Uchaguzi 2020 Wapo wagombea wa CHADEMA ambao wakirudishwa na Tume basi kwa hawa CCM weupe moto utawaka. FA hamna kitu aisee

Uchaguzi 2020 Wapo wagombea wa CHADEMA ambao wakirudishwa na Tume basi kwa hawa CCM weupe moto utawaka. FA hamna kitu aisee

Binamu asipewe ushindi wa mezani, ashindwe au ashinde baada ya pambano halisi
 
Huyo ameona njia pekee ni kuwajaxa wasanii kina Kiba. Ila kipindi hiki tutaona mengi sana
 
Tatizo hawa Chadema hata mkoa wa tanga hawaujui
Tanga hata akigombea mwanachadema peke yake atapigiwa kura za hapana

Tanga ni ccm
Bado mnadhani wa Tz bado ni wajinga,watababaika na kanga na Kofia hizi za stone age
 
Hawa walio enguliwa ni mkakati. Maana kama ulimsikia Baba la baba juzi akimnadi Mwigulu alisema ana taka Mwigulu na Mkumbo wote washinde. Hivyo hayo tayari ni maagizo kwa wasimamizi
 
Mimi sibishani na ghost wa mtandaoni aliyejifungia nyumbani

Toka kampeni zianze nimezunguka mikoa mitatu picha halisi tunayo

Tanga Chadema haiwezi kuchaguliwa, ndio maana hata huoni kina Mbowe wanahangaika Tanga, Wenzako kina Mbowe wanajua safari hata kupata wabunge wawili ni ndoto
Bado mnadhani wa Tz bado ni wajinga,watababaika na kanga na Kofia hizi za stone age
 
Sasa kikubwa ulichokiona kwa huyo Dada hapo ni nini?.

Kama ni kugomba hata Mwana FA ukimwambia agombe/afoke atafoka hivyo hivyo au hata zaidi ya hivyo.

Cha msingi tu tume itende haki kwa wote wanaodhulumiwa, Watu wakashindane kwenye debe.
 
Pamoja na kwamba ujinga ndo mtaji wa hiki chama ndo maana hawataki kuboresha elimu yetu iwe yakujitambua,kuhoji nakuchukua hatua ila lazima wakubali kua mabadiliko ya dunia yako kasi sana na sisi hatujaachwa nyuma kwahiyo ujinga unapungua kwa kasi miongoni mwetu.Miongo miwili ijayo hali itakua tofauti sana.
Bado mnadhani wa Tz bado ni wajinga,watababaika na kanga na Kofia hizi za stone age
 
Wao wanaona watu wanataka waburudishwe tu

Ova
 
Back
Top Bottom