Wapinzani wangeliungana na Hayati Magufuli hakika tungelikuwa tushapata Tanzania Mpya, tatizo ni maslahi binafsi

Waungane naye wakati yeye alisema wanamchelewesha? Aliwaumiza Kwa njiabtofauti mpaka wakaondoka nchini baadhi Yao.

Wakabakia wenyewe wameshindwa kwenda mbele badalabyake tumerudi 1980s.

Umesahau Kina Lissu walivuoshauri wakapigwa Risasi, umesahau Kina Lema, Mdee, Mnyika walivuoshauri wakatolewa bungeni na kupewa kesi.

In short hoja Yako Haina maana zaidi ya kujilaumu.

Hiyo unaemuona ni hero ndio aliyeleta tafsiri ya upinzani ni adui badala ya kuona ni mawazo mbadala.
 
Mbona ni yeye ndie alisema katiba si kipaumbele changu? Na akazima kabisa matarajio ya mwendelezo wa pale ilipoishia?
Kwanza alitaka kuziondosha nguvu za hao wasioitaka hiyo Katiba mpya ambao ndiyo wenye nguvu zote za Uchumi na za Ushawishi ! Na ndio walioizuia wakati ule na wataizuwia wakati wowote mwingine maana inawalinda na kuwaneemesha !!
 
Hakika
 
Kuna watu wazima hawana akili,,,,
Katika awamu zote tatu tamgu kuzaliwa kwa vya ma vingi, Magu amehusika katika kukandamiza wapinzani Kuliko kipindi chochote,,,,, utashirikiana vipi na mtu anaekutafuta akuuue? 😳
 
Ulikuwepo Tanzania wakati yule mwovu akiwa Rais au ulisimuliwa tu? Yule mshenzi alitumia mabilioni ya kodi zetu kuua upinzani halafu wewe unabana pua kuandika ujinga hapa.
 
Nchi nyingi duniani bado zinatumia umeme wa maji mpumbavu mmoja anakuja kuwadanganya watanzania kirahisi tu
 
Umeandika upumbavu mtupu. Watu wote wakiwa na mawazo sawa si itakuwa nchi ya majuha watupu? Nchi itasonga mbele kwa kushauriana na kukosoana inabobidi na sio kukubali kila kitu. Udikteta sio suluhisho la matatizo ya nchi. JPM alijichanganya sana kudhani udikteta ndo utatupeleka mbele. Uongozi wake ulikuwa wa kikatili mno.
 
Kuna namna wangefanya kitu
 
Hakuna nchi iliyowahi kusonga mbele kwa upinzani imara wa kilaza
 
Ufafanuzi mzuri kabisa ! 🙏👍
 
Ulisoma mpaka la ngapi? I mean una elimu gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…