Aaah ! Umenikumbusha mbali aisee ! Flora Nducha na Deo Mshigeni nilisota nao hapo Oljoro JKT (833 KJ) Tukiwa pamoja kombania G mwaka 1993. Mimi na
Deo tulikuwa mabwana shamba wa Bustani ya kombania. Siku yeye na Flora wanatoroka kwenda kufanya interview ITV nakumbuka aliniaga nikatunza siri.Namkumbuka SG Alex Mwambuluma, Copol Akioo, Sir major Busongo Bufumba , Major Mirudy na wengine. Jitokezeni basis tuliosota pamoja , Akina Mabara,Slivia Ndekana, Leopordina Sailo, Lazia Mwawanga, pritash Topiwala, Mazahil, Kara, Magina Sabaha, John simon na wengine.