amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,132
- 31,149
Nahitaji ile meat hand grinder kibongo bongo naipata wapi hapo dar nimtume mtu anichululie na sh ngapi??
Maana hawa wahindi wa supermarket kumaynina zao nyama hata robo haijafika eti 5000 ???
Wizi huu msaada jamani hata iwe used inisagie nyama ya kula mwenyewe.
Maana hawa wahindi wa supermarket kumaynina zao nyama hata robo haijafika eti 5000 ???
Wizi huu msaada jamani hata iwe used inisagie nyama ya kula mwenyewe.