Wapinzani wangeliungana na Hayati Magufuli hakika tungelikuwa tushapata Tanzania Mpya, tatizo ni maslahi binafsi

Mavi ni wewe unayetumia ID fake wakati hao wapinzani wanalimwa risasi na Magufuli wako.
Lione lisivyokuwa na akili jinga kabisa. Mzee kibao aliuawa na Dkt Magufuli???? Acha ujinga. Nyie mliua watu mkamsakizia Dkt Magufuli, leo hayupo na watu bado wanaendelea kutekwa na kuuawa hahah sijui hamfamu kuwa wahusika hawakuwa na uhusiano na Dkt Magufuli ila walitumia mwanya wa ukali wake ili kuharibu image yake
 
Kwa nini wsungane naye wakati alikuwa anawaua?.
 

Wewe ndio ujiangalie stupid idiot mnuka kinyesi. Magufuli na huyo Samiah wote mashetani. Magufuli alipata adhabu yake bado huyu Samiah naye adhabu yake ipo njiani.
 
Kama waliua polisi si wangewapeleka mahakamani?. Unaandika ujinga na uzee wako.
 

Stupid idiot. Kwa hivyo wapinzani Wana Kinga ya kutokushtakiwa? Wanaweza kuua mtu na wasikamatwe. Alikiona Cha moto , kashindwa kumuua Lissu kafa yeye Tena mafichoni. Very stupid.
 
Tanzania Mpya kama ipi? Ile Ile ambayo wote tulikuwa maskini kuanzia mabenki Hadi wakulima wa kusombewa korosho na malaori ya jeshi? Kuwa serious basi.
 

Acheni uongo. Magufuli katangza wazi upinzani umechelewesha maendeleo Tanzania, akapiga marufuku mikutano ya upinzani. Na hata mikutano ya ndani ya upinzani akapiga marufuku. Jamaa alikuwa mjinga Sana. Akafanya nchi Mali yake na CCM. Mwisho akafa akawaacha upinzani wanadunda.
 
Unapoint usipuuzwe. Ukweli ni kuwa upinzani wa nchi hii haujui unachokisimamia hivyo ni vigumu kuwaelewa na nirahisi pia kutumika na baadhi ya wanaccm kwa maslahi yao binafsi na kuacha agenda zao bila kujua wanawavuruga wananchi. Before 2015 agenda yao kubwa na iliyowatambulisha ilikuwa ufisadi, leo hii hawazungumzii tena kana kwamba ufisadi umeisha, wanaona aibu sababu walimpinga JPM kwenye hilo. JPM alitaka tenngeneza mfumo imara wakiutawala utakaochukua raia yeyote mzalendo na mwenye mchango kwa taida bila kujali chama ila wapinzani wao walijikita kujenga chama badala ya nchi.
 

Huyo Magufuli alipata kura za urais Asilimia 57% Tena Kwa mbeleko ya Tume. Ulitaka wapinzani wamuunge mkono wakati uchaguzi haikuwa fair. Mawakala wa Ukawa walivamiwa Kambi yao ila wa CCM wakaachiwa. Maalim Seif akafutiwa ushindi wake kwa sababu za kijinga. Halafu unataka wapinzani wamchekee mtu Kama huyo. Nawapongeza wapinzani kuondoka na kumuachia bunge lake na CCM yake.
 
Huyo hakupaswa kuungwa mkono na kiumbe veyote. Yeye ndiye chanzo cha matatizo yote haya chanzo ni yeye
 

Magufuli aliingia na chuki kwa wapinzani. Kumbuka alipata Asilimia 57 ya kura. Asingeweza kuwapenda wapinzani hata kidogo.
 
Sema shujaa wako, usitujumuishe kwenye ujinga wako
 
Kuna watu tunatamani hata uko aliko afe tena
 
Na
Mimi nashukuru kwa Mungu kuingilia kati na kumfyekelea mbali na nchi ikapona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…