OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hata kuteua Katibu Mkuu mwanachama wa CUF ni siri ya jeshi lakini imeanikwaSiri ya Jeshi hiyo.
Itabidi pia Kiroboto aseme kama uzalendo unaruhusu kula tigo aka kwa mparage .Siri ya Jeshi hiyo.
Mbambo ya KY Jelly hayo. Ila haijathibitishwa nani mfanyaji na nani mfanywaji, usikute ukali wa sindano nyuma uzi unaingia.Itabidi pia Kiroboto aseme kama uzalendo unaruhusu kula tigo aka kwa mparage .
Hayo umesema wewe.Upumbavu tu!
Kwa hiyo wakianikwa ndio chadema itainuka?
Gaidi atatoka jela?
Na kwanini wapinzni mjiuze?
Ni ya uongo?Hayo umesema wewe.
Upumbavu ulifanywa na ninyi viroboto a.k.a sukuma gang. Nyambafu!Upumbavu tu!
Kwa hiyo wakianikwa ndio chadema itainuka?
Gaidi atatoka jela?
Na kwanini wapinzni mjiuze?
Magufuri aliipitisha nchi peke yake mahali pagumu. Kumbe hata chama chake walijutaHata kuteua Katibu Mkuu mwanachama wa CUF ni siri ya jeshi lakini imeanikwa
Sasa kama mlikuwa mnajiuza ulitegemea tusiwanunue?Upumbavu ulifanywa na ninyi viroboto a.k.a sukuma gang. Nyambafu!
Ndio ni ya uongo. CHADEMA ingekuwa imekufa, mngetumia dola kupambana na marehemu?Ni ya uongo?
Tulieni dawa ziwaingie vizuri!Ndio ni ya uongo. CHADEMA ingekuwa imekufa, mngetumia dola kupambana na marehemu?
CCM ndio imekufa na sasa kimebaki chama dola.
Mkuu..Hamna binadamu mwenye akili timamu anayenunuliwa.
Huo ushahidi ungekuwepo ungeshawekwa hadharani kitambo sana na wahuni hasa chadema
Tulieni tuwaeleze ukweli hata kama ni mchunguTulieni dawa ziwaingie vizuri!
Kuna utata hapaMbambo ya KY Jelly hayo. Ila haijathibitishwa nani mfanyaji na nani mfanywaji, usikute ukali wa sindano nyuma uzi unaingia.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Kimenuka !Vita ya "wahuni" na Kiroboto bado inaendelea. Upande wa "wahuni" kwa sasa umevuta pumzi baada ya mshale uliorushwa na Bulembo.
Taarifa zinasema kwamba upande unasikilizia kama mshale wa Bulembo utajibiwa. Na kama ukijibiwa na Chakubanga basi utakuwa muda muafaka kuhoji kama Uzalendo unaruhusu rushwa. Rushwa ambayo itazunguzmwa ni ile ya Chakubanga kshiriki zoezi ovu la kununua wabunge na viongozi wa upinzani.
Kwa hiyo Ndugu Chakubanga ukiwa unaandaa bomu kuwalipua wahuni basi andaa majibu ya rushwa ulizowapa wapinzani