Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena gawaha grade 1 zile chungu kama kwinini🤣🤣.. Unless iwe ni interest.. Alafu masters ya MD ni ipi maana masters zipo nyingi.degree ya MD sawa ila masters ya MD tueleweshane ni ipi huenda hatuifahamu. Au kama vipi ntafte kashata za ufuta hapa tuendelee kupiga mluzi 🤣🤣🤣Masters ya MD alafu fundi Rangi?
Aisee Kuna CHAI na kuna GAHWA
Na usipoonekana mtaani wanakusaka umeenda wapi au umeelekea wapi?Hahahahahhahahahhahhh ,inaumiza sana wahuni wanaona bora wao waliojiongeza mapema kujichanganya mitaani.
Mropokaji wewe , huna unalojua .Hili ndilo kundi kubwa linaloibuka kwa kizazi hiki cha dot.com, kijana akishasoma na kuhitimu na bahati mbaya ajira ya fani yake ikachelewa kidogo huwa hajiongezi hata kidogo unfortunately linalofuata ni kukata tamaa na kuona serekali hii mbaya Sana labda lissu atakapokuwa rais nitapata ajira na hisia zake zote humtuma anaonewa tu na utawala huu uliopo!
N. B: Nina kijana wangu muhitimu hapa leo amenishangaza kweli, kwa kupitia tu, fursa zilizopo mitandaoni ameniazima kiasi cha laki moja, akaenda zake kariakoo akanunua bidhaa ambazo tayari ana oda nazo akazipeleka kwa wahusika hakika akajipatia alfu 50,000/-nikastaajabu kweli, na laki yangu akanirejeshea.
View attachment 2755517
Ukikua utaacha huo utoto ulionao na utaona jinsi ilivyo ngumu kwa kijana kusucceed kwenye uchumi hoi wa nchi hii .Hili ndilo kundi kubwa linaloibuka kwa kizazi hiki cha dot.com, kijana akishasoma na kuhitimu na bahati mbaya ajira ya fani yake ikachelewa kidogo huwa hajiongezi hata kidogo unfortunately linalofuata ni kukata tamaa na kuona serekali hii mbaya Sana labda lissu atakapokuwa rais nitapata ajira na hisia zake zote humtuma anaonewa tu na utawala huu uliopo!
N. B: Nina kijana wangu muhitimu hapa leo amenishangaza kweli, kwa kupitia tu, fursa zilizopo mitandaoni ameniazima kiasi cha laki moja, akaenda zake kariakoo akanunua bidhaa ambazo tayari ana oda nazo akazipeleka kwa wahusika hakika akajipatia alfu 50,000/-nikastaajabu kweli, na laki yangu akanirejeshea.
View attachment 2755517
The guy is out of game he can point the faults of othersUkikua utaacha huo utoto ulionao na utaona jinsi ilivyo ngumu kwa kijana kusucceed kwenye uchumi hoi wa nchi hii .
huyu jamaa kazingua....specialist awe fundi rangi??😀😀Masters ya MD alafu fundi Rangi?
Aisee Kuna CHAI na kuna GAHWA
Mwehu huyohuyu jamaa kazingua....specialist awe fundi rangi??😀😀
Unaandika upuuzi , usiwe unaandika mambo bila kufanya utafiti .hivi kunamtu amesomea uinjinia,udaktari au unes na akakosa ajira?
tatizo kijanamwingine unamuuliza chuo ulisomea nini hanamajibu yakueleweka.
Ndugu taratibu basi uongo mwingine sio rafikiKuna fundi rangi alinikuta mahali akaniambia ana masters ya MD udaktari.
Nikampongeza sana maana hata mimi ninafanya yaliyo nje ya fani yangu
Nyie ndiyo bado mnapoteza mamilioni kusomesha watoto .hivi kunamtu amesomea uinjinia,udaktari au unes na akakosa ajira?
tatizo kijanamwingine unamuuliza chuo ulisomea nini hanamajibu yakueleweka.
Niko darNyie ndiyo bado mnapoteza mamilioni kusomesha watoto .
By the way unaishi wapi wewe?
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
kumsomesha moto uinjinia udokta nikupoteza Hela?Nyie ndiyo bado mnapoteza mamilioni kusomesha watoto .
By the way unaishi wapi wewe?
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Siyo lazima uamini pia