Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Polepole ameshajibu. Ununuzi wa wanasiasa ulifanywa na Magufuli kwa niaba ya CCM. Sasa kulizungunzia hilo hakutomuumiza Polepole bali CCM nzima. Let's not pretend kuwa hao akina Nape ni malaika flani. Hii ni vita ya wachawi, na hakuna upande ulio nafuu kwa WatanzaniaVita ya "wahuni" na Kiroboto bado inaendelea. Upande wa "wahuni" kwa sasa umevuta pumzi baada ya mshale uliorushwa na Bulembo.
Taarifa zinasema kwamba upande unasikilizia kama mshale wa Bulembo utajibiwa. Na kama ukijibiwa na Chakubanga basi utakuwa muda muafaka kuhoji kama Uzalendo unaruhusu rushwa. Rushwa ambayo itazunguzmwa ni ile ya Chakubanga kshiriki zoezi ovu la kununua wabunge na viongozi wa upinzani.
Kwa hiyo Ndugu Chakubanga ukiwa unaandaa bomu kuwalipua wahuni basi andaa majibu ya rushwa ulizowapa wapinzani
Ila wote wanatambulika kama mashoga.Mbambo ya KY Jelly hayo. Ila haijathibitishwa nani mfanyaji na nani mfanywaji, usikute ukali wa sindano nyuma uzi unaingia.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Mashoga ni wale wanaofanya kwa hiyari, hawa wahuni walipanga kumlawiti Mzee Polepole ndio walipomkosa wakaacha ujumbe wa KY Jelly.Ila wote wanatambulika kama mashoga.
Hivi ni gaidi au anatuhuma juu ya hiyo? Na ndio mana kesi ipo mahakamani?usiwe mpumbavu control mihemko yakoUpumbavu tu!
Kwa hiyo wakianikwa ndio chadema itainuka?
Gaidi atatoka jela?
Na kwanini wapinzni mjiuze?
Ni gaidiHivi ni gaidi au anatuhuma juu ya hiyo? Na ndio mana kesi ipo mahakamani?usiwe mpumbavu control mihemko yako
Tena ni vizuri tujue alipewa ngapi na Magufuli na yeye alinunua kwa bei gani na alipiga ngapi.Kwa hiyo Ndugu Chakubanga ukiwa unaandaa bomu kuwalipua wahuni basi andaa majibu ya rushwa ulizowapa wapinzani
Kwani Wahuni wanafanya hayo kwa faida ya Chadema....!?Upumbavu tu!
Kwa hiyo wakianikwa ndio chadema itainuka?
Gaidi atatoka jela?
Na kwanini wapinzni mjiuze?
Najivunia kumuabudu YESUNa kina Bananga walinunuliwa na Samia waanakwe.
View attachment 2043690
ila ukute hali tigo bali ni muumini wa CHAPUTA, hivyo anatumia kilainishi kwenye mkono na zile toilet paper kujifutia akimaliza shughuli yakeItabidi pia Kiroboto aseme kama uzalendo unaruhusu kula tigo aka kwa mparage .
Haaa!!!mkuu kula tigo tena hii imekaaje 🤣 🤣 🤣Itabidi pia Kiroboto aseme kama uzalendo unaruhusu kula tigo aka kwa mparage .
Mpeni Nafasi Kiroboto Ajilie Mema Baada Ya Kutoka Kwenye V8ila ukute hali tigo bali ni muumini wa CHAPUTA, hivyo anatumia kilainishi kwenye mkono na zile toilet paper kujifutia akimaliza shughuli yake
Haa Alikuwa AnakayagaMagufuri aliipitisha nchi peke yake mahali pagumu. Kumbe hata chama chake walijuta
Au analiwa yeye ndiyo maana anabanabana pua akiongeaila ukute hali tigo bali ni muumini wa CHAPUTA, hivyo anatumia kilainishi kwenye mkono na zile toilet paper kujifutia akimaliza shughuli yake
Kama ni tetesi sawa.Vita ya "wahuni" na Kiroboto bado inaendelea. Upande wa "wahuni" kwa sasa umevuta pumzi baada ya mshale uliorushwa na Bulembo.
Taarifa zinasema kwamba upande unasikilizia kama mshale wa Bulembo utajibiwa. Na kama ukijibiwa na Chakubanga basi utakuwa muda muafaka kuhoji kama Uzalendo unaruhusu rushwa. Rushwa ambayo itazunguzmwa ni ile ya Chakubanga kshiriki zoezi ovu la kununua wabunge na viongozi wa upinzani.
Kwa hiyo Ndugu Chakubanga ukiwa unaandaa bomu kuwalipua wahuni basi andaa majibu ya rushwa ulizowapa wapinzani
Polepole ndie aliyekuwa Dalali wa kuwaandaa wasanii kede kede ikiwemo kushika fuko la hela wakati wa uchaguzi atuambie ikiwemo Dalali wa kuwatongoza waunga juhudi.So hawezi jitenga na hiliPolepole ameshajibu. Ununuzi wa wanasiasa ulifanywa na Magufuli kwa niaba ya CCM. Sasa kulizungunzia hilo hakutomuumiza Polepole bali CCM nzima. Let's not pretend kuwa hao akina Nape ni malaika flani. Hii ni vita ya wachawi, na hakuna upande ulio nafuu kwa Watanzania