Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe hujawahi kuwa na hoja na hutokuwa nayoJikite kwenye mada husika
Nakuona upo lindo hapo lumumbaOpposition parties
Unapost upuuzi tupu we kenge.Nakuona upo lindo hapo lumumbaView attachment 1753032
Kwa akili zako za kinyarwanda unaona matusi ndiyo ujanjaWe mburula hujui opposition party?
Kenge ni wale walio kuleta hapa nchini kutoka kwenu rwandaUnapost upuuzi tupu we kenge.
WaTz wameshawapotezea sasa hivi wapinzani wameamua kiwa bize na salata la harmonizeMantiki ya kisiasa ya wapinzani wa kisiasa hapa Bongo hasa ACT wazalendo na Chadema kuwa ikitokea kuna suala fulani ndio iwe upenyo wa kupata kick za kisiasa sasa hivi halina nafasi tena. Maana watanzania wanafanya mambo yao kwa kutumia busara.
Huwezi ukawq upo Dubai umejifungia na kudhani ukijiliza kuwa kuna ufisadi au ulilipishawa kodi bil mbil ndio sababu ya kupata kick ya kisiasa.
Huwezi kukakamaa kwenye makamera ukikomaa kulazimisha hoja za ukaguzi wa CAG kuwa tayari ni undhirifu wa tril 3.6 huku ukidhani watanzania ni wajinga huku unapayuka mpaka shati linalowana kwa jasho la ukwapa kwa kudanganya watu kuwa mafuriko ya Morogoro na Rufiji yalisababishwa na ubovu wa bwawa la stieglers.
Huu sio wakati wa kuwapanda vichwa watanzania.
Hawawezi kukuzidi, wewe ni namba moja.Wapinzani wa Tanzania ni wajinga sana
Unatumia Akili cha Kichaa weweMantiki ya kisiasa ya wapinzani wa kisiasa hapa Bongo hasa ACT wazalendo na Chadema kuwa ikitokea kuna suala fulani ndio iwe upenyo wa kupata kick za kisiasa sasa hivi halina nafasi tena. Maana watanzania wanafanya mambo yao kwa kutumia busara.
Huwezi ukawq upo Dubai umejifungia na kudhani ukijiliza kuwa kuna ufisadi au ulilipishawa kodi bil mbil ndio sababu ya kupata kick ya kisiasa.
Huwezi kukakamaa kwenye makamera ukikomaa kulazimisha hoja za ukaguzi wa CAG kuwa tayari ni undhirifu wa tril 3.6 huku ukidhani watanzania ni wajinga huku unapayuka mpaka shati linalowana kwa jasho la ukwapa kwa kudanganya watu kuwa mafuriko ya Morogoro na Rufiji yalisababishwa na ubovu wa bwawa la stieglers.
Huu sio wakati wa kuwapanda vichwa Watanzania.
Kama Hayati alivyoWapinzani wa Tanzania ni wajinga sana
Hayati mwenyewe mtarajiwaKama Hayati alivyo
Maguful's legacy is cannot be effectively affected by REPORT UCHWARA YA CAG. Hata wafanyaje kumfuta Magu kwa watz waliowengi ni ngumu mno. Magufuli hakubuika from no where, ana strong, long, solid and well-built history of hardworking and highly patriotic after Nyerere.Mantiki ya kisiasa ya wapinzani wa kisiasa hapa Bongo hasa ACT wazalendo na Chadema kuwa ikitokea kuna suala fulani ndio iwe upenyo wa kupata kick za kisiasa sasa hivi halina nafasi tena. Maana watanzania wanafanya mambo yao kwa kutumia busara.
Huwezi ukawq upo Dubai umejifungia na kudhani ukijiliza kuwa kuna ufisadi au ulilipishawa kodi bil mbil ndio sababu ya kupata kick ya kisiasa.
Huwezi kukakamaa kwenye makamera ukikomaa kulazimisha hoja za ukaguzi wa CAG kuwa tayari ni undhirifu wa tril 3.6 huku ukidhani watanzania ni wajinga huku unapayuka mpaka shati linalowana kwa jasho la ukwapa kwa kudanganya watu kuwa mafuriko ya Morogoro na Rufiji yalisababishwa na ubovu wa bwawa la stieglers.
Huu sio wakati wa kuwapanda vichwa Watanzania.