Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 164
Gembe: Kwa mwaka mzima sijaandika kitu chochote kuhusu Pinda. Niliapa wakati ule anateuliwa kumpa nafasi ya kufanya kazi yake bila kuanza kukosolewa (nilisema miezi sita, lakini nikaamua kukaa mwaka mzima). NI hadi alipotoa kauli hii ndipo nimeandika. Wakati mwingine nafikiri umeanza kujua kinachonisukuma, mara zote ukireact you prove me wrong.
Hili la kutaka kuvunja sheria wazi, ndiyo limenishtua kuwa a popular leader is the most dangerous.
Hoja imeshakuwa Nzito. We need a tape here ambayo inaeleza nini Waziri Mkuu alisema. Wote hapa tunashabikia jambo kwa kulisikia bila ya kuwa na usahihi wa habari yenyewe.
Pinda alizungmza Nini? We need a tape na hata Wewe ndugu yangu Kabwe Zitto Zuberi you can't judge a Person without kuwa na Ushahidi of what he said.
Mpaka sasa nasimamia kwenye upande wa Waziri Mkuu. Waziri Mkuu hana kosa hapa mpaka tutakapopata Tape!
Nimetafakari sana nafasi ya Pinda na Mkono wa wezi wa nchi hii na sasa naungana na wazo la Mzee Mwanakajiji. Mie nitatoa TSH 50,000 kwa yeyote atakeyeniletea tape!
Mwisho kwako zitto, Nchi inaelekea kukumbwa na janga la Njaa, Muulize PM ana Mpango gani na hilo!
I NEED A TAPE VERY SOON
Kama unayo niandike mkomboziufisadi-at-yahoo-dot-co-dot-uk