Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbunge wa Tanga Mjini Musa Mbarouq alikuwa ccm?Tatizo hawa Chadema hata mkoa wa tanga hawaujui
Tanga hata akigombea mwanachadema peke yake atapigiwa kura za hapana
Tanga ni ccm
Kabisa mkuu siyo yale manungayembe ya chama chakavu kazi yao kugonga meza na kuzomea tuDaa, huyo Dada ni shujaa sana. Hakika kwa sasa tunahitaji watu Kama Hawa
Sehemu pekee ya ukanda wa mwambao wa pwani Tanzania ambao wanaweza wakaimwaga CCM ni Dar es salaam (sababu majority siyo wenyeji kiasili), na Pemba na Unguja kwa sababu zilizo waziHiyo hiyo Muheza
Polepole alisema wanampa upendelea kuwakilisha wasanii.
Sasa sijajua wasanii wana eneo gani la ubunge aka jimbo la wasanii.
Kwani yule Mbaruku wa CUF alikuwa mbunge wa wapi?Hivi we Tanga Unaijua au unaropoka na Uvibendera wenu
kwani tanga mjini mbunge aliyemaliza muda wakew ni chama ganiMuheza 2015 mgombea wa CDM alishinda sema yule boya aliongwa akala mpunga wake akasepa zake, kwa mkoa wa Tanga sehemu ambayo kumekucha sana wananchi hawaitaki ccm ni Muheza ili jimbo kwakweli wabondei wanajitambua balaaaa
OCD wa wilaya ipi?Ule upepo wa Lowasa, OCD wa wilaya alikuwa mfuasi wa Lowasa alimsaidia kumpa wabunge Lowasa
Safari hii sahau
Kwa vipi? Mimi namuona kama Shangazi!Dah huyu dada kama Mange tu...!!!
CCM hamna kitu, wanabebwa tu na tumeHuyu mgombea wa ubunge Jimbo la Muheza kwa tiketi ya Chadema akirejeshwa na Tume na naamini atarejeshwa, basi kuna wana CCM nyeti zitaonekana waziwazi.
Huyu Mwana FA ni mweupe mpaka anatia huruma, hapa ndipo ninapowaza Magufuli alitumia vigezo vipi kuwapitisha hawa utopolo. Ila na yeye si tunamjua? Tusishangae.
Ndio hivyo tena ni YeyeOngelea kwingine, lakini siyo Muheza
Hii ni dharau iliyopitiliza, kwahiyo watu wa Muheza ni wasanii?Polepole alisema wanampa upendelea kuwakilisha wasanii.
Sasa sijajua wasanii wana eneo gani la ubunge aka jimbo la wasanii.