Wapinzani walidhani ripoti ya CAG itawapaisha lakini wameambulia patupu. Sasa wanatakiwa wasiwe wanakurupuka

Wapinzani walidhani ripoti ya CAG itawapaisha lakini wameambulia patupu. Sasa wanatakiwa wasiwe wanakurupuka

Opposition parties
Nakuona upo lindo hapo lumumba
FB_IMG_1555773311437.jpg
 
Mantiki ya kisiasa ya wapinzani wa kisiasa hapa Bongo hasa ACT wazalendo na Chadema kuwa ikitokea kuna suala fulani ndio iwe upenyo wa kupata kick za kisiasa sasa hivi halina nafasi tena. Maana watanzania wanafanya mambo yao kwa kutumia busara.

Huwezi ukawq upo Dubai umejifungia na kudhani ukijiliza kuwa kuna ufisadi au ulilipishawa kodi bil mbil ndio sababu ya kupata kick ya kisiasa.

Huwezi kukakamaa kwenye makamera ukikomaa kulazimisha hoja za ukaguzi wa CAG kuwa tayari ni undhirifu wa tril 3.6 huku ukidhani watanzania ni wajinga huku unapayuka mpaka shati linalowana kwa jasho la ukwapa kwa kudanganya watu kuwa mafuriko ya Morogoro na Rufiji yalisababishwa na ubovu wa bwawa la stieglers.

Huu sio wakati wa kuwapanda vichwa watanzania.
WaTz wameshawapotezea sasa hivi wapinzani wameamua kiwa bize na salata la harmonize
 
Tanzania hakuna Wapinzani wabunge WA CCM wamegawanyika wanapondana wenyewe Kwa wenyewe.
 
Mantiki ya kisiasa ya wapinzani wa kisiasa hapa Bongo hasa ACT wazalendo na Chadema kuwa ikitokea kuna suala fulani ndio iwe upenyo wa kupata kick za kisiasa sasa hivi halina nafasi tena. Maana watanzania wanafanya mambo yao kwa kutumia busara.

Huwezi ukawq upo Dubai umejifungia na kudhani ukijiliza kuwa kuna ufisadi au ulilipishawa kodi bil mbil ndio sababu ya kupata kick ya kisiasa.

Huwezi kukakamaa kwenye makamera ukikomaa kulazimisha hoja za ukaguzi wa CAG kuwa tayari ni undhirifu wa tril 3.6 huku ukidhani watanzania ni wajinga huku unapayuka mpaka shati linalowana kwa jasho la ukwapa kwa kudanganya watu kuwa mafuriko ya Morogoro na Rufiji yalisababishwa na ubovu wa bwawa la stieglers.

Huu sio wakati wa kuwapanda vichwa Watanzania.
Unatumia Akili cha Kichaa wewe
 
Mleta mada, nilidhani utasema CAG kasema uongo! Kumbe kwako unadhani kukosekana kwa washika bango dhidi ya ripoti kutoka CCM wanaopata hasara ni wapinzani.

Wanaopata hasara ni watanzania, ukiwemo na wewe.
 
Kuna limbukeni fulani kupata CHANJO tu imekuwa matangazo.
 
Mantiki ya kisiasa ya wapinzani wa kisiasa hapa Bongo hasa ACT wazalendo na Chadema kuwa ikitokea kuna suala fulani ndio iwe upenyo wa kupata kick za kisiasa sasa hivi halina nafasi tena. Maana watanzania wanafanya mambo yao kwa kutumia busara.

Huwezi ukawq upo Dubai umejifungia na kudhani ukijiliza kuwa kuna ufisadi au ulilipishawa kodi bil mbil ndio sababu ya kupata kick ya kisiasa.

Huwezi kukakamaa kwenye makamera ukikomaa kulazimisha hoja za ukaguzi wa CAG kuwa tayari ni undhirifu wa tril 3.6 huku ukidhani watanzania ni wajinga huku unapayuka mpaka shati linalowana kwa jasho la ukwapa kwa kudanganya watu kuwa mafuriko ya Morogoro na Rufiji yalisababishwa na ubovu wa bwawa la stieglers.

Huu sio wakati wa kuwapanda vichwa Watanzania.
Maguful's legacy is cannot be effectively affected by REPORT UCHWARA YA CAG. Hata wafanyaje kumfuta Magu kwa watz waliowengi ni ngumu mno. Magufuli hakubuika from no where, ana strong, long, solid and well-built history of hardworking and highly patriotic after Nyerere.
Washenzi wachache tu hawana hata punje ya kuwalinganisha na Magu. Kukosa vyeo kwao kipindi cha utawala na kuwekwa mguu sawa kwao, wasituchoshe. They will never succeed. Halafu jamaa hawa hawajui zama zimeshabadilika, kutaka kuleta zama za Msoga, ni ngumu sana kwasasa, watu werevu sana siku hizi na wanajua kukonekiti doti. Walikuwa wanatest mitambo yao, Ila imefeli.
 
Back
Top Bottom