ukweli za kutaka kushika dola.

Kwenye kipindi hicho, TAL alipoulizwa maandalizi ya uchaguzi, amesema Chadema haifanyi maandalizi yoyote bila reforms ni no election!. Hizi ni utopian politics, sii TAL wala Chadema wana uwezo wa kuzuia uchaguzi Mkuu usifanyike!.

Natoa wito, kwa watu wowote, wenye uwezo, kutoka popote hata wana CCM, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, kwa kuishauri kuwa uchaguzi mkuu wa 2025, Chadema ina fursa!, hii ni fursa adhimu na fursa adimu kwa Chadema kuichangamkia, muda uliobaki kabla ya uchaguzi, sio rafiki kufanya siasa za kiharakati, huu ni muda wa kufanya siasa za kimikakati ya ushindi, tena namshauri TAL na Chadama wakumbatie falsafa ya pragmatism politics, wawe pragmatic and do what is possible!.

TAL na Chadema na wapinzani wengine wote, wasaidiwe waachane na utopian politics, wafanye real politics, the time is almost too little too short!, hakuna muda wa kupoteza!.

Paskali
Nadhani wewe ndiye anayehitaji zaidi misaada wa kisaikolojia. Mtu makini akifuatilia makala zako nyingi utagundua kuwa dishi limeyumba kiasi, na mpepesuko wa mawazo. Dominika njema
 
Kama upinzani ni dhaifu ni kwanini polisi wanawekwa katika vituo vya kupiga kura?
Ni kwanini anaetangazwa na tume kuwa ni mshindi ndiye mshindi hata kama amepata 20% ya kura zote na kesi hawezi kupingwa mahakamani?
 
😄

Multiparty imetushinda

Hamas Walikuwa Chama Cha Upinzani huko Palestine

Zelenesky ni Rais kutoka Chama Cha Upinzani huko Ukraine

Labda ndio sababu watanzania hawapendelei Vyama kama CUF
Vyama vya siasa vya upinzani haviaminiki kwa umma wa Tanzania.
Shauku ya demokrasia ya ushindani kama Ulaya Magharibi imeyeyuka.
Sababu ni kutokuwa na demokrasia ndani ya vyama vyenyewe.Wengine wamevigeuza SACCOS za kuchuma ruzuku.
Vingine ni vigeugeu as if are compromised.
Vingine vimeendekeza ubaguzi n.k
Dawa ni kuruhusu mgombea binafsi,na hata pale akiwa diwani au mbunge kupitia chama cha kisiasa aruhusiwe kuhama chama bila kufukuzwa ubunge,udiwani
 
Kwa namna uchaguzi serikali za mitaa ulivyoendeshwa majuzi, ukiwalaumu CHADEMA na sera yao ya no reforms no election utakuwa unawaonea buree!.
Kilichotokea uchaguzi ule ni indicator wa nn kinaenda kutokea uchaguzi mkuu oktoba mwaka huu!!!.
 
Naunga mkono wasaidiwe ukiangaila haraka haraka hawajui wanataka nini ukitafakari kauli ya Amos makala CCM kwamba chadema hawaja jitayarisha kwa uchaguzi....unapata jumuisho zima la mada yako kuwa wanahitaji msaada wa ushauri nchi zote upinzani walikoshinda vyama tawala vilikuwa na dola ila sera nzuri na waliamua kufanya siasa za kimkakati ushauri mzuri zaidi....wajikite kwenye uchaguzi wa mwaka 2030 kuanzia sasa waandae sera watakazo uza kwa wanachama..wajue Tanzania sio msumbuji Tanzania haina vijana vibaka wengi wao wanajielewa huwezi tu wapeleka barabarani pasi na sababu..
Lowassa aliwapa somo zuri chama ki-graduate kutoka siasa za majitaka harakati kwenda siasa za kimkakati tayari kwa kushika dola!
 
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Leo.
View attachment 3246218
Kiukweli kabisa, upinzani Tanzania una hali mbaya sana, uko dholfu bin taaban kwa kukosa watu wa mikakati, hivyo kuendelea kufanya siasa za kiharakati kwa kutumia utopian politics!, badala ya kufanya siasa za kimikakati, matokeo yake ni kushindwa vibaya, na ni kwa zaidi ya miaka 30, upinzani umeshindwa kushika dola, upinzani huu unatakiwa kusaidiwa, bila kusaidiwa, uchaguzi wa 2025, unakwenda kuwa kama uchaguzi wa 2020, Bunge la 2025 litakosa tena kambi rasmi ya upinzani Bungeni, matokeo yake ni hasara wote, CCM, Nchi na Watanzania kwa ujumla.

Kukosekana kwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, kumepelekea kuwa na Bunge legelege, lisilo na uwezo wa kuisimamia serikali kikamilifu!. Bunge hili limekuwa linapitisha kitutusa, kila linacholetewa na serikali!.

Tungekuwa na wapinzani makini mule Bungeni, yale baadhi ya madudu ya ajabu.ajabu yaliyopitishwa na Bunge letu, kama kama ule Mkataba batili, kisha kuletewa muswada batili wa sheria mpya ya uchaguzi na kutunga kuwa sheria huku inakwenda kinyume na katiba yetu, yasingepita kabisa kirahisi ki vile!.

Leo nazungumzia umuhimu wa Tanzania kuwa na upinzani makini, upinzani imara na upinzani wa kweli kwa maendeleo ya taifa, bila kuwepo kwa upinzani imara, upinzani makini, hakutakuwa na CCM imara!, kwasababu imethibitishwa pasipo shaka, nchi zenye upinzani legelege, hupelekea vyama tawala kubweteka kwa kukosa changamoto, hivyo upinzani makini, imara na wa ukweli ni muhimu kwa maendeleo ya taifa.

Hili limethibishwa na hili Bunge ambalo ni kama Bunge Rubber Stempu, linapitisha kila kitu hata madudu ya ajabu ajabu, hivyo kukosa msisimko, ili Bunge lichangamke, lazima baadhi ya wapinzani makini waingie Bungeni, Bunge lijalo liwe na kambi rasmi ya upinzani. Wapinzani wasiposaidiwa, uchaguzi wa 2025, utakuwa kama uchaguzi wa 2020!.

Kazi ya upinzani makini na upinzani wa kweli ni kupinga kwa kutumia hoja mbadala, na sio kupinga tuu ili mradi unapinga, upinzani makini unapinga kwa kutumia nguvu ya hoja na sio hoja za nguvu, unapinga kwa hoja kwa kupangua hoja kwa hoja na wakati huo huo unaweka hoja mbadala ili kutoa changamoto kwa chama tawala kuwa tunakuangalia, ukishindwa unaondolewa!.

Upinzani wetu hapa Tanzania, una tatizo kwa wapinzani karibu wote, hawana hoja mbadala za kushindanisha na hoja za serikali, hivyo kuonekana kama upinzani wa kupiga tu kelele nawapinzani wengine karibu wote ni wapinzani wa kupinga tuu kila kitu bila kuwa na hoja mbadala, matokeo yake ni tuna upinzani uchwara usiotimiza majukumu ya upinzani makini, matokeo yake CCM kuutumia udhaifu wa upinzani wa aina hii kujiimarisha, uchaguzi mkuu wa 2025 upinzani usiposaidiwa, uchaguzi huu ni CCM tena!.

Kwa kuanzia kwanza tujifunze upinzani makini na wa kweli ni nini, unatakiwa kufanya nini, na upinzani legelege na uchwara ni nini, unafanya nini, kwanini Tanzania hatuna upinzani makini?

Tanzania tuna vyama 21 vya siasa vyenye usajili wa kudumu.

Lengo kuu la vyama vyote vya siasa, ni kushika dola na kuongoza serikali yaani kutawala. Kila chama kinaandaa ilani yake ya uchaguzi kwa kueleza iwapo kitapewa ridhaa ya kutawala na wananchi, kupitia uchaguzi huru, na wa haki, kitafanya hivi na vile katika maeneo haya na yale.

Kazi ya chama tawala ni kuongoza serikali kwa kutumia ilani yake ya uchaguzi. Baada ya uchaguzi, kazi ya upinzani makini duniani kote ni kupinga sera za chama tawala kwa hoja mbadala na sio kupinga tuu alimradi kupinga.

Hii imeifanya Tanzania kuwa na chama kimoja kikuu chenye nguvu, CCM ambacho ni kama dola, na vyama utitiri vya upinzani vinavyofanya siasa za uchwala, hali inayopelekea hakuna serious people wenye kutaka mabadiliko ya kweli, wanaweza kuviaminia kuvikabidhi nchi kutokana na kujikita kwenye siasa uchwara za matukio na kupinga tuu kila kitu badala ya kujikita kwenye siasa za kujenga hoja.

Upinzani makini unatakiwa kupinga hoja za serikali kwa hoja mbadala zenye mashiko, kwa upinzani huu wa kupinga tuu bila mbadala, nani atawaaminia wapinzani na kuwapa ridhaa?.

Nimemsikiliza TAL kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV kuhusu falsafa yake ya No Reforms No Election.

Japo hakuna ubishi kuhusu umahiri wa TAL kama mwanasheria, mwanasiasa, mbunge, mnadhimu mkuu wa upinzani, M/Mwenyekiti wa Chadema, lakini TAL kama Mwenyekiti wa Chadema, ana strengths zake, (umahiri), ila pia ana madhaifu yake ambayo anahitaji msaada mkubwa kusaidiwa na watu wenye uwezo wa kusaidia, ili Tundu Lissu, Chadema na wapinzani wengine, waweze kubadilika na kuachana na siasa za kiunaharakati na badala yake kufanya siasa za kimikakati ya kujiandaa kutawala.

Hivyo vibwagizo vya kiuanaharakati, kama “no reforms no election” vibwagiza hadaa (utopian politics) visivyotekelezeka!. Chadema na wapinzani wote, lazima wajikite kwenye kufanya siasa za ukweli, (real politics) ambazo ni siasa za mikakati, (politics of engagement), vinginevyo uchaguzi wa 2025, mambo ya 2020 yanakwenda kujirudia, na itakuwa ni CCM tena!.

Hivyo natoa wito, kwa Watanzania wowote wazalendo wa kweli wa nchi hii, na wenye mapenzi mema na nchi yetu, wenye uwezo, wa kuwasaidia wapinzani, na kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL ili aweze, na kuisaidia Chadema ili iweze na pia kuwasaidia wapinzani wengine wote kufanya siasa za ukweli za kutaka kushika dola.

Kwenye kipindi hicho, TAL alipoulizwa maandalizi ya uchaguzi, amesema Chadema haifanyi maandalizi yoyote bila reforms ni no election!. Hizi ni utopian politics, sii TAL wala Chadema wana uwezo wa kuzuia uchaguzi Mkuu usifanyike!.

Natoa wito, kwa watu wowote, wenye uwezo, kutoka popote hata wana CCM, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, kwa kuishauri kuwa uchaguzi mkuu wa 2025, Chadema ina fursa!, hii ni fursa adhimu na fursa adimu kwa Chadema kuichangamkia, muda uliobaki kabla ya uchaguzi, sio rafiki kufanya siasa za kiharakati, huu ni muda wa kufanya siasa za kimikakati ya ushindi, tena namshauri TAL na Chadama wakumbatie falsafa ya pragmatism politics, wawe pragmatic and do what is possible!.

TAL na Chadema na wapinzani wengine wote, wasaidiwe waachane na utopian politics, wafanye real politics, the time is almost too little too short!, hakuna muda wa kupoteza!.

Paskali.
Wanaokataa reform ndiyo dhaifu,fanyeni mabadiliko tuone dhaifu nani chadema au wezi wa mali za umma achane porojo hapa.
 
Tanzania uchaguzi wa mwisho wa vyama vingi ulifanyika mwaka 2005!!

Sasa Kama hakuna uchaguzi utasemaje upinzani dhaifu?

Dhaifu ni CCM wanaoiba chaguzi toka 2010 au upinzani ?

Kama wewe ni Bora kwanini uibe chaguzi?

Real politics ni Nini kusema uongo?

Trump kawa Rais Marekani Tena Mara mbili kwa ku play siasa ya harakati kwa 90% maana yake watu wanajielewa wanaelewa siasa za Tundu Lissu Ila wanasiasa wenye makandokando na wapigaji hawawezi kumuelewa.

Subiri apitishwe kugombea urais ndio mtaelewa Lissu ni dhaifu au ni kina kirefu!!
Mkuu wangu apa jf huna jipya nimeanza kukupuuza
 
Bro ..
Rejea Uchaguz wa 2020(uchaguzi mkuu) na 2024 (serikal za mitaa),yaliyotendeka..
Ungeshari strategy ipi hapo tuwe na uchaguz huru na haki?

Mbona hauzungumzii mapunguf ya kikatiba na tume ya uchaguzi?

Mbona hauzungumzii kata kata ya wagombea wa upanzani tu na sio wa Ccm?

Kwakuwa wewe pia ni mtanzania na naamini umepita darasani na una nia njema kabisa na chi yako,embu walau tupe briefly baadhi ya "Strategy" za kufanya au kuingia kwenye chaguzi ilihali katiba na tume ya uchaguzi ziko au zinabaki kama zilivyo..

Utakuwa umeitendea haki elimu yako, nchi na familia yako.
Mkuu, toka urudi kwenye Kamati ya Maadiri, ushauri na maelekezo yako, huwa una ya balance - "huku upo na upande ule upo, yaani 50 kwa 50, hongera kwa hilo. Hivi kwa aina ya chaguzi zetu za leo hapa TZ, ni kwamba; hata kama vyama vyote vya upinzani vya TZ ÷ na vya Nchi yeyote Duniani vikiungana katika uchaguzi wa hapa TZ, HAVITASHINDA UCHAGUZI na huenda hawatapa hata Mbunge
 
Back
Top Bottom