Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado mnadhani wa Tz bado ni wajinga,watababaika na kanga na Kofia hizi za stone ageTatizo hawa Chadema hata mkoa wa tanga hawaujui
Tanga hata akigombea mwanachadema peke yake atapigiwa kura za hapana
Tanga ni ccm
Wangetenga viti maalumu vya wasaniiPolepole alisema wanampa upendelea kuwakilisha wasanii.
Sasa sijajua wasanii wana eneo gani la ubunge aka jimbo la wasanii.
Bado mnadhani wa Tz bado ni wajinga,watababaika na kanga na Kofia hizi za stone age
Bado mnadhani wa Tz bado ni wajinga,watababaika na kanga na Kofia hizi za stone age
Yani huyo kuliko kumpa jimbo basi angeteuliwa tu kati ya moja ya zile nafasi 10 kuwakilisha wasaniiPolepole alisema wanampa upendelea kuwakilisha wasanii.
Sasa sijajua wasanii wana eneo gani la ubunge aka jimbo la wasanii.
Mpaka sasa Morogoro mjini,Kilosa moja Gairo bado wanamawazo ya kaleHata Morogoro zamani walikua namawazo kama yako.
Tatizo hawa Chadema hata mkoa wa tanga hawaujui
Tanga hata akigombea mwanachadema peke yake atapigiwa kura za hapana
Tanga ni ccm