Wapinzani wangeliungana na Hayati Magufuli hakika tungelikuwa tushapata Tanzania Mpya, tatizo ni maslahi binafsi

Sukuma gang on the move
 
Mambo gani hayo?

Halafu, ni Magufuli ndiye mwanasiasa pekee aliyekuwa na integrity na credibility nchini? Ndio mahaba yenyewe hayo uliyo nayo kwa mwendazake! Au utadai pia kuwa Magufuli hakuwa mwanasiasa.
Kwanini unanilisha maneno?! Wapi nimesema hivyo?

Nakumbuka nimekwambia integrity na hiyo credibility unayoitafuta sio Kwa wanasiasa wa Tanzania wa sasa, Upinzani wala CCM.

Stop projecting, pls.
 
Unachamba ama unatoa hoja?
 
Sasa Nani anabishana kuhusu idadi ya kura alizopata ama uhalali wa uRais wake?

Mada ni kuhusu wapinzani kutokumuunga mkono Magufuli katika mambo ambayo mengi ni wao wenyewe upinzani Ndio waliyaibua, umeelewa?

Mambo Kama kupambana na mafisadi na wanyonyaji wa mali na rasilimali za Tanzania.

Matokeo yake wapinzani wakawa upande wa watu wale wale waliokuwa wakiwatuhumu kwenye kashfa za kila aina.

Mleta mada anajaribu ku contemplate kwamba ingekuwaje Kama ingekua tofauti?

Je Kama wapinzani wangeamua kusimama upande wa Magufuli na kupambana na all the demons they used to preach about kwenye mihadhara, Kama Taifa ni hatua ipi tungekua tumepiga na mangapi tungekua tumeyavuka?

What if ile outside penetration aliyoipachika jina “kuunga mkono juhudi” ingetumika with a third eye mentality, hudhani Ndio ingekua golden chance Kwa upinzani kuikula CCM from within?

We can keep on playing games of “who’s the master and who’s the slave”, lakini ukweli wote tunaujua ni vile basi tu these polishits provides for our stomachs and families.
 

Punguza uongo. Upinzani walipitia kipindi kigumu wakati wa Magufuli na ndio maana alikufa kifo Cha aibu. Cha kujificha.
 
Sema wewe mpumbavu na fisadi ukapona siyo nchi ...hata jambazi ushukuru police kufa unajua kwa nini?
Nchi nzima watu walifanya sherehe wengine mpaka wakachinja mifugo yao kuonyesha jinsi gani walifurahi. Wewe kila mtu unamuona fisadi mara vyeti fake na ujinga ujinga mwingine. Mtakufa masikini wakati mwenzenu alikuwa anapiga pesa
 
Lissu ana qkili gani ? Kama anazo akili mwite hapa nimuulize maswali mbele yenu ndipo mtakapo mdharau na kumjua kuwa,ni mpumbavu tu kama mama yako

Jiangalie Sana. Wewe upo hapa umejificha na ID ya uongo wakati mwenzio Lissu yupo field anapambana na mafisadi ya CCM. Ulitaka kushinda na Lissu kubali kupinga risasi moja Tena mguuni. Usipende kuropoka wakati hujui gharama ambayo wapinzani wanalipa kwenye mikono dhalimu ya CCM .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…