Pre GE2025 Wapinzani wa Tanzania wasaidiwe kuachana na siasa za kufikirika!

Pre GE2025 Wapinzani wa Tanzania wasaidiwe kuachana na siasa za kufikirika!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Leo.
View attachment 3246218
Kiukweli kabisa, upinzani Tanzania una hali mbaya sana, uko dholfu bin taaban kwa kukosa watu wa mikakati, hivyo kuendelea kufanya siasa za kiharakati kwa kutumia utopian politics!, badala ya kufanya siasa za kimikakati, matokeo yake ni kushindwa vibaya, na ni kwa zaidi ya miaka 30, upinzani umeshindwa kushika dola, upinzani huu unatakiwa kusaidiwa, bila kusaidiwa, uchaguzi wa 2025, unakwenda kuwa kama uchaguzi wa 2020, Bunge la 2025 litakosa tena kambi rasmi ya upinzani Bungeni, matokeo yake ni hasara wote, CCM, Nchi na Watanzania kwa ujumla.

Kukosekana kwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, kumepelekea kuwa na Bunge legelege, lisilo na uwezo wa kuisimamia serikali kikamilifu!. Bunge hili limekuwa linapitisha kitutusa, kila linacholetewa na serikali!.

Tungekuwa na wapinzani makini mule Bungeni, yale baadhi ya madudu ya ajabu.ajabu yaliyopitishwa na Bunge letu, kama kama ule Mkataba batili, kisha kuletewa muswada batili wa sheria mpya ya uchaguzi na kutunga kuwa sheria huku inakwenda kinyume na katiba yetu, yasingepita kabisa kirahisi ki vile!.

Leo nazungumzia umuhimu wa Tanzania kuwa na upinzani makini, upinzani imara na upinzani wa kweli kwa maendeleo ya taifa, bila kuwepo kwa upinzani imara, upinzani makini, hakutakuwa na CCM imara!, kwasababu imethibitishwa pasipo shaka, nchi zenye upinzani legelege, hupelekea vyama tawala kubweteka kwa kukosa changamoto, hivyo upinzani makini, imara na wa ukweli ni muhimu kwa maendeleo ya taifa.

Hili limethibishwa na hili Bunge ambalo ni kama Bunge Rubber Stempu, linapitisha kila kitu hata madudu ya ajabu ajabu, hivyo kukosa msisimko, ili Bunge lichangamke, lazima baadhi ya wapinzani makini waingie Bungeni, Bunge lijalo liwe na kambi rasmi ya upinzani. Wapinzani wasiposaidiwa, uchaguzi wa 2025, utakuwa kama uchaguzi wa 2020!.

Kazi ya upinzani makini na upinzani wa kweli ni kupinga kwa kutumia hoja mbadala, na sio kupinga tuu ili mradi unapinga, upinzani makini unapinga kwa kutumia nguvu ya hoja na sio hoja za nguvu, unapinga kwa hoja kwa kupangua hoja kwa hoja na wakati huo huo unaweka hoja mbadala ili kutoa changamoto kwa chama tawala kuwa tunakuangalia, ukishindwa unaondolewa!.

Upinzani wetu hapa Tanzania, una tatizo kwa wapinzani karibu wote, hawana hoja mbadala za kushindanisha na hoja za serikali, hivyo kuonekana kama upinzani wa kupiga tu kelele nawapinzani wengine karibu wote ni wapinzani wa kupinga tuu kila kitu bila kuwa na hoja mbadala, matokeo yake ni tuna upinzani uchwara usiotimiza majukumu ya upinzani makini, matokeo yake CCM kuutumia udhaifu wa upinzani wa aina hii kujiimarisha, uchaguzi mkuu wa 2025 upinzani usiposaidiwa, uchaguzi huu ni CCM tena!.

Kwa kuanzia kwanza tujifunze upinzani makini na wa kweli ni nini, unatakiwa kufanya nini, na upinzani legelege na uchwara ni nini, unafanya nini, kwanini Tanzania hatuna upinzani makini?

Tanzania tuna vyama 21 vya siasa vyenye usajili wa kudumu.

Lengo kuu la vyama vyote vya siasa, ni kushika dola na kuongoza serikali yaani kutawala. Kila chama kinaandaa ilani yake ya uchaguzi kwa kueleza iwapo kitapewa ridhaa ya kutawala na wananchi, kupitia uchaguzi huru, na wa haki, kitafanya hivi na vile katika maeneo haya na yale.

Kazi ya chama tawala ni kuongoza serikali kwa kutumia ilani yake ya uchaguzi. Baada ya uchaguzi, kazi ya upinzani makini duniani kote ni kupinga sera za chama tawala kwa hoja mbadala na sio kupinga tuu alimradi kupinga.

Hii imeifanya Tanzania kuwa na chama kimoja kikuu chenye nguvu, CCM ambacho ni kama dola, na vyama utitiri vya upinzani vinavyofanya siasa za uchwala, hali inayopelekea hakuna serious people wenye kutaka mabadiliko ya kweli, wanaweza kuviaminia kuvikabidhi nchi kutokana na kujikita kwenye siasa uchwara za matukio na kupinga tuu kila kitu badala ya kujikita kwenye siasa za kujenga hoja.

Upinzani makini unatakiwa kupinga hoja za serikali kwa hoja mbadala zenye mashiko, kwa upinzani huu wa kupinga tuu bila mbadala, nani atawaaminia wapinzani na kuwapa ridhaa?.

Nimemsikiliza TAL kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV kuhusu falsafa yake ya No Reforms No Election.

Japo hakuna ubishi kuhusu umahiri wa TAL kama mwanasheria, mwanasiasa, mbunge, mnadhimu mkuu wa upinzani, M/Mwenyekiti wa Chadema, lakini TAL kama Mwenyekiti wa Chadema, ana strengths zake, (umahiri), ila pia ana madhaifu yake ambayo anahitaji msaada mkubwa kusaidiwa na watu wenye uwezo wa kusaidia, ili Tundu Lissu, Chadema na wapinzani wengine, waweze kubadilika na kuachana na siasa za kiunaharakati na badala yake kufanya siasa za kimikakati ya kujiandaa kutawala.

Hivyo vibwagizo vya kiuanaharakati, kama “no reforms no election” vibwagiza hadaa (utopian politics) visivyotekelezeka!. Chadema na wapinzani wote, lazima wajikite kwenye kufanya siasa za ukweli, (real politics) ambazo ni siasa za mikakati, (politics of engagement), vinginevyo uchaguzi wa 2025, mambo ya 2020 yanakwenda kujirudia, na itakuwa ni CCM tena!.

Hivyo natoa wito, kwa Watanzania wowote wazalendo wa kweli wa nchi hii, na wenye mapenzi mema na nchi yetu, wenye uwezo, wa kuwasaidia wapinzani, na kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL ili aweze, na kuisaidia Chadema ili iweze na pia kuwasaidia wapinzani wengine wote kufanya siasa za ukweli za kutaka kushika dola.

Kwenye kipindi hicho, TAL alipoulizwa maandalizi ya uchaguzi, amesema Chadema haifanyi maandalizi yoyote bila reforms ni no election!. Hizi ni utopian politics, sii TAL wala Chadema wana uwezo wa kuzuia uchaguzi Mkuu usifanyike!.

Natoa wito, kwa watu wowote, wenye uwezo, kutoka popote hata wana CCM, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, kwa kuishauri kuwa uchaguzi mkuu wa 2025, Chadema ina fursa!, hii ni fursa adhimu na fursa adimu kwa Chadema kuichangamkia, muda uliobaki kabla ya uchaguzi, sio rafiki kufanya siasa za kiharakati, huu ni muda wa kufanya siasa za kimikakati ya ushindi, tena namshauri TAL na Chadama wakumbatie falsafa ya pragmatism politics, wawe pragmatic and do what is possible!.

TAL na Chadema na wapinzani wengine wote, wasaidiwe waachane na utopian politics, wafanye real politics, the time is almost too little too short!, hakuna muda wa kupoteza!.

Paskali.
Kiongozi. Hakuna upinzani ambao ni legelege.......... Jiulize nini kilipelekea upinzani almost usiwepo bungeni?! Majibu unayo! Mi si mtaalam sana na masuala ya katiba, ila katiba na Sheria zake(za uchaguzi ziko biased sana). Fikiria ikiwa binadamu anavunja katiba, ni nani ataheshimu katiba, hata hii iliyopo?!
 
Kiongozi. Hakuna upinzani ambao ni legelege.......... Jiulize nini kilipelekea upinzani almost usiwepo bungeni?! Majibu unayo! Mi si mtaalam sana na masuala ya katiba, ila katiba na Sheria zake(za uchaguzi ziko biased sana). Fikiria ikiwa binadamu anakuwa juu ya katiba, ni nani ataheshimu katiba, hata hii iliyopo?!
Paschal anajitoa ufahamu jana kaleta bandiko hapa la katiba na tume huru ya uchaguzi leo anasema hakuna upinzani
 
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Leo.
View attachment 3246218
Kiukweli kabisa, upinzani Tanzania una hali mbaya sana, uko dholfu bin taaban kwa kukosa watu wa mikakati, hivyo kuendelea kufanya siasa za kiharakati kwa kutumia utopian politics!, badala ya kufanya siasa za kimikakati, matokeo yake ni kushindwa vibaya, na ni kwa zaidi ya miaka 30, upinzani umeshindwa kushika dola, upinzani huu unatakiwa kusaidiwa, bila kusaidiwa, uchaguzi wa 2025, unakwenda kuwa kama uchaguzi wa 2020, Bunge la 2025 litakosa tena kambi rasmi ya upinzani Bungeni, matokeo yake ni hasara wote, CCM, Nchi na Watanzania kwa ujumla.

Kukosekana kwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, kumepelekea kuwa na Bunge legelege, lisilo na uwezo wa kuisimamia serikali kikamilifu!. Bunge hili limekuwa linapitisha kitutusa, kila linacholetewa na serikali!.

Tungekuwa na wapinzani makini mule Bungeni, yale baadhi ya madudu ya ajabu.ajabu yaliyopitishwa na Bunge letu, kama kama ule Mkataba batili, kisha kuletewa muswada batili wa sheria mpya ya uchaguzi na kutunga kuwa sheria huku inakwenda kinyume na katiba yetu, yasingepita kabisa kirahisi ki vile!.

Leo nazungumzia umuhimu wa Tanzania kuwa na upinzani makini, upinzani imara na upinzani wa kweli kwa maendeleo ya taifa, bila kuwepo kwa upinzani imara, upinzani makini, hakutakuwa na CCM imara!, kwasababu imethibitishwa pasipo shaka, nchi zenye upinzani legelege, hupelekea vyama tawala kubweteka kwa kukosa changamoto, hivyo upinzani makini, imara na wa ukweli ni muhimu kwa maendeleo ya taifa.

Hili limethibishwa na hili Bunge ambalo ni kama Bunge Rubber Stempu, linapitisha kila kitu hata madudu ya ajabu ajabu, hivyo kukosa msisimko, ili Bunge lichangamke, lazima baadhi ya wapinzani makini waingie Bungeni, Bunge lijalo liwe na kambi rasmi ya upinzani. Wapinzani wasiposaidiwa, uchaguzi wa 2025, utakuwa kama uchaguzi wa 2020!.

Kazi ya upinzani makini na upinzani wa kweli ni kupinga kwa kutumia hoja mbadala, na sio kupinga tuu ili mradi unapinga, upinzani makini unapinga kwa kutumia nguvu ya hoja na sio hoja za nguvu, unapinga kwa hoja kwa kupangua hoja kwa hoja na wakati huo huo unaweka hoja mbadala ili kutoa changamoto kwa chama tawala kuwa tunakuangalia, ukishindwa unaondolewa!.

Upinzani wetu hapa Tanzania, una tatizo kwa wapinzani karibu wote, hawana hoja mbadala za kushindanisha na hoja za serikali, hivyo kuonekana kama upinzani wa kupiga tu kelele nawapinzani wengine karibu wote ni wapinzani wa kupinga tuu kila kitu bila kuwa na hoja mbadala, matokeo yake ni tuna upinzani uchwara usiotimiza majukumu ya upinzani makini, matokeo yake CCM kuutumia udhaifu wa upinzani wa aina hii kujiimarisha, uchaguzi mkuu wa 2025 upinzani usiposaidiwa, uchaguzi huu ni CCM tena!.

Kwa kuanzia kwanza tujifunze upinzani makini na wa kweli ni nini, unatakiwa kufanya nini, na upinzani legelege na uchwara ni nini, unafanya nini, kwanini Tanzania hatuna upinzani makini?

Tanzania tuna vyama 21 vya siasa vyenye usajili wa kudumu.

Lengo kuu la vyama vyote vya siasa, ni kushika dola na kuongoza serikali yaani kutawala. Kila chama kinaandaa ilani yake ya uchaguzi kwa kueleza iwapo kitapewa ridhaa ya kutawala na wananchi, kupitia uchaguzi huru, na wa haki, kitafanya hivi na vile katika maeneo haya na yale.

Kazi ya chama tawala ni kuongoza serikali kwa kutumia ilani yake ya uchaguzi. Baada ya uchaguzi, kazi ya upinzani makini duniani kote ni kupinga sera za chama tawala kwa hoja mbadala na sio kupinga tuu alimradi kupinga.

Hii imeifanya Tanzania kuwa na chama kimoja kikuu chenye nguvu, CCM ambacho ni kama dola, na vyama utitiri vya upinzani vinavyofanya siasa za uchwala, hali inayopelekea hakuna serious people wenye kutaka mabadiliko ya kweli, wanaweza kuviaminia kuvikabidhi nchi kutokana na kujikita kwenye siasa uchwara za matukio na kupinga tuu kila kitu badala ya kujikita kwenye siasa za kujenga hoja.

Upinzani makini unatakiwa kupinga hoja za serikali kwa hoja mbadala zenye mashiko, kwa upinzani huu wa kupinga tuu bila mbadala, nani atawaaminia wapinzani na kuwapa ridhaa?.

Nimemsikiliza TAL kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV kuhusu falsafa yake ya No Reforms No Election.

Japo hakuna ubishi kuhusu umahiri wa TAL kama mwanasheria, mwanasiasa, mbunge, mnadhimu mkuu wa upinzani, M/Mwenyekiti wa Chadema, lakini TAL kama Mwenyekiti wa Chadema, ana strengths zake, (umahiri), ila pia ana madhaifu yake ambayo anahitaji msaada mkubwa kusaidiwa na watu wenye uwezo wa kusaidia, ili Tundu Lissu, Chadema na wapinzani wengine, waweze kubadilika na kuachana na siasa za kiunaharakati na badala yake kufanya siasa za kimikakati ya kujiandaa kutawala.

Hivyo vibwagizo vya kiuanaharakati, kama “no reforms no election” vibwagiza hadaa (utopian politics) visivyotekelezeka!. Chadema na wapinzani wote, lazima wajikite kwenye kufanya siasa za ukweli, (real politics) ambazo ni siasa za mikakati, (politics of engagement), vinginevyo uchaguzi wa 2025, mambo ya 2020 yanakwenda kujirudia, na itakuwa ni CCM tena!.

Hivyo natoa wito, kwa Watanzania wowote wazalendo wa kweli wa nchi hii, na wenye mapenzi mema na nchi yetu, wenye uwezo, wa kuwasaidia wapinzani, na kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL ili aweze, na kuisaidia Chadema ili iweze na pia kuwasaidia wapinzani wengine wote kufanya siasa za ukweli za kutaka kushika dola.

Kwenye kipindi hicho, TAL alipoulizwa maandalizi ya uchaguzi, amesema Chadema haifanyi maandalizi yoyote bila reforms ni no election!. Hizi ni utopian politics, sii TAL wala Chadema wana uwezo wa kuzuia uchaguzi Mkuu usifanyike!.

Natoa wito, kwa watu wowote, wenye uwezo, kutoka popote hata wana CCM, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, kwa kuishauri kuwa uchaguzi mkuu wa 2025, Chadema ina fursa!, hii ni fursa adhimu na fursa adimu kwa Chadema kuichangamkia, muda uliobaki kabla ya uchaguzi, sio rafiki kufanya siasa za kiharakati, huu ni muda wa kufanya siasa za kimikakati ya ushindi, tena namshauri TAL na Chadama wakumbatie falsafa ya pragmatism politics, wawe pragmatic and do what is possible!.

TAL na Chadema na wapinzani wengine wote, wasaidiwe waachane na utopian politics, wafanye real politics, the time is almost too little too short!, hakuna muda wa kupoteza!.

Paskali.
Hii mada na anayoyaongea kwa sasa hapa jf imenifanya mchukia uyu ndugu
 
Bro ..
Rejea Uchaguz wa 2020(uchaguzi mkuu) na 2024 (serikal za mitaa),yaliyotendeka..
Ungeshari strategy ipi hapo tuwe na uchaguz huru na haki?

Mbona hauzungumzii mapunguf ya kikatiba na tume ya uchaguzi?

Mbona hauzungumzii kata kata ya wagombea wa upanzani tu na sio wa Ccm?

Kwakuwa wewe pia ni mtanzania na naamini umepita darasani na una nia njema kabisa na chi yako,embu walau tupe briefly baadhi ya "Strategy" za kufanya au kuingia kwenye chaguzi ilihali katiba na tume ya uchaguzi ziko au zinabaki kama zilivyo..

Utakuwa umeitendea haki elimu yako, nchi na familia yako.
Huyu pasco ni kanjanja Hana hoja, atuambie kwa mazingira yalivyo ya sasa na Sheria zetu za uchaguzi kunawezekanaje kukawa na uchaguzi huru na haki, sio maelezo mengi na mifano bila kutuambia izo strategy
 
Katika hili nakubaliana mahali fulani nawewe, sio Kwamba wanakosa watu wa mikakati laah, shida kubwa ya vyama vyetu Vya upinzani vinashindwa kuendana na mabadiliko ya wakati, kuwa na mentality za kitoto zinazowapelekea kuongozwa na mihemuko na ushabiki usio na tija.
Siasa za Tanzania na Nchi nyingi zilizopata uhuru wa mezani ni tofauti na siasa Za Nchi zilizopata uhuru wa mtutu wa bunduki au zile siasa za maumau za Kenya!

Leo vyama hivi vinayegemea mtanzania aliyepata uhuru wa mezani aingie barabarani kushinikiza uchaguzi huru wakati kuna CCM wanaotoa hela ukienda kwenye mikutano Yao au kofia na fulana kwenye kampeni zao.

Siasa ni sayansi inayohitaji numbers na rasilimali. Siasa ni zaidi ya kuzungumza sana jukwaani! Siasa ni zaidi ya sheria na katiba zaidi sana siasa Zina uhusiano wa moja kwa moja wa maisha ya jamii husika tabia zake na utamaduni wao. Ukishondwa kuendesha siasa zisizoakisi hayo niliyoorodhesha hapo juu utafeli vibaya sana.
Hivi kwani shida ni watu? Watu si wanapiga kura upinzani na kura zinageuzwa? Wapinzani si wanagombea kisha wanawekewa mizengwe ya kuenguliwa? Bado unasema shida ni watu? Mimi namuelewa Lissu anavyosema ili vyama vya upinzani viende sawa na CCM basi na wao wamiliki mitutu ya bunduki. Na kwa jinsi hali ilivyo sasa hiyo ndiyo njia pekee kukabiliana na CCM.

Walienda kwenye maridhiano CCM ikaleta usanii wa kubadili jina la tume na kusema tayari wametekeleza maridhiano. Unataka nini zaidi ya wao pia kumiliki mitutu ili waende Bega kwa Bega? Hiyo ni njia iliyobaki ya kuishurutisha CCM hakuna njia nyingine.

Pia inatakiwa CCM waogope kufanya uharamia.
 
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Leo.
View attachment 3246218
Kiukweli kabisa, upinzani Tanzania una hali mbaya sana, uko dholfu bin taaban kwa kukosa watu wa mikakati, hivyo kuendelea kufanya siasa za kiharakati kwa kutumia utopian politics!, badala ya kufanya siasa za kimikakati, matokeo yake ni kushindwa vibaya, na ni kwa zaidi ya miaka 30, upinzani umeshindwa kushika dola, upinzani huu unatakiwa kusaidiwa, bila kusaidiwa, uchaguzi wa 2025, unakwenda kuwa kama uchaguzi wa 2020, Bunge la 2025 litakosa tena kambi rasmi ya upinzani Bungeni, matokeo yake ni hasara wote, CCM, Nchi na Watanzania kwa ujumla.

Kukosekana kwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, kumepelekea kuwa na Bunge legelege, lisilo na uwezo wa kuisimamia serikali kikamilifu!. Bunge hili limekuwa linapitisha kitutusa, kila linacholetewa na serikali!.

Tungekuwa na wapinzani makini mule Bungeni, yale baadhi ya madudu ya ajabu.ajabu yaliyopitishwa na Bunge letu, kama kama ule Mkataba batili, kisha kuletewa muswada batili wa sheria mpya ya uchaguzi na kutunga kuwa sheria huku inakwenda kinyume na katiba yetu, yasingepita kabisa kirahisi ki vile!.

Leo nazungumzia umuhimu wa Tanzania kuwa na upinzani makini, upinzani imara na upinzani wa kweli kwa maendeleo ya taifa, bila kuwepo kwa upinzani imara, upinzani makini, hakutakuwa na CCM imara!, kwasababu imethibitishwa pasipo shaka, nchi zenye upinzani legelege, hupelekea vyama tawala kubweteka kwa kukosa changamoto, hivyo upinzani makini, imara na wa ukweli ni muhimu kwa maendeleo ya taifa.

Hili limethibishwa na hili Bunge ambalo ni kama Bunge Rubber Stempu, linapitisha kila kitu hata madudu ya ajabu ajabu, hivyo kukosa msisimko, ili Bunge lichangamke, lazima baadhi ya wapinzani makini waingie Bungeni, Bunge lijalo liwe na kambi rasmi ya upinzani. Wapinzani wasiposaidiwa, uchaguzi wa 2025, utakuwa kama uchaguzi wa 2020!.

Kazi ya upinzani makini na upinzani wa kweli ni kupinga kwa kutumia hoja mbadala, na sio kupinga tuu ili mradi unapinga, upinzani makini unapinga kwa kutumia nguvu ya hoja na sio hoja za nguvu, unapinga kwa hoja kwa kupangua hoja kwa hoja na wakati huo huo unaweka hoja mbadala ili kutoa changamoto kwa chama tawala kuwa tunakuangalia, ukishindwa unaondolewa!.

Upinzani wetu hapa Tanzania, una tatizo kwa wapinzani karibu wote, hawana hoja mbadala za kushindanisha na hoja za serikali, hivyo kuonekana kama upinzani wa kupiga tu kelele nawapinzani wengine karibu wote ni wapinzani wa kupinga tuu kila kitu bila kuwa na hoja mbadala, matokeo yake ni tuna upinzani uchwara usiotimiza majukumu ya upinzani makini, matokeo yake CCM kuutumia udhaifu wa upinzani wa aina hii kujiimarisha, uchaguzi mkuu wa 2025 upinzani usiposaidiwa, uchaguzi huu ni CCM tena!.

Kwa kuanzia kwanza tujifunze upinzani makini na wa kweli ni nini, unatakiwa kufanya nini, na upinzani legelege na uchwara ni nini, unafanya nini, kwanini Tanzania hatuna upinzani makini?

Tanzania tuna vyama 21 vya siasa vyenye usajili wa kudumu.

Lengo kuu la vyama vyote vya siasa, ni kushika dola na kuongoza serikali yaani kutawala. Kila chama kinaandaa ilani yake ya uchaguzi kwa kueleza iwapo kitapewa ridhaa ya kutawala na wananchi, kupitia uchaguzi huru, na wa haki, kitafanya hivi na vile katika maeneo haya na yale.

Kazi ya chama tawala ni kuongoza serikali kwa kutumia ilani yake ya uchaguzi. Baada ya uchaguzi, kazi ya upinzani makini duniani kote ni kupinga sera za chama tawala kwa hoja mbadala na sio kupinga tuu alimradi kupinga.

Hii imeifanya Tanzania kuwa na chama kimoja kikuu chenye nguvu, CCM ambacho ni kama dola, na vyama utitiri vya upinzani vinavyofanya siasa za uchwala, hali inayopelekea hakuna serious people wenye kutaka mabadiliko ya kweli, wanaweza kuviaminia kuvikabidhi nchi kutokana na kujikita kwenye siasa uchwara za matukio na kupinga tuu kila kitu badala ya kujikita kwenye siasa za kujenga hoja.

Upinzani makini unatakiwa kupinga hoja za serikali kwa hoja mbadala zenye mashiko, kwa upinzani huu wa kupinga tuu bila mbadala, nani atawaaminia wapinzani na kuwapa ridhaa?.

Nimemsikiliza TAL kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV kuhusu falsafa yake ya No Reforms No Election.

Japo hakuna ubishi kuhusu umahiri wa TAL kama mwanasheria, mwanasiasa, mbunge, mnadhimu mkuu wa upinzani, M/Mwenyekiti wa Chadema, lakini TAL kama Mwenyekiti wa Chadema, ana strengths zake, (umahiri), ila pia ana madhaifu yake ambayo anahitaji msaada mkubwa kusaidiwa na watu wenye uwezo wa kusaidia, ili Tundu Lissu, Chadema na wapinzani wengine, waweze kubadilika na kuachana na siasa za kiunaharakati na badala yake kufanya siasa za kimikakati ya kujiandaa kutawala.

Hivyo vibwagizo vya kiuanaharakati, kama “no reforms no election” vibwagiza hadaa (utopian politics) visivyotekelezeka!. Chadema na wapinzani wote, lazima wajikite kwenye kufanya siasa za ukweli, (real politics) ambazo ni siasa za mikakati, (politics of engagement), vinginevyo uchaguzi wa 2025, mambo ya 2020 yanakwenda kujirudia, na itakuwa ni CCM tena!.

Hivyo natoa wito, kwa Watanzania wowote wazalendo wa kweli wa nchi hii, na wenye mapenzi mema na nchi yetu, wenye uwezo, wa kuwasaidia wapinzani, na kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL ili aweze, na kuisaidia Chadema ili iweze na pia kuwasaidia wapinzani wengine wote kufanya siasa za ukweli za kutaka kushika dola.

Kwenye kipindi hicho, TAL alipoulizwa maandalizi ya uchaguzi, amesema Chadema haifanyi maandalizi yoyote bila reforms ni no election!. Hizi ni utopian politics, sii TAL wala Chadema wana uwezo wa kuzuia uchaguzi Mkuu usifanyike!.

Natoa wito, kwa watu wowote, wenye uwezo, kutoka popote hata wana CCM, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, kwa kuishauri kuwa uchaguzi mkuu wa 2025, Chadema ina fursa!, hii ni fursa adhimu na fursa adimu kwa Chadema kuichangamkia, muda uliobaki kabla ya uchaguzi, sio rafiki kufanya siasa za kiharakati, huu ni muda wa kufanya siasa za kimikakati ya ushindi, tena namshauri TAL na Chadama wakumbatie falsafa ya pragmatism politics, wawe pragmatic and do what is possible!.

TAL na Chadema na wapinzani wengine wote, wasaidiwe waachane na utopian politics, wafanye real politics, the time is almost too little too short!, hakuna muda wa kupoteza!.

Paskali.
Jana umemponda be mkubwa leo unajifanya kusawazisha pascally huna tofauti na mwijaku mlamba miguu ili ale ashibe na familia yake
 
Warioba kutengeneza katiba kawa mshirikina sababu upinzani wake hupo tofauti na katiba ya zamani inayofanya ccm kudumu.
Teuzi kesho kaka pasco utapata.
When you try entering into a lady's heart without money
IMG_0674.jpeg
 
Vyama vya siasa vya upinzani haviaminiki kwa umma wa Tanzania.
Shauku ya demokrasia ya ushindani kama Ulaya Magharibi imeyeyuka.
Sababu ni kutokuwa na demokrasia ndani ya vyama vyenyewe.Wengine wamevigeuza SACCOS za kuchuma ruzuku.
Vingine ni vigeugeu as if are compromised.
Vingine vimeendekeza ubaguzi n.k
Dawa ni kuruhusu mgombea binafsi,na hata pale akiwa diwani au mbunge kupitia chama cha kisiasa aruhusiwe kuhama chama bila kufukuzwa ubunge,udiwani
We ni mjinga sana chadema wamefanya uchaguzi wa ndani kura zimezahesabiwa kila mtu ameona alafu unasema hamna demokrasia wewe ni zombi
 
Back
Top Bottom