Kwa hiyo weee hadi sasa Ni mjeda?Aaah ! Umenikumbusha mbali aisee ! Flora Nducha na Deo Mshigeni nilisota nao hapo Oljoro JKT (833 KJ) Tukiwa pamoja kombania G mwaka 1993. Mimi na
Doe tulikuwa mabwana shamba wa Bustani ya kombania. Siku yeye na Flora wanatoroka kwenda kufanya interview ITV nakumbuka aliniaga nikatunza siri.
Dah ni kweli nimechanganya madawaHapo umetuibia mkuu. Mzee wa kipusa ni abdallah majura. Yuko dodoma anatangaza redio flani nimeisahau
Kweli aseMZEE WA KIPUSA NI ABDALLAH MAJURA
The master voiceMajurah hakai tegeta anakaa mbweni mkuu
Nisaidie jamaa mwingine alikuwa anaiywa abdalaha hussem dullah
Mambo hayo, family matters, hanging with mr. Cooper etcNashindwa kujua wengi wenu mnaongelea ITV ya miaka ipi haswa! Kile kipindi cha DJ show, igizo la Maisha la kina Rich, Bishanga, nk, miaka ya 97/98 au?
Wakina Kamba ulayaMambo hayo, family matters, hanging with mr. Cooper etc
Misanya Bingi yule wa Chemsha Bongo hahah aligraduate masters juzjuzi hapo UD kama sijakosea
Flora Nducha mara ya mwisho nilimsikia VOA swahili kama sio BBC swahili
Misanya bingi yupo udsm mhadhiri, neema diwani yuko usa anaishi huko, nducha????
Uko sahihi kbs mkuu,enzi zile FM ilikua radio one tuMisanya hakuwa mzee wa kipusa bali Abdalah Majura
Hakuna chapombe km sogdog alishafukuzwa RFA aliweka CD akaenda bar zikakwama,chapombe mwingine ni fredwah ila clouds kabanwa sn maana kapewa kipindi alfajir wamemuweza aiseeMisanya na kipindi chake cha kipusa utasikia "bingiiz ikisindikizwa na kipusa " usiombe ukose swali alikimudu sana kipindi huyu cha.pombe