Wapo waliohitimu na ajira hawajapata, kazi nje ya utaalamu wao hawataki na hata kuiljiongeza hawapendi

Wapo waliohitimu na ajira hawajapata, kazi nje ya utaalamu wao hawataki na hata kuiljiongeza hawapendi

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Hili ndilo kundi kubwa linaloibuka kwa kizazi hiki cha dot.com, kijana akishasoma na kuhitimu na bahati mbaya ajira ya fani yake ikachelewa kidogo huwa hajiongezi hata kidogo unfortunately linalofuata ni kukata tamaa na kuona serekali hii mbaya Sana labda lissu atakapokuwa rais nitapata ajira na hisia zake zote humtuma anaonewa tu na utawala huu uliopo!

N. B: Nina kijana wangu muhitimu hapa leo amenishangaza kweli, kwa kupitia tu, fursa zilizopo mitandaoni ameniazima kiasi cha laki moja, akaenda zake kariakoo akanunua bidhaa ambazo tayari ana oda nazo akazipeleka kwa wahusika hakika akajipatia alfu 50,000/-nikastaajabu kweli, na laki yangu akanirejeshea.

 
Wahitimu wa sasa wanajiongeza sana, ila vibarua vyenyewe pia hakuna, na hivyo vibiashara vidogo wanavyozunguka navyo vinakosa wateja, so mitaji yao midogo inakata. Wasomi wa sasa wanapambana sana.
 
Mkuu inamaana hauoni jitihada za maafisa ubashiri waliohitimu miaka ya karibuni kutoka vyuo mbali mbali?
Na mafisa usafirishaji kila kijiwe cha boda uwez kosa wasomi.

Ila ukweli usemwe wasomi tunaumia sana tukikosa kazi za taluma yetu maana ukienda kuwa afsa ubashir/usafirishaji au saidia fundi unakutana na wana walioacha shule ni kukutukana tu mzee😭😭
 
Na mafisa usafirishaji kila kijiwe cha boda uwez kosa wasomi.

Ila ukweli usemwe wasomi tunaumia sana tukikosa kazi za taluma yetu maana ukienda kuwa afsa ubashir/usafirishaji au saidia fundi unakutana na wana walioacha shule ni kukutukana tu mzee[emoji24][emoji24]
Daa eti maafisa ubashiri
 
Na mafisa usafirishaji kila kijiwe cha boda uwez kosa wasomi.

Ila ukweli usemwe wasomi tunaumia sana tukikosa kazi za taluma yetu maana ukienda kuwa afsa ubashir/usafirishaji au saidia fundi unakutana na wana walioacha shule ni kukutukana tu mzee😭😭
Upo sahihi kwa 100%, you toil a lots, kusoma pia huwa sio kazi ya lelemama /
 
Na mafisa usafirishaji kila kijiwe cha boda uwez kosa wasomi.

Ila ukweli usemwe wasomi tunaumia sana tukikosa kazi za taluma yetu maana ukienda kuwa afsa ubashir/usafirishaji au saidia fundi unakutana na wana walioacha shule ni kukutukana tu mzee😭😭
Hahahahahhahahahhahhh ,inaumiza sana wahuni wanaona bora wao waliojiongeza mapema kujichanganya mitaani.
 
Acha tu izo kejeli sasa ila hawajui aliyesoma kasoma mda wowote mambo yaitika.
Hahahahahhahahahhahhh ,inaumiza sana wahuni wanaona bora wao waliojiongeza mapema kujichanganya mitaani.
A
 
Ila ukweli usemwe vijana wahitimu sahizi wamejiongeza ni tofauti na zamani.

Kati ya masaidia fundi kumi basi saba wahitimu ....

Japo sio kazi ya kuitegemea Ila angalau hawakai bure.
Kuna fundi rangi alinikuta mahali akaniambia ana masters ya MD udaktari.

Nikampongeza sana maana hata mimi ninafanya yaliyo nje ya fani yangu
 
Na mafisa usafirishaji kila kijiwe cha boda uwez kosa wasomi.

Ila ukweli usemwe wasomi tunaumia sana tukikosa kazi za taluma yetu maana ukienda kuwa afsa ubashir/usafirishaji au saidia fundi unakutana na wana walioacha shule ni kukutukana tu mzee😭😭
Ajira hakuna ila kazi zipo, kazi zenyewe ndio hizo za uafisa usafirishaji na ubashiri.
 
Back
Top Bottom