Wapo wapi watangazaji hawa?

Wapi Lazaro matalange,Aisha Mohammed, profesa vipi,John karan,Claudia Mayanka dj Chris.
Hakika sahara walitisha sana enzi hizo
Chris yupo Next Radio Uganda hua namsikliza j'mosi 16pm to 8pm , John Karani yupo KBC English kenya, Bush baby sasa hivi anamiliki radio station yake Uganda inaitwa galaxy fm
 
_Umemsahau rebeka mulesi, rahabu Fredy na deo kaji makomba.
 
Roy Maganga yuko TBC hajafa mke wake anaitwa Stella Situmbi,tena Roy Maganga amejaa Instagram,mkuu usizushe kifo
Anatumia jina gani nikamcheck maana niishia tu kuisikia sauti basi
 
1. Adamu Miugabo mbona facebook yupo kajaa search utampata.
2. TK kwani si yupo America ameolewa na Mzungu? Au umesahau ugomvi wao na mange 2008?
3. Abba One sijui yuko wapi.
4. Kuna mwingine alikuwa shombe shombe anaimba nadhani MC NAPPO.
5.Bush Baby sijui kaenda wapi.
6.Yule Dada Video vixen kwenye Siamini-TID naye kapotea.
 
_Umemsahau rebeka mulesi, rahabu Fredy na deo kaji makomba.
Yeah rebeka mulesi, Rahaba nimemuweka....Jumaa Ahmed Baragaza pia,
Sam kiama
Kid bway
Prince baina kamkulu
Jose kaila


Dah, RFA ilikua na vichwa haswaaa, kuwasikiliza hadi raha....kwangu mimi ilikua the best radio in tanzania and east africa.
 

Nilidhani Fredrick Bundala ndiye Sky Walker! Kwa sasa namuona YouTube tu kwenye SnS.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…