Wapinzani waandaa hoja: Wamtaka Pinda kujiuzulu

Wapinzani waandaa hoja: Wamtaka Pinda kujiuzulu

Ndiyo maana nasema tunahitaji mtu kama PUTIN. Mbabe zaidi ya Mkapa ila anayependa sana nchi yake. Hii demokrasia kwa kweli katika nchi changa kama yetu naona inatumuka kivingine. Unaweza kukuta Pinda ni kiongozi mzuri ila si MWANA SIASA, watu wanakuja na kumuondoa na kumleta nduguye Lowassa.
Tujuwe kuheshimu watu hasa katika kipindi hiki cha mapigano. Hata USA wenyewe pamoja na kwamba CLINTON alidanganya, hawakukubali kumuondoa madarakani. Kosa kama lile lilifaa mtu kuadhibiwa au kupigwa warning. Sasa ona yanayoendelea.
Sijui kama Pinda kama kiongozi ni mtu wa aina gani zaidi ya yale tunayosoma. Ila kama ni kiongozi mzuri, basi tusifanye kosa la kumuondoa. Ila kama ni kumpa WARNING au adhabu ya aina yoyote, hilo nalikubali.

Wana siasa wa kweli huwa hawasemi. Putin mwenyewe wala maneno mengi hana. Anakuweka ndani, anakutumia majambazi yanakulima risasi, anakutumia makachezo na wanakunywesha Radio-active chemicals nk. Huyu ni MBAYA zaidi ya PINDA. Ila kuserma ukweli, heri ya PINDA anayesema UWA, kuliko hao waliofisadi nchi yetu na hadi leo wameshauwa watu wengi sana kwa watu kukosa maji safi, madawa, usafiri wa ovyo nk. Na kwa kukosa elimu, watanzania wanazidi kwenda chini.

Kama kuna agenda ya siri na mlikuwa mnasubiri pakutokea, na tusikie hayo MABAYA. Mwisho, nashindwa kuelewa kwa nini mnasema alikuwa ANALILIA U-PM? Hivi, mkipiga kura kumuondoa, Wapinzani mko zaidi ya nusu? Au ni kusema tu kuwa analilia madaraka? Kama CCM wakiamua kumtosa PM, basi nafikiri mkono wa Mafisadi utakuwepo, maana kwa CCM ya sasa, sijui kama watakubali PM wao wa pili aondoke na mwakani ni uchaguzi.
 
Kama the best of upinzani tulionao ndio huu... Kweli nchi yetu itakua imechanganya priorities... Coz i thought lilikua ni tatizo la CCM tu. Priority ya juu iko chini ya chini juu. PM ameshatolea ufafanuzi alichomaanisha... YOU ARE KEEPING YOUR EYES OFF THE BALL, kwa kung'anga'na na vijimambo visivyokua na tija kwa taifa at this point in time. Wakuu angalieni priorities za mtanzania wa kawaida ili nchi ipige hatua haraka.

....ooohhhh please....wee unazungumzia tija na priorities za nchi bila ya kuwa na utawala wa sheria........wake up maan....!!
 
Kiongozi yeyote yule anapotoa kauli ya kutaka watu wavunje sheria kauli yake hiyo ni lazima imgharimu. Hakuna mapenzi kwa kiongozi yeyote ambayo yanaweza kutufanya tuache afanye apendavyo. Tukiruhusu hivyo tutakuwa tumeruhusu uimla.

Alichojaribu Pinda kilikuwa ni cha hatari sana.
Hayo maneno ni ya kutumwa na mjomba.Tuachie nchi yetu sina uhakika kama bado unao uraia wa nchii hii.Kakiri kakosea yamekwisha uanataka nini tena.Mbona huelezi na kung'ang'ania Bush afikishwa kwenye mahakama ya kimataifa kwa yale aliyoyafanya Iraq.Hivi yanayofanywa dhiidi ya albino uanaona mepesi.au kwa sababu unaona kwenye picha tuu.Mzee nakuheshimu sana usiamshe hisia zetu.Hiyo haki za binaadamu huko uliko.
 
WAGANGA WA JADI WAMJIA JUU PINDA!

Waganga wa jadi nchini wameibuka na kupinga vikalihatua ya Waziri Mkuu Mizengo Peter Pinda ya kuwafutia wenzao leseni.

Aidha waganga hao walikana kuwa watuhumiwa wa kwanza wa mauaji ya albino na kwamba wanapinga mauaji hayo kwa nguvu zao zote.

Wakizungumza na waandishi wa Habari Jijini Dar es Salaam leo, waganga hao walisema kuwa mpaka sasa hakuna mganga wa jadi aliyekamatwa kwa kujihusha na mauaji hayo hivyo kumtaka Mheshimiwa Waziri Mkuu kumtangaza hadharani mganga aliyekamatwa akidaiwa kuhusika na kashfa hiyo.

Wamemtaka Waziri Pinda kutathimini kwa kina hatua hiyo ambapo wametahadharisha kuwa huenda ikaleta maafa makubwa zaidi baadaye kwani waganga wengi wataanza kuendesha shughuli zao kwa siri kubwa tofauti na hivi sasa.

1233236632_1w.jpg


Pichani ,Katibu Mkuu Taifa wa chama cha cha wataalamu wa tiba za asili (ATME) Simba Abrahambin (katikati) akifafanua jambo.

[media]http://www.globalpublisherstz.com/uploads/posts/thumbs/1233236632_2w.jpg[/media]

Watu wenye matatizo ya ngozi ‘Albino' ambao pia ni watalaamu wa tiba za asili walielezea kupinga vikali hatua hiyo ya Waziri Mkuu na kukanusha kuwa mauaji ya albino hayahusiani kabisa na waganga wa jadi.

Source: Global Pulishers
 
WAGANGA WA JADI WAMJIA JUU PINDA!

Waganga wa jadi nchini wameibuka na kupinga vikalihatua ya Waziri Mkuu Mizengo Peter Pinda ya kuwafutia wenzao leseni.

Aidha waganga hao walikana kuwa watuhumiwa wa kwanza wa mauaji ya albino na kwamba wanapinga mauaji hayo kwa nguvu zao zote.

Wakizungumza na waandishi wa Habari Jijini Dar es Salaam leo, waganga hao walisema kuwa mpaka sasa hakuna mganga wa jadi aliyekamatwa kwa kujihusha na mauaji hayo hivyo kumtaka Mheshimiwa Waziri Mkuu kumtangaza hadharani mganga aliyekamatwa akidaiwa kuhusika na kashfa hiyo.

Wamemtaka Waziri Pinda kutathimini kwa kina hatua hiyo ambapo wametahadharisha kuwa huenda ikaleta maafa makubwa zaidi baadaye kwani waganga wengi wataanza kuendesha shughuli zao kwa siri kubwa tofauti na hivi sasa.

1233236632_1w.jpg


Pichani ,Katibu Mkuu Taifa wa chama cha cha wataalamu wa tiba za asili (ATME) Simba Abrahambin (katikati) akifafanua jambo.

[media]http://www.globalpublisherstz.com/uploads/posts/thumbs/1233236632_2w.jpg[/media]

Watu wenye matatizo ya ngozi ‘Albino' ambao pia ni watalaamu wa tiba za asili walielezea kupinga vikali hatua hiyo ya Waziri Mkuu na kukanusha kuwa mauaji ya albino hayahusiani kabisa na waganga wa jadi.

Source: Global Pulishers

So who are behind Albinoz clearence au killings ? Mkuu wa Upelelezi tunahitaji jibu la haraka au sivyo wewe ndio wa kujiuzulu ?
 
Last edited by a moderator:
Mimi naona kama mtu anapotetea kitu kwa maslahi ya umma na taifa halafu wapinzani ambao nao wanajipaka mafuta kwa mgongo wa chupa kuwa wanatetea maslahi ya taifa wanaanza kuteki advantage kwa sababu tu Pinda hakufuata Katiba hawana la msingi ila kufurahisha baraza. Pinda Kama Waziri Mkuu lazima aonyeshe msimamo wake kuwa hakuteleza nami namuunga mkono! Sasa watu wanataka tuelekee wapi! mtu anakamatwa na miguu inachuruzika damu na aliekatwa kauawa yupo hapo hapo ,bado wanasheria wanasema ushahidi haujakamilika, utakamilika lini ? mpaka hawa ndugu zetu Albino watoweke kwa Tz? kuna wakati sheria lazima ziwekwe kando ili tuweze kumaliza hii kadhia ni aibu jamani ? Namuunga mkono PINDA !!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mimi naona kama mtu anapotetea kitu kwa maslahi ya umma na taifa halafu wapinzani ambao nao wanajipaka mafuta kwa mgongo wa chupa kuwa wanatetea maslahi ya taifa wanaanza kuteki advantage kwa sababu tu Pinda hakufuata Katiba hawana la msingi ila kufurahisha baraza. Pinda Kama Waziri Mkuu lazima aonyeshe msimamo wake kuwa hakuteleza nami namuunga mkono! Sasa watu wanataka tuelekee wapi! mtu anakamatwa na miguu inachuruzika damu na aliekatwa kauawa yupo hapo hapo ,bado wanasheria wanasema ushahidi haujakamilika, utakamilika lini ? mpaka hawa ndugu zetu Albino watoweke kwa Tz? kuna wakati sheria lazima ziwekwe kando ili tuweze kumaliza hii kadhia ni aibu jamani ? Namuunga mkono PINDA !!!!!!!!!!!!!!!!!

Na wewe ungekuwa Waziri au Kiranja darasani tungekutaka ujiuzulu vile vile!
 
wapizani hawana jipya.....
wanavyotaka madarakawalipize visasi
na kuhakikisha kodi zetu wanajenga masaki

kama wangekuwa na hekima wangeungana kwanza
na wakaongeza nguvu zao na sio kulumbana kwanza
woote wanataka madaraka hakuna kusikilizana
ndio maana hawaelewani vidole tu kunyooshana
 
Last edited:
Pinda USIJIUZULU kwa hili... Kweli ulikosea, na kweli umeshaomba msamaha. So what the heck?...

Bunge la February ni fupi sana, na hili la sasa lilikua na miswada mizuri sana yenye manufaa kwa taifa... wabunge wa upinzani wanaacha kushugulikia mambo ya msingi wanataka kung'ang'ana na kauli ya mtu ambayo ameshaitolea maelezo. Miswada muhimu inahatari ya kutiwa kapuni kwa kufanya process ya no confidence ambayo wanauhakika kulose bungeni na hata kwa wananchi wa kawaida. Eti utawala wa sheria, what utawala wa sheria,...wakati ndugu zetu Albino wanateketea kwa tamaa ya utajiri.

Kazi cheap siasa, siasa, siasa,... kwa vile sitting allowance na per diem mnakula bure.

Tena Pinda mstaarabu ameomba radhi, mi ningemwambia Pinda kazia hapohapo,... Baadae geukia kwa mafisadi, then wezi wa kura, mpaka tutakaa sawa tu na kuheshimiana, then utawala wa kistaarabu utafuatwa. Utawala wa kistaarabu miaka karibu 50 ya uhuru umetuletea nini?...zaidi ya umaskini kila kona. Stalin, Musolini, Mao wote walishugulikia watu waharibifu kijeshijeshi tu, sasa hivi generation 4 baadae nchi zao zina neema. Sasa wanaongelea hata haki za binadamu.

GOTCHA politics zina wakati wake,...sometimes wabunge wa upinzani mnaturudisha nyuma.
 
Back
Top Bottom