Ongelea kwingine, lakini siyo Muheza
Muheza nadhani ndo baba mmoja na Moro😔Ongelea kwingine, lakini siyo Muheza
Hata Morogoro zamani walikua namawazo kama yako.Tatizo hawa Chadema hata mkoa wa tanga hawaujui
Tanga hata akigombea mwanachadema peke yake atapigiwa kura za hapana
Tanga ni ccm
Mbona 2015 majimbo 3 yalienda upinzani Morogoro?. Kila jambo linamwanzo wake.Muheza nadhani ndo baba mmoja na Moro😔
Nadhani penye shida zaidi ni Moro mjini...kwakweli kila kitu kina mwisho wakeMbona 2015 majimbo 3 yalienda upinazi Morogoro?. Kila jambo linamwanzo wake.
Hata Morogoro zamani walikua namawazo kama yako.
Safari hii kwa rafu mnazofanya Morogoro nihakika wasahau maana mshajitangaza majimbo 6 Kati ya 11.Lakini hata mfanyaje lazima jimbo lamikumi libaki CDM.Ule upepo wa Lowasa, OCD wa wilaya alikuwa mfuasi wa Lowasa alimsaidia kumpa wabunge Lowasa
Safari hii sahau
Tanga watu bado ni goigoi sana na ndio mtaji wa ccmTatizo hawa Chadema hata mkoa wa tanga hawaujui
Tanga hata akigombea mwanachadema peke yake atapigiwa kura za hapana
Tanga ni ccm
Safari hii kwa rafu mnazofanya Morogoro nihakika wasahau maana mshajitangaza majimbo 6 Kati ya 11.Lakini hata mfanyaje lazima jimbo lamikumi libaki CDM.
Tanga watu bado ni goigoi sana na ndio mtaji wa ccm!
Uchaguzi huu ccm mnajua Hali ilivyo, mlitaka mtumie mbinu za Serikali za mitaa,lakini upinzani umegoma kujitoa, kwahio sasa rungu lenu ni NEC&ZEC.Hakuna rafu ngome yangu kampeni ni hapa morogoro
Mikumi inarudi nyumbani kabla jogoo hajawika
Tanga ikifika mida ya saa2 wanakimbizana kuangalia taarifa ya habari tbccm..vijana kwa wazee .Tanga wastaarabu hajazoea lugha za matusi zinazoporomoshwa na Chadema