Pre GE2025 Wapinzani wa Tanzania wasaidiwe kuachana na siasa za kufikirika!

Pre GE2025 Wapinzani wa Tanzania wasaidiwe kuachana na siasa za kufikirika!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni hatari sana mwandishi wa habari akiwa shabiki na mwanachama wa chama tawala.Seriously Paschal unatumia kalamu yako vibaya na unatia aibu na hasira.Kwamba hujuma za wazi zinazofanywa na ccm huzioni ila unaona ni bora wapinzani watumie mbinu za kuibembeleza ccm iache wizi na hujuma😳
 
We usiwadharau wananchi kiivyo,!!!,mtu hata kama hana elimu usemayo,lkn kwa akili nyepesi tu,wengi walijionea uchaguzi ulopita,hivi nani asojua kilichofanyika??,,the same 2020, kweli wasijue kusoma,lkn washindwe kujua kilichofanyika?
Muda ni mwalimu mzuri, yangu macho tu. Labda wenzetu kuna kitu mnachokijua ambacho wengine hatujakiona bado, katika hii strategy.
 
1740325806536.png
 
Angalia uende kwa Daktari mapema matusi ni ya reja reja ni dalili ya stress na labda hb pressure.
Mkuu kuna hili kapu la bunch of fools and idiot ndio wanasumbua Chadema.
Wapo wapo hawaelewi impact ya kuendekeza ujinga.Wanategemea miujiza isiokuwa na mashiko.
 
Kukataa kushiriki uchaguzi ambao sio huru na haki nayo ni siasa. Si kuja vyama vingi si vishiriki. Kwani lazima chadema washiriki??
 
Kwanza huna adabu unalopoka tu bila brake,pili hata kabla ya kujasoma content na kuelewa unabwabwaja tu,tatu maadiko yako yanaonyesha upungufu mkubwa wa nidhamu ya kujibu hoja.
Mwisho tafuta ajira nyingine,siasa kwako ni sawa na tofauti ya maji na mafuta.
 
Kwanza huna adabu unalopoka tu bila brake,pili hata kabla ya kusoma content na kuelewa unabwabwaja tu,tatu maadiko yako yanaonyesha upungufu mkubwa wa nidhamu ya kujibu hoja.
Mwisho tafuta ajira nyingine siasa kwako ni sawa na tofauti ya maji na mafuta.
 
Kwanza huna adabu unalopoka tu bila brake,pili hata kabla ya kujasoma content na kuelewa unabwabwaja tu,tatu maadiko yako yanaonyesha upungufu mkubwa wa nidhamu ya kujibu hoja.
Mwisho tafuta ajira nyingine,siasa kwako ni sawa na tofauti ya maji na mafuta.
Nani huyo?
 
Naheshimu mawazo yako.

Lakini wanachotufanyia akina TAL ni kibaya zaidi ya kushiriki uchaguzi.
Tatizo uchaguzi Mkuu huwa unafuatiliwa kwa karibu na Jumuiya ya Kimataifa.Akina Lissu wanaposema kuwa yasipofanyika marekebisho ya kikatiba uchaguzi utakuwa kama wa mwaka 2024,wataaminika.
Hata sasa watu wengi kabisa wangeshangaa kama akina Lissu watashiriki bila hayo madai yao kutekelezwa.

Kwa maoni yangu,CCM tungekaa nao ili tuwasikilize kwa kina na ikiwezekana tufanye baadhi ya mabadiliko wanayohitaji.

CCM kushinda ni jambo linaloeleweka.Vyama vya upinzani havijawa na ushindani kwa kutosha.
Inaweza kushinda kihalali kabisa kwa sababu za kihistoria, lakini haina uwezo wa kupata 2/3 ya kuwawezesha kufanya maamuzi yoyote wayatakayo bungeni. Uchaguzi ukiwa ww haki, ccm itakuwa kama ANC ya Afrika kusini. Tatizo ni kuwa ccm inaona aibu kukubaliana na ukweli huo. Na unahitaji chaguzi 2 tu za haki ccm kwenye kuishi kaburi moja na KANU ya Kenya. Ifahamike kuwa ccm sio chama cha kizazi hiki.
 
Kwanza huna adabu unalopoka tu bila brake,pili hata kabla ya kusoma content na kuelewa unabwabwaja tu,tatu maadiko yako yanaonyesha upungufu mkubwa wa nidhamu ya kujibu hoja.
Mwisho tafuta ajira nyingine siasa kwako ni sawa na tofauti ya maji na mafuta.
Mtag uliyemjibu kwa hasira hivi.
 
Hivi unadhani huko kwenye dunia ya watu walioendelea kwanini wanaajiri reputable marketing firms kama ‘Saatchi & Saatchi, Cambridge Analytica and the likes na kuwalipa mamillioni kwenye uchaguzi ili kuwapa wanasiasa mbinu za kufikisha ujumbe wao.
Wewe kwa topic yake hapo juu unadai watanzania wape wanachohitaji usihangaike na kuwapa makubwa wasiyohitaji. Lakini nashangaa hapa sasa unataka CDM ilete akina " ‘Saatchi & Saatchi, Cambridge Analytica and the likes" ambayo hata majina yake umeshindwa kuyaandika. kweli?
 
Mkuu
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Leo.
View attachment 3246218
Kiukweli kabisa, upinzani Tanzania una hali mbaya sana, uko dholfu bin taaban kwa kukosa watu wa mikakati, hivyo kuendelea kufanya siasa za kiharakati kwa kutumia utopian politics!, badala ya kufanya siasa za kimikakati, matokeo yake ni kushindwa vibaya, na ni kwa zaidi ya miaka 30, upinzani umeshindwa kushika dola, upinzani huu unatakiwa kusaidiwa, bila kusaidiwa, uchaguzi wa 2025, unakwenda kuwa kama uchaguzi wa 2020, Bunge la 2025 litakosa tena kambi rasmi ya upinzani Bungeni, matokeo yake ni hasara wote, CCM, Nchi na Watanzania kwa ujumla.

Kukosekana kwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, kumepelekea kuwa na Bunge legelege, lisilo na uwezo wa kuisimamia serikali kikamilifu!. Bunge hili limekuwa linapitisha kitutusa, kila linacholetewa na serikali!.

Tungekuwa na wapinzani makini mule Bungeni, yale baadhi ya madudu ya ajabu.ajabu yaliyopitishwa na Bunge letu, kama kama ule Mkataba batili, kisha kuletewa muswada batili wa sheria mpya ya uchaguzi na kutunga kuwa sheria huku inakwenda kinyume na katiba yetu, yasingepita kabisa kirahisi ki vile!.

Leo nazungumzia umuhimu wa Tanzania kuwa na upinzani makini, upinzani imara na upinzani wa kweli kwa maendeleo ya taifa, bila kuwepo kwa upinzani imara, upinzani makini, hakutakuwa na CCM imara!, kwasababu imethibitishwa pasipo shaka, nchi zenye upinzani legelege, hupelekea vyama tawala kubweteka kwa kukosa changamoto, hivyo upinzani makini, imara na wa ukweli ni muhimu kwa maendeleo ya taifa.

Hili limethibishwa na hili Bunge ambalo ni kama Bunge Rubber Stempu, linapitisha kila kitu hata madudu ya ajabu ajabu, hivyo kukosa msisimko, ili Bunge lichangamke, lazima baadhi ya wapinzani makini waingie Bungeni, Bunge lijalo liwe na kambi rasmi ya upinzani. Wapinzani wasiposaidiwa, uchaguzi wa 2025, utakuwa kama uchaguzi wa 2020!.

Kazi ya upinzani makini na upinzani wa kweli ni kupinga kwa kutumia hoja mbadala, na sio kupinga tuu ili mradi unapinga, upinzani makini unapinga kwa kutumia nguvu ya hoja na sio hoja za nguvu, unapinga kwa hoja kwa kupangua hoja kwa hoja na wakati huo huo unaweka hoja mbadala ili kutoa changamoto kwa chama tawala kuwa tunakuangalia, ukishindwa unaondolewa!.

Upinzani wetu hapa Tanzania, una tatizo kwa wapinzani karibu wote, hawana hoja mbadala za kushindanisha na hoja za serikali, hivyo kuonekana kama upinzani wa kupiga tu kelele nawapinzani wengine karibu wote ni wapinzani wa kupinga tuu kila kitu bila kuwa na hoja mbadala, matokeo yake ni tuna upinzani uchwara usiotimiza majukumu ya upinzani makini, matokeo yake CCM kuutumia udhaifu wa upinzani wa aina hii kujiimarisha, uchaguzi mkuu wa 2025 upinzani usiposaidiwa, uchaguzi huu ni CCM tena!.

Kwa kuanzia kwanza tujifunze upinzani makini na wa kweli ni nini, unatakiwa kufanya nini, na upinzani legelege na uchwara ni nini, unafanya nini, kwanini Tanzania hatuna upinzani makini?

Tanzania tuna vyama 21 vya siasa vyenye usajili wa kudumu.

Lengo kuu la vyama vyote vya siasa, ni kushika dola na kuongoza serikali yaani kutawala. Kila chama kinaandaa ilani yake ya uchaguzi kwa kueleza iwapo kitapewa ridhaa ya kutawala na wananchi, kupitia uchaguzi huru, na wa haki, kitafanya hivi na vile katika maeneo haya na yale.

Kazi ya chama tawala ni kuongoza serikali kwa kutumia ilani yake ya uchaguzi. Baada ya uchaguzi, kazi ya upinzani makini duniani kote ni kupinga sera za chama tawala kwa hoja mbadala na sio kupinga tuu alimradi kupinga.

Hii imeifanya Tanzania kuwa na chama kimoja kikuu chenye nguvu, CCM ambacho ni kama dola, na vyama utitiri vya upinzani vinavyofanya siasa za uchwala, hali inayopelekea hakuna serious people wenye kutaka mabadiliko ya kweli, wanaweza kuviaminia kuvikabidhi nchi kutokana na kujikita kwenye siasa uchwara za matukio na kupinga tuu kila kitu badala ya kujikita kwenye siasa za kujenga hoja.

Upinzani makini unatakiwa kupinga hoja za serikali kwa hoja mbadala zenye mashiko, kwa upinzani huu wa kupinga tuu bila mbadala, nani atawaaminia wapinzani na kuwapa ridhaa?.

Nimemsikiliza TAL kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV kuhusu falsafa yake ya No Reforms No Election.

Japo hakuna ubishi kuhusu umahiri wa TAL kama mwanasheria, mwanasiasa, mbunge, mnadhimu mkuu wa upinzani, M/Mwenyekiti wa Chadema, lakini TAL kama Mwenyekiti wa Chadema, ana strengths zake, (umahiri), ila pia ana madhaifu yake ambayo anahitaji msaada mkubwa kusaidiwa na watu wenye uwezo wa kusaidia, ili Tundu Lissu, Chadema na wapinzani wengine, waweze kubadilika na kuachana na siasa za kiunaharakati na badala yake kufanya siasa za kimikakati ya kujiandaa kutawala.

Hivyo vibwagizo vya kiuanaharakati, kama “no reforms no election” vibwagiza hadaa (utopian politics) visivyotekelezeka!. Chadema na wapinzani wote, lazima wajikite kwenye kufanya siasa za ukweli, (real politics) ambazo ni siasa za mikakati, (politics of engagement), vinginevyo uchaguzi wa 2025, mambo ya 2020 yanakwenda kujirudia, na itakuwa ni CCM tena!.

Hivyo natoa wito, kwa Watanzania wowote wazalendo wa kweli wa nchi hii, na wenye mapenzi mema na nchi yetu, wenye uwezo, wa kuwasaidia wapinzani, na kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL ili aweze, na kuisaidia Chadema ili iweze na pia kuwasaidia wapinzani wengine wote kufanya siasa za ukweli za kutaka kushika dola.

Kwenye kipindi hicho, TAL alipoulizwa maandalizi ya uchaguzi, amesema Chadema haifanyi maandalizi yoyote bila reforms ni no election!. Hizi ni utopian politics, sii TAL wala Chadema wana uwezo wa kuzuia uchaguzi Mkuu usifanyike!.

Natoa wito, kwa watu wowote, wenye uwezo, kutoka popote hata wana CCM, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, kwa kuishauri kuwa uchaguzi mkuu wa 2025, Chadema ina fursa!, hii ni fursa adhimu na fursa adimu kwa Chadema kuichangamkia, muda uliobaki kabla ya uchaguzi, sio rafiki kufanya siasa za kiharakati, huu ni muda wa kufanya siasa za kimikakati ya ushindi, tena namshauri TAL na Chadama wakumbatie falsafa ya pragmatism politics, wawe pragmatic and do what is possible!.

TAL na Chadema na wapinzani wengine wote, wasaidiwe waachane na utopian politics, wafanye real politics, the time is almost too little too short!, hakuna muda wa kupoteza!.

Paskali.
[/QUO
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Leo.
View attachment 3246218
Kiukweli kabisa, upinzani Tanzania una hali mbaya sana, uko dholfu bin taaban kwa kukosa watu wa mikakati, hivyo kuendelea kufanya siasa za kiharakati kwa kutumia utopian politics!, badala ya kufanya siasa za kimikakati, matokeo yake ni kushindwa vibaya, na ni kwa zaidi ya miaka 30, upinzani umeshindwa kushika dola, upinzani huu unatakiwa kusaidiwa, bila kusaidiwa, uchaguzi wa 2025, unakwenda kuwa kama uchaguzi wa 2020, Bunge la 2025 litakosa tena kambi rasmi ya upinzani Bungeni, matokeo yake ni hasara wote, CCM, Nchi na Watanzania kwa ujumla.

Kukosekana kwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, kumepelekea kuwa na Bunge legelege, lisilo na uwezo wa kuisimamia serikali kikamilifu!. Bunge hili limekuwa linapitisha kitutusa, kila linacholetewa na serikali!.

Tungekuwa na wapinzani makini mule Bungeni, yale baadhi ya madudu ya ajabu.ajabu yaliyopitishwa na Bunge letu, kama kama ule Mkataba batili, kisha kuletewa muswada batili wa sheria mpya ya uchaguzi na kutunga kuwa sheria huku inakwenda kinyume na katiba yetu, yasingepita kabisa kirahisi ki vile!.

Leo nazungumzia umuhimu wa Tanzania kuwa na upinzani makini, upinzani imara na upinzani wa kweli kwa maendeleo ya taifa, bila kuwepo kwa upinzani imara, upinzani makini, hakutakuwa na CCM imara!, kwasababu imethibitishwa pasipo shaka, nchi zenye upinzani legelege, hupelekea vyama tawala kubweteka kwa kukosa changamoto, hivyo upinzani makini, imara na wa ukweli ni muhimu kwa maendeleo ya taifa.

Hili limethibishwa na hili Bunge ambalo ni kama Bunge Rubber Stempu, linapitisha kila kitu hata madudu ya ajabu ajabu, hivyo kukosa msisimko, ili Bunge lichangamke, lazima baadhi ya wapinzani makini waingie Bungeni, Bunge lijalo liwe na kambi rasmi ya upinzani. Wapinzani wasiposaidiwa, uchaguzi wa 2025, utakuwa kama uchaguzi wa 2020!.

Kazi ya upinzani makini na upinzani wa kweli ni kupinga kwa kutumia hoja mbadala, na sio kupinga tuu ili mradi unapinga, upinzani makini unapinga kwa kutumia nguvu ya hoja na sio hoja za nguvu, unapinga kwa hoja kwa kupangua hoja kwa hoja na wakati huo huo unaweka hoja mbadala ili kutoa changamoto kwa chama tawala kuwa tunakuangalia, ukishindwa unaondolewa!.

Upinzani wetu hapa Tanzania, una tatizo kwa wapinzani karibu wote, hawana hoja mbadala za kushindanisha na hoja za serikali, hivyo kuonekana kama upinzani wa kupiga tu kelele nawapinzani wengine karibu wote ni wapinzani wa kupinga tuu kila kitu bila kuwa na hoja mbadala, matokeo yake ni tuna upinzani uchwara usiotimiza majukumu ya upinzani makini, matokeo yake CCM kuutumia udhaifu wa upinzani wa aina hii kujiimarisha, uchaguzi mkuu wa 2025 upinzani usiposaidiwa, uchaguzi huu ni CCM tena!.

Kwa kuanzia kwanza tujifunze upinzani makini na wa kweli ni nini, unatakiwa kufanya nini, na upinzani legelege na uchwara ni nini, unafanya nini, kwanini Tanzania hatuna upinzani makini?

Tanzania tuna vyama 21 vya siasa vyenye usajili wa kudumu.

Lengo kuu la vyama vyote vya siasa, ni kushika dola na kuongoza serikali yaani kutawala. Kila chama kinaandaa ilani yake ya uchaguzi kwa kueleza iwapo kitapewa ridhaa ya kutawala na wananchi, kupitia uchaguzi huru, na wa haki, kitafanya hivi na vile katika maeneo haya na yale.

Kazi ya chama tawala ni kuongoza serikali kwa kutumia ilani yake ya uchaguzi. Baada ya uchaguzi, kazi ya upinzani makini duniani kote ni kupinga sera za chama tawala kwa hoja mbadala na sio kupinga tuu alimradi kupinga.

Hii imeifanya Tanzania kuwa na chama kimoja kikuu chenye nguvu, CCM ambacho ni kama dola, na vyama utitiri vya upinzani vinavyofanya siasa za uchwala, hali inayopelekea hakuna serious people wenye kutaka mabadiliko ya kweli, wanaweza kuviaminia kuvikabidhi nchi kutokana na kujikita kwenye siasa uchwara za matukio na kupinga tuu kila kitu badala ya kujikita kwenye siasa za kujenga hoja.

Upinzani makini unatakiwa kupinga hoja za serikali kwa hoja mbadala zenye mashiko, kwa upinzani huu wa kupinga tuu bila mbadala, nani atawaaminia wapinzani na kuwapa ridhaa?.

Nimemsikiliza TAL kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV kuhusu falsafa yake ya No Reforms No Election.

Japo hakuna ubishi kuhusu umahiri wa TAL kama mwanasheria, mwanasiasa, mbunge, mnadhimu mkuu wa upinzani, M/Mwenyekiti wa Chadema, lakini TAL kama Mwenyekiti wa Chadema, ana strengths zake, (umahiri), ila pia ana madhaifu yake ambayo anahitaji msaada mkubwa kusaidiwa na watu wenye uwezo wa kusaidia, ili Tundu Lissu, Chadema na wapinzani wengine, waweze kubadilika na kuachana na siasa za kiunaharakati na badala yake kufanya siasa za kimikakati ya kujiandaa kutawala.

Hivyo vibwagizo vya kiuanaharakati, kama “no reforms no election” vibwagiza hadaa (utopian politics) visivyotekelezeka!. Chadema na wapinzani wote, lazima wajikite kwenye kufanya siasa za ukweli, (real politics) ambazo ni siasa za mikakati, (politics of engagement), vinginevyo uchaguzi wa 2025, mambo ya 2020 yanakwenda kujirudia, na itakuwa ni CCM tena!.

Hivyo natoa wito, kwa Watanzania wowote wazalendo wa kweli wa nchi hii, na wenye mapenzi mema na nchi yetu, wenye uwezo, wa kuwasaidia wapinzani, na kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL ili aweze, na kuisaidia Chadema ili iweze na pia kuwasaidia wapinzani wengine wote kufanya siasa za ukweli za kutaka kushika dola.

Kwenye kipindi hicho, TAL alipoulizwa maandalizi ya uchaguzi, amesema Chadema haifanyi maandalizi yoyote bila reforms ni no election!. Hizi ni utopian politics, sii TAL wala Chadema wana uwezo wa kuzuia uchaguzi Mkuu usifanyike!.

Natoa wito, kwa watu wowote, wenye uwezo, kutoka popote hata wana CCM, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, kwa kuishauri kuwa uchaguzi mkuu wa 2025, Chadema ina fursa!, hii ni fursa adhimu na fursa adimu kwa Chadema kuichangamkia, muda uliobaki kabla ya uchaguzi, sio rafiki kufanya siasa za kiharakati, huu ni muda wa kufanya siasa za kimikakati ya ushindi, tena namshauri TAL na Chadama wakumbatie falsafa ya pragmatism politics, wawe pragmatic and do what is possible!.

TAL na Chadema na wapinzani wengine wote, wasaidiwe waachane na utopian politics, wafanye real politics, the time is almost too little too short!, hakuna muda wa kupoteza!.

Paskali.

Mkuu kuna falsafa inavyosema ukitaka kushinda jifunze kwa walioshinda!!
 
Kaka Pascal unayo nafasi ya kuwasaidia Chadema Hasa kwenye hili la strategic politics...Endelea kuandika nafikiri Kuna muda wapo viongozi wa ngazi za juu wanasoma maandiko yako nukta kwa nukta....

Usichoke kaka tunaoelewa unachomaanisha hatutaacha kusoma maandiko yako kujifunza

Mkuu Paskali hana uwezo wowote wa ushauri kuhusu mkakati wowote wa ushindi kwa watu ambao mikakati yao ina ushahidi wa ushindi!!!

Chama chake chenyewe hakiwezi kumtumia!!!
 
Wewe kwa topic yake hapo juu unadai watanzania wape wanachohitaji usihangaike na kuwapa makubwa wasiyohitaji. Lakini nashangaa hapa sasa unataka CDM ilete akina " ‘Saatchi & Saatchi, Cambridge Analytica and the likes" ambayo hata majina yake umeshindwa kuyaandika. kweli?
Ndio post yangu ilichomaanisha hiko?

Tatito ni wewe kushindwa ku-evaluate logic ya posts zote mbili unazo refer.



Unadhani watu wanajiripokea tu na kushinda uchaguzi. Kuna marketing strategies nyuma ya campaign.

Watu wataingia barabarani bila ya wao wenyewe kuchoka kwanza na kinachoendelea.

Mnaishi lala land
 
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Leo.
View attachment 3246218
Kiukweli kabisa, upinzani Tanzania una hali mbaya sana, uko dholfu bin taaban kwa kukosa watu wa mikakati, hivyo kuendelea kufanya siasa za kiharakati kwa kutumia utopian politics!, badala ya kufanya siasa za kimikakati, matokeo yake ni kushindwa vibaya, na ni kwa zaidi ya miaka 30, upinzani umeshindwa kushika dola, upinzani huu unatakiwa kusaidiwa, bila kusaidiwa, uchaguzi wa 2025, unakwenda kuwa kama uchaguzi wa 2020, Bunge la 2025 litakosa tena kambi rasmi ya upinzani Bungeni, matokeo yake ni hasara wote, CCM, Nchi na Watanzania kwa ujumla.

Kukosekana kwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, kumepelekea kuwa na Bunge legelege, lisilo na uwezo wa kuisimamia serikali kikamilifu!. Bunge hili limekuwa linapitisha kitutusa, kila linacholetewa na serikali!.

Tungekuwa na wapinzani makini mule Bungeni, yale baadhi ya madudu ya ajabu.ajabu yaliyopitishwa na Bunge letu, kama kama ule Mkataba batili, kisha kuletewa muswada batili wa sheria mpya ya uchaguzi na kutunga kuwa sheria huku inakwenda kinyume na katiba yetu, yasingepita kabisa kirahisi ki vile!.

Leo nazungumzia umuhimu wa Tanzania kuwa na upinzani makini, upinzani imara na upinzani wa kweli kwa maendeleo ya taifa, bila kuwepo kwa upinzani imara, upinzani makini, hakutakuwa na CCM imara!, kwasababu imethibitishwa pasipo shaka, nchi zenye upinzani legelege, hupelekea vyama tawala kubweteka kwa kukosa changamoto, hivyo upinzani makini, imara na wa ukweli ni muhimu kwa maendeleo ya taifa.

Hili limethibishwa na hili Bunge ambalo ni kama Bunge Rubber Stempu, linapitisha kila kitu hata madudu ya ajabu ajabu, hivyo kukosa msisimko, ili Bunge lichangamke, lazima baadhi ya wapinzani makini waingie Bungeni, Bunge lijalo liwe na kambi rasmi ya upinzani. Wapinzani wasiposaidiwa, uchaguzi wa 2025, utakuwa kama uchaguzi wa 2020!.

Kazi ya upinzani makini na upinzani wa kweli ni kupinga kwa kutumia hoja mbadala, na sio kupinga tuu ili mradi unapinga, upinzani makini unapinga kwa kutumia nguvu ya hoja na sio hoja za nguvu, unapinga kwa hoja kwa kupangua hoja kwa hoja na wakati huo huo unaweka hoja mbadala ili kutoa changamoto kwa chama tawala kuwa tunakuangalia, ukishindwa unaondolewa!.

Upinzani wetu hapa Tanzania, una tatizo kwa wapinzani karibu wote, hawana hoja mbadala za kushindanisha na hoja za serikali, hivyo kuonekana kama upinzani wa kupiga tu kelele nawapinzani wengine karibu wote ni wapinzani wa kupinga tuu kila kitu bila kuwa na hoja mbadala, matokeo yake ni tuna upinzani uchwara usiotimiza majukumu ya upinzani makini, matokeo yake CCM kuutumia udhaifu wa upinzani wa aina hii kujiimarisha, uchaguzi mkuu wa 2025 upinzani usiposaidiwa, uchaguzi huu ni CCM tena!.

Kwa kuanzia kwanza tujifunze upinzani makini na wa kweli ni nini, unatakiwa kufanya nini, na upinzani legelege na uchwara ni nini, unafanya nini, kwanini Tanzania hatuna upinzani makini?

Tanzania tuna vyama 21 vya siasa vyenye usajili wa kudumu.

Lengo kuu la vyama vyote vya siasa, ni kushika dola na kuongoza serikali yaani kutawala. Kila chama kinaandaa ilani yake ya uchaguzi kwa kueleza iwapo kitapewa ridhaa ya kutawala na wananchi, kupitia uchaguzi huru, na wa haki, kitafanya hivi na vile katika maeneo haya na yale.

Kazi ya chama tawala ni kuongoza serikali kwa kutumia ilani yake ya uchaguzi. Baada ya uchaguzi, kazi ya upinzani makini duniani kote ni kupinga sera za chama tawala kwa hoja mbadala na sio kupinga tuu alimradi kupinga.

Hii imeifanya Tanzania kuwa na chama kimoja kikuu chenye nguvu, CCM ambacho ni kama dola, na vyama utitiri vya upinzani vinavyofanya siasa za uchwala, hali inayopelekea hakuna serious people wenye kutaka mabadiliko ya kweli, wanaweza kuviaminia kuvikabidhi nchi kutokana na kujikita kwenye siasa uchwara za matukio na kupinga tuu kila kitu badala ya kujikita kwenye siasa za kujenga hoja.

Upinzani makini unatakiwa kupinga hoja za serikali kwa hoja mbadala zenye mashiko, kwa upinzani huu wa kupinga tuu bila mbadala, nani atawaaminia wapinzani na kuwapa ridhaa?.

Nimemsikiliza TAL kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV kuhusu falsafa yake ya No Reforms No Election.

Japo hakuna ubishi kuhusu umahiri wa TAL kama mwanasheria, mwanasiasa, mbunge, mnadhimu mkuu wa upinzani, M/Mwenyekiti wa Chadema, lakini TAL kama Mwenyekiti wa Chadema, ana strengths zake, (umahiri), ila pia ana madhaifu yake ambayo anahitaji msaada mkubwa kusaidiwa na watu wenye uwezo wa kusaidia, ili Tundu Lissu, Chadema na wapinzani wengine, waweze kubadilika na kuachana na siasa za kiunaharakati na badala yake kufanya siasa za kimikakati ya kujiandaa kutawala.

Hivyo vibwagizo vya kiuanaharakati, kama “no reforms no election” vibwagiza hadaa (utopian politics) visivyotekelezeka!. Chadema na wapinzani wote, lazima wajikite kwenye kufanya siasa za ukweli, (real politics) ambazo ni siasa za mikakati, (politics of engagement), vinginevyo uchaguzi wa 2025, mambo ya 2020 yanakwenda kujirudia, na itakuwa ni CCM tena!.

Hivyo natoa wito, kwa Watanzania wowote wazalendo wa kweli wa nchi hii, na wenye mapenzi mema na nchi yetu, wenye uwezo, wa kuwasaidia wapinzani, na kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL ili aweze, na kuisaidia Chadema ili iweze na pia kuwasaidia wapinzani wengine wote kufanya siasa za ukweli za kutaka kushika dola.

Kwenye kipindi hicho, TAL alipoulizwa maandalizi ya uchaguzi, amesema Chadema haifanyi maandalizi yoyote bila reforms ni no election!. Hizi ni utopian politics, sii TAL wala Chadema wana uwezo wa kuzuia uchaguzi Mkuu usifanyike!.

Natoa wito, kwa watu wowote, wenye uwezo, kutoka popote hata wana CCM, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, kwa kuishauri kuwa uchaguzi mkuu wa 2025, Chadema ina fursa!, hii ni fursa adhimu na fursa adimu kwa Chadema kuichangamkia, muda uliobaki kabla ya uchaguzi, sio rafiki kufanya siasa za kiharakati, huu ni muda wa kufanya siasa za kimikakati ya ushindi, tena namshauri TAL na Chadama wakumbatie falsafa ya pragmatism politics, wawe pragmatic and do what is possible!.

TAL na Chadema na wapinzani wengine wote, wasaidiwe waachane na utopian politics, wafanye real politics, the time is almost too little too short!, hakuna muda wa kupoteza!.

Paskali.
Nadhan umeacha kuzungumzia tatizo la msingi la nchi hii.
 
Mkuu Paskali hana uwezo wowote wa ushauri kuhusu mkakati wowote wa ushindi
hawa jamaa zangu nimewasaidia sana tuu,mfano ile 2012 Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...
wange implement huo ushauri, saa hizi, wangekuwa ikulu siku nyingi!
kwa watu ambao mikakati yao ina ushahidi wa ushindi!!!
Mikakati gani hiyo,please share huo ushindi!
Chama chake chenyewe hakiwezi kumtumia!!!
Ni kawaida nabii hakubaliki nyumbani。

Angalia hii program just the last 5 min uangalie namshauri nini Mwenyekiti kuhusu wapinzani。
View: https://youtu.be/W-VNqU6wPDk?si=5uFV4k0I6q_OTnuZ
au

View: https://youtu.be/PBpjDhH2XiA?si=te9YF0ujcv8N5BXS
au

View: https://youtu.be/3a4SjkV46JY?si=bO-BvaqTMNc2yBQz
au

View: https://youtu.be/lBC3xKODSvY?si=pw0oEqQzMQCw7vDV
Huyu ni mtu anayetafuta shavu?。
P
 
Ndio post yangu ilichomaanisha hiko?

Tatito ni wewe kushindwa ku-evaluate logic ya posts zote mbili unazo refer.



Unadhani watu wanajiripokea tu na kushinda uchaguzi. Kuna marketing strategies nyuma ya campaign.

Watu wataingia barabarani bila ya wao wenyewe kuchoka kwanza na kinachoendelea.

Mnaishi lala land
Tuunganishe nguvu ndugu kuisapoti CCM inayofanya udikteta na kujenga mfumo unaoua demokrasia sio akili hata akina Samia wanaomba wamalize tuu muda wao salama na baada ya hapo CCM ife kwani ni hatari hata kwa maisha yao baadaye.
 
Mimi ninakubaliana na mkakati wa ACT wa kuwa na jukwaa la pamoja la vyama makini kuhusu kuuendea uchaguzi wa 2025. kauli ya no reform no elections kidogo ni ambigous kwa wananchi. nadhani msimamo kuwa Chadema haitasusa itashiriki lakini hautakuwa uchaguzi bora bila maboresho ndiyo hoja iliyojificha nyuma ya pazia la No REFORM NO ELECTION. Ufafanuzi uelekee huko na kisha wananchi asasi na viongozi wa dini waelemishwe
 
Back
Top Bottom