Wapinzani walidhani ripoti ya CAG itawapaisha lakini wameambulia patupu. Sasa wanatakiwa wasiwe wanakurupuka

Wapinzani walidhani ripoti ya CAG itawapaisha lakini wameambulia patupu. Sasa wanatakiwa wasiwe wanakurupuka

Mihuli ya itikadi za Magufuli haiwezi futika mioyoni mwa watanzania tabaka la chini ambao ni 90% ya watanzania wote na matajiri 4.3% wapendao haki mpaka mimi na wewe unsesoma komenti hii tufe!
Bwashee tumechoka kusikia mapambio dhidi ya marehemu ambae kwa sasa anachezea vitasa huko kutoka kwa kiongozi mkuu wa malaika! Acha kuwaza mambo ya nyakati zilizopita. Sukuma gang mmebaki midomo wazi hamuamini kama Mungu ni mkuu kiasi hiki!!!
 
Mantiki ya kisiasa ya wapinzani wa kisiasa hapa Bongo hasa ACT wazalendo na Chadema kuwa ikitokea kuna suala fulani ndio iwe upenyo wa kupata kick za kisiasa sasa hivi halina nafasi tena. Maana watanzania wanafanya mambo yao kwa kutumia busara.

Huwezi ukawq upo Dubai umejifungia na kudhani ukijiliza kuwa kuna ufisadi au ulilipishawa kodi bil mbil ndio sababu ya kupata kick ya kisiasa.

Huwezi kukakamaa kwenye makamera ukikomaa kulazimisha hoja za ukaguzi wa CAG kuwa tayari ni undhirifu wa tril 3.6 huku ukidhani watanzania ni wajinga huku unapayuka mpaka shati linalowana kwa jasho la ukwapa kwa kudanganya watu kuwa mafuriko ya Morogoro na Rufiji yalisababishwa na ubovu wa bwawa la stieglers.

Huu sio wakati wa kuwapanda vichwa Watanzania.
Kwani wapinzani ndiyo walimpa kazi cag ya kuaudit idara za serikali? CAG kafanya kazi yake ya kitaalam. Kama hamuiamini mumfute kazi mumweke mwingine. Nadhani tuamini wataalam. Isitoshe ripoti kama hii si mara ya kwanza.
 
Mihuli ya itikadi za Magufuli haiwezi futika mioyoni mwa watanzania tabaka la chini ambao ni 90% ya watanzania wote na matajiri 4.3% wapendao haki mpaka mimi na wewe unsesoma komenti hii tufe!
Akili za hivi ni dhalili sana...
 
Back
Top Bottom