ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Chris yupo Next Radio Uganda hua namsikliza j'mosi 16pm to 8pm , John Karani yupo KBC English kenya, Bush baby sasa hivi anamiliki radio station yake Uganda inaitwa galaxy fmWapi Lazaro matalange,Aisha Mohammed, profesa vipi,John karan,Claudia Mayanka dj Chris.
Hakika sahara walitisha sana enzi hizo
Hiiiii bagoshaaaa hakuna na hakutawahi kutokea kama 'roy mlaliki maganga'huyu mtu ana mamlaka yote na sifa ya kuwa mtangazajiKuna mtangazaji rfa alikua anaitwa Loi Maganga Flola macha tbc Ezekiel Malongo .
_Umemsahau rebeka mulesi, rahabu Fredy na deo kaji makomba.Roy Maganga na muda sijamtia machoni, Muhsin Mambo hatunae tena mkuu.
Hivi kuna station gani ilikua the best kuizidi RFA? Hakuna! Walikuwepo akina,
Fredrick bunsala,
Beatrice bach,
Mtoto wa mama sabuni/Glory Robinson,
Rahabu Fred mke wa Fredwaaa
RFA ya kina baruan muhuza
RFA ya kina kamkulu (hindustyle)
RFA ya kina Gabriel zakaria
RFA ya kina juma baragaza
RFA ya kina samadu hassan
RFA ya kinalytu
RFA ya kina zuberi msabaha
RFA ya kina Sky walker
Anatumia jina gani nikamcheck maana niishia tu kuisikia sauti basiRoy Maganga yuko TBC hajafa mke wake anaitwa Stella Situmbi,tena Roy Maganga amejaa Instagram,mkuu usizushe kifo
Yeah rebeka mulesi, Rahaba nimemuweka....Jumaa Ahmed Baragaza pia,_Umemsahau rebeka mulesi, rahabu Fredy na deo kaji makomba.
Hapana! Super Star wa Bongo aliimba MC Nappo siku hizi amekuwa muigizaji anaishi USAliyeimba super star wa bongo ni bush baby.
Roy Maganga na muda sijamtia machoni, Muhsin Mambo hatunae tena mkuu.
Hivi kuna station gani ilikua the best kuizidi RFA? Hakuna! Walikuwepo akina,
Fredrick bundala,
Beatrice labach,
Mtoto wa mama sabuni/Glory Robinson,
Rahabu Fred mke wa Fredwaaa
RFA ya kina baruan muhuza
RFA ya kina kamkulu (hindustyle)
RFA ya kina Gabriel zakaria
RFA ya kina juma baragaza
RFA ya kina samadu hassan
RFA ya kinalytu
RFA ya kina zuberi msabaha
RFA ya kina Sky walker