Pre GE2025 Wapinzani wa Tanzania wasaidiwe kuachana na siasa za kufikirika!

Pre GE2025 Wapinzani wa Tanzania wasaidiwe kuachana na siasa za kufikirika!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
H
Bro ..
Rejea Uchaguz wa 2020(uchaguzi mkuu) na 2024 (serikal za mitaa),yaliyotendeka..
Ungeshari strategy ipi hapo tuwe na uchaguz huru na haki?

Mbona hauzungumzii mapunguf ya kikatiba na tume ya uchaguzi?

Mbona hauzungumzii kata kata ya wagombea wa upanzani tu na sio wa Ccm?

Kwakuwa wewe pia ni mtanzania na naamini umepita darasani na una nia njema kabisa na chi yako,embu walau tupe briefly baadhi ya "Strategy" za kufanya au kuingia kwenye chaguzi ilihali katiba na tume ya uchaguzi ziko au zinabaki kama zilivyo..

Utakuwa umeitendea haki elimu yako, nchi na familia yako.
Hawezi hata siku moja.yeye ni bingwa wa kulalamika na kuisifu ccm
 
Kulaumu kuwa hakuna upinzani makini bila kulaani ushenzi uliofanyika 2019, 2020 na 2024 huwatendei haki wapinzani kabisa.CCM inavyotumia mabavu ya vyombo vya dola kuiba kura na kuchakachua matokeo unafikiri wapinzani wafanyeje kama siyo kuendesha siasa za kiuana harakati au unataka waingie msituni? Kwa mazingira kama haya unategemea nini?
 

Attachments

  • VID-20250215-WA0003.mp4
    13.9 MB
  • JamiiForums-979014263.jpeg
    JamiiForums-979014263.jpeg
    63 KB · Views: 1
  • downloadfile-24.jpg
    downloadfile-24.jpg
    38.4 KB · Views: 2
  • downloadfile-35.jpg
    downloadfile-35.jpg
    44.8 KB · Views: 1
  • 5723085-f2958354fb3d5c7668951cd04505632.mp4
    16 MB
  • IMG-20230406-WA0001.jpg
    IMG-20230406-WA0001.jpg
    28.5 KB · Views: 1
Bro ..
Rejea Uchaguz wa 2020(uchaguzi mkuu)
Mkuu,kwa vile mimi ni mwandishi na mtangazaji,uwezo wangu ni kuandika tuu,kusema na kushauri,uchaguzi wa 2020,niliwashauri Chadema
na 2024 (serikal za mitaa),yaliyotendeka..
Ungeshari strategy ipi hapo tuwe na uchaguz huru na haki?
Pia nilishauri,
Mbona hauzungumzii mapunguf ya kikatiba na tume ya uchaguzi?
Japo sina uhakika kwasababu haijafanywa research,lakini sidhani kama kuna mwana jf mwingine yeyote sio tuu amezungumzia mapungufu ya katiba humu kama mimi,pia ninaandikia magazeti 4,Nipashe kila Jumapili,Mwananchi kila Jumatano,Raia Mwema na Jamhuri mara moja moja。Humu。nina mabandiko zaidi ya
100 ya katiba!。
Mbona hauzungumzii kata kata ya wagombea wa upanzani tu na sio wa Ccm?
Nimeizungumza sana na kushauri
Kwakuwa wewe pia ni Mtanzania na naamini umepita darasani na una nia njema kabisa na nchi yako, embu walau tupe briefly baadhi ya "Strategy" za kufanya au kuingia kwenye chaguzi ilihali katiba na tume ya uchaguzi ziko au zinabaki kama zilivyo..
Karibu
Utakuwa umeitendea haki elimu yako, nchi na familia yako.
Asante,na hata ikitokea nikaitwa leo,kesho,mimi ni straight kule kwenyewe kwa mwenyewe!
P
 
Unawezaje kusema vyama vya upinzani ni dhaifu, ili Hali unajua au kushuhudia kabisa ya kwamba ,upinzani huwa unashindana na CCM ikisaidiwa na vyombo vya Dora ,kama serikali ingejitenga na hilo jambo hapo ndio tungejua ni dhaifu au si dhaifu
 
Kulaumu kuwa hakuna upinzani makini bila kulaani ushenzi uliofanyika 2019, 2020 na 2024 huwatendei haki wapinzani kabisa
Kitu cha kwanza kabla ya kulaumu ni kutoa darasa la upinzani makini ni upinzani gani。

Somo la pili ni kuwashauri wapinzani wafanye nini kuwa wapinzani makini,

Hatua ya tatu ni kuwalaumu kwa kushindwa kupokea ushauri
.CCM inavyotumia mabavu ya vyombo vya dola kuiba kura na kuchakachua matokeo
Hili tumelisemea sana,tena mimi ni kada,nimekishauri hadi chama changu。
unafikiri wapinzani wafanyeje kama siyo kuendesha siasa za kiuana harakati
Kuna muda siasa za uanaharakati zinahitajika kwenye amsha amsha,lakini kuelekea kwenye uchaguzi,zinahitajika siasa za kimikakati ya ushindi。
au unataka waingie msituni? Kwa mazingira kama haya unategemea nini?
Watanzania sio watu wa vitendo actions,ni watu wa maneno maneno tuu,lakini vitendo ni sifuri!。Hata ukiwaambia wajitokeze barabarani tuu kuandamana,utaandamana peke yako,sasa ni nani wa kuingia msituni?!。
P
 
Back
Top Bottom