Waziri wa madini
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 379
- 466
- Thread starter
-
- #21
Ndio tunaumia kupitiliza maisha magumu kuliko awamu zote zilizopitaMama anaakili sana ,siku zote kwenye maisha jifanye mjinga, hakuna mtu atakushambulia!
Mama ni mjanja kacheza na psychology ya wanasiasa wa Tanzania, kula na kupuliza huku akijifanya mnyenyekevu[emoji23][emoji23][emoji23]
Wote tukiwa na akili Kama zako tutateseka sisi mpaka vizazi vyetu ni uwoga tu na unafiki.Wakiwatetea wao peke yao ndiyo wanakula kisago, hakuna support kutoka kwa wananchi. Na juu yake munawacheka.
Sasa bora mtu aendelee na maisha yake na familia yake mpaka siku yake ya kuondoka duniani ikifika aende zake kimya kimya.
Tutaungana vipi Kama hakuna anayetuunganisha nini kazi ya wanasiasa hasa wa upinzani na wanaharakati.Watanzania tuungane kumtegemea mtu nosense .Naona mtoa mada bado unawaza kichawa,kikoloni.
Tunaidai vipi na kwanjia ganiMtetezi ni wewe mwenyewe achana na hao watu,kila mtu ajue kudai haki zake
Unajikomoa mwenyewe na familia yako kwani wewe upo China si upo Moshi wewe tutakoma soteMuda walipokua wanawatetea mlikua wapi?
Uliunga mkono utetezi au juhudi za chama?
Yaani ningekua "flani" ni kupiga kimyaa na 2025 CCM ijae tena akili iwakae.[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
Kwa hio wewe ulizaliwa ili utetewe? Acha ujingaUkimya umekuwa mkubwa kwa wanaharakati na wanasiasa ,ukimya ambao unashtusha na kutia hofu kubwa...
Kweli kabisaaaNilikua home nimetulia nikisubiri matokeo ya kukalia kimya ujinga. Kumbuka nami nilikua kimya nikijua msalaba tutabea wote ila maumivu yatatofautiana...
Unahakika wabunge waliopo bungeni ndio tumewachagua?Kwani uliowataja hao wote ni wabunge?ubunge umpe mtu mwingine afu kukusemea umuite mtu mwingine[emoji849]
Tanzania,CCM haipendwi lakini hakuna upinzani wa kweli.
Kwa hio kuna watu walikuja Duniani kutetea wengine? Wewe huna mdomo?Kwa aina ya watu Kama wewe ndio maana tunadhalilishwa
Ndio maana yake.Ukimya umekuwa mkubwa kwa wanaharakati na wanasiasa ,ukimya ambao unashtusha na kutia hofu kubwa.
Je, ukimya huu ni kielelezo kuwa Mambo yapo shwari?
Ni Zamu ya Wananchi Kujitetea..Ukimya umekuwa mkubwa kwa wanaharakati na wanasiasa ,ukimya ambao unashtusha na kutia hofu kubwa...
Wewe unauhakika wabunge waliopo bungeni hatukuwachagua?!Unahakika wabunge waliopo bungeni ndio tumewachagua
Nilikua home nimetulia nikisubiri matokeo ya kukalia kimya ujinga. Kumbuka nami nilikua kimya nikijua msalaba tutabea wote ila maumivu yatatofautiana.
baada ya kuwachangia ulowataja wako wapi kwani sa ivi mkuuu🤣🤣🤣 unajua mchango wako ni sehemu ya kubariki yanayotokea sasa, ila pia nilibatiki kaka ka 5k kananiuma.
Wakiwatetea wao peke yao ndiyo wanakula kisago, hakuna support kutoka kwa wananchi. Na juu yake munawacheka.
Sasa bora mtu aendelee na maisha yake na familia yake mpaka siku yake ya kuondoka duniani ikifika aende zake kimya kimya.
Ni Zamu ya Wananchi Kujitetea..
Acha na Wao Wapumzike..
Wameteseka Sana.
Jamani wamechoka na umri unakwenda, hebu jaribuni kubadilisha chombo na dereva, sasa madereva ni hao hao tuu tokea zama za Abunuwasi.
Vyama vya upinzani vinahitaji Damu mpya na changa