Uchaguzi 2020 Wapo wagombea wa CHADEMA ambao wakirudishwa na Tume basi kwa hawa CCM weupe moto utawaka. FA hamna kitu aisee

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Huyu mgombea wa ubunge Jimbo la Muheza kwa tiketi ya Chadema akirejeshwa na Tume na naamini atarejeshwa, basi kuna wana CCM nyeti zitaonekana waziwazi.

Huyu Mwana FA ni mweupe mpaka anatia huruma, hapa ndipo ninapowaza Magufuli alitumia vigezo vipi kuwapitisha hawa utopolo. Ila na yeye si tunamjua? Tusishangae.

Your browser is not able to display this video.
 
Polepole alisema wanampa upendelea kuwakilisha wasanii.

Sasa sijajua wasanii wana eneo gani la ubunge aka jimbo la wasanii.
 
Ule upepo wa Lowasa, OCD wa wilaya alikuwa mfuasi wa Lowasa alimsaidia kumpa wabunge Lowasa
Safari hii sahau
Safari hii kwa rafu mnazofanya Morogoro nihakika wasahau maana mshajitangaza majimbo 6 Kati ya 11.Lakini hata mfanyaje lazima jimbo lamikumi libaki CDM.
 
Hakuna rafu ngome yangu kampeni ni hapa morogoro
Mikumi inarudi nyumbani kabla jogoo hajawika
Safari hii kwa rafu mnazofanya Morogoro nihakika wasahau maana mshajitangaza majimbo 6 Kati ya 11.Lakini hata mfanyaje lazima jimbo lamikumi libaki CDM.
 
Fa Kwa uaalama wake asiombe debate na huyo mwanadada..aendelee tu kuburudisha!!
 
Hakuna rafu ngome yangu kampeni ni hapa morogoro
Mikumi inarudi nyumbani kabla jogoo hajawika
Uchaguzi huu ccm mnajua Hali ilivyo, mlitaka mtumie mbinu za Serikali za mitaa,lakini upinzani umegoma kujitoa, kwahio sasa rungu lenu ni NEC&ZEC.

Karibuni kuboresha maisha ya watanzania 2015 siasa za Magufuli zilikua namvuto na ulikua ukimsikiliza anatia matumain lakini mambo aliyofanya anajua mwenyewe.
 
Tanga wastaarabu hajazoea lugha za matusi zinazoporomoshwa na Chadema
Tanga ikifika mida ya saa2 wanakimbizana kuangalia taarifa ya habari tbccm..vijana kwa wazee .

Hapo lazima akili zilale!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…