Wapo wapi watetezi wa Watanzania, wamesusa au wanalamba asali?

Wapo wapi watetezi wa Watanzania, wamesusa au wanalamba asali?

July 9 : Waandamanaji waliandamana mpaka iikulu na kushinikiza rais ajiuzulu. Wakakaza mpaka wakafanikiwa. Sababu hasa zilikuwa hali ya gharama za maisha kupanda kuepelekea mambo kuwa magumu.

Sisemi na sisi tuige hapana, maandamano yanaweza kuwa ya amani lakin yenye kupeleka ujumbe kwa watawala.

Nchi kibao wamefanikiwa kwenye hili na wananchi wakasikika.
Huku tunashangilia tu kubambikwa mitozo kibao
 
July 9 : Waandamanaji waliandamana mpaka iikulu na kushinikiza rais ajiuzulu. Wakakaza mpaka wakafanikiwa. Sababu hasa zilikuwa hali ya gharama za maisha kupanda kuepelekea mambo kuwa magumu.

Sisemi na sisi tuige hapana, maandamano yanaweza kuwa ya amani lakin yenye kupeleka ujumbe kwa watawala.

Nchi kibao wamefanikiwa kwenye hili na wananchi wakasikika.

Yamefanyika haya huko bila uongozi wa mtu yeyote? Unapaonaje hapa mkuu kuwa pa kuanzia?

Muda wa mapinduzi vyamani ni sasa
 
Ukisema kipindi ambacgi hakuna umeme wa uhakika, hakika nakushangaaa sana sana sana!!!

Umekuwa muongo zaidi ya shetani mwenyewe
Matangazo pia huyaoni ndugu
793983795.jpg
 
Kwani uliowataja hao wote ni wabunge?ubunge umpe mtu mwingine afu kukusemea umuite mtu mwingine🙄

Tanzania,CCM haipendwi lakini hakuna upinzani wa kweli.
Wapinzani wa kweli ila hakuna mtanzania jasiri, nchi zilizofanya mapinduzi ni vyama vya upinzani vilisaidia au ni raia wenyewe?

Mapinduzi ya kweli yanapaswa kuwa kwa mtaz wala si vyama. Acha tuvune uoga wetu maana hakuna jinsi
 
Mpaka akili zikae sawa
Hakuna cha akili kukaa sawa wala nini. Hakuna movement bila viongozi tena viongozi wa maana.

Tusilaumiane: Wako wapi kina Nyerere, Maalim Seif, Mtikila, Julius Malema au kina Tutu

Waliokuwa JKNIA au Kiluvya ni wafuasi. Hao hao ndiyo wa "join the chain" na hata waliowatoa hadi kina Bulaya mbaroni.

Labda mkuu wewe ni kipi ulichofanya zaidi kudhani kadamnasi hiyo hapo juu ingali akili zake hazimo sawa?

Si kuwa walioko madarakani tunapaswa kuwaomba kuachia ngazi au kuwafurusha kama hawafai?
 
Hakuna cha akili kukaa sawa wala nini. Hakuna movement bila viongozi tena viongozi wa maana.

Tusilaumiane: Wako wapi kina Nyerere, Maalim Seif, Mtikila, Julius Malema au kina Tutu

Waliokuwa JKNIA au Kiluvya ni wafuasi. Hao hao ndiyo wa "join the chain" na hata waliowatoa hadi kina Bulaya mbaroni.

Labda mkuu wewe ni kipi ulichofanya zaidi kudhani kadamnasi hiyo hapo juu ingali akili zake hazimo sawa?

Si kuwa walioko madarakani tunapaswa kuwaomba kuachia ngazi au kuwafurusha kama hawafai?
Jamaa hawajui shida za wananchi wanashindana kununua v8 tupu
 
Ukimya umekuwa mkubwa kwa wanaharakati na wanasiasa ,ukimya ambao unashtusha na kutia hofu kubwa.

Leo hii yupo wapi Zitto Kabwe tuliyemzoea kukosoa serikali kwa hoja zenye mashiko, yupo wapi Freeman mbowe na tindu lissu wasemaji hodari wa kuwasemea wanachi pale Mambo serikalini yanapoenda mrama, wapo wapi wale wakereketwa wa CCM waliokuwa wanamshambulia mwenda zake na serikali yake kipindi Mambo yalipokuwa hayaeleweki wapo wapi wale wakina kigogo 2014 na Mange Kimambi watu waliokuwa wakifichua maovu ya serikali ya awamu ya tano, vipi Tweeter ya kina chaali na wapazaji sauti wengine mbona kimya hapa jamii forum hatuwasikii Tena kina mzee Mwanakijiji na Faizafox.

Je, ukimya huu ni kielelezo kuwa Mambo yapo shwari?

Au ukimya huu ni kwamba watu wamechoka kuongea ukweli na wamesusa Sasa kila mtu apambane na hali yake?

Au ukimya huu ni kwamba wamefungwa midomo kwa kupewa asali warambe?

Kipindi ambacho ufisadi na ubadhilifu upo waziwazi, kipindi ambacho tozo zimepitiliza, kipindi ambacho vitu vimependa bei kupitiliza, kipindi ambacho uchumi wa nchi umeshuka sana, kipindi ambacho miradi mikubwa imesimama, kipindi ambacho umeme wetu sio wa uhakika, kipindi ambacho tunakopa hela kupitiliza, kipindi ambacho matumizi ya serikali ya mekuwa makubwa kuliko makusanyo, kipindi ambacho wenye nacho wanaongezewa na maskini wanapokonywa hadi kidogo walichonacho, kipindi ambacho wamachinga wananyanyaswa.

Je, ni sahihi watu tunaowategemea watusemee kukaa kimya je ukimya huu na kutokupaza sauti ni kwamba hawayaoni yanayoendelea au wameridhika na machozi ya Watanzania kila kukicha. Nani wakutusemea wananchi wanyonge tumebaki kulalamika tu nani wa kukosoa utendaji mbovu wa serikali nani wa kumwajibisha waziri wa nishati na waziri wa fedha kwa utumbo wanaotufanyia Nani wa kukemea ubadhilifu yupo wapi au tukamfufue magu?[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kazi iendelee. Mitano Tena 💪
 

Attachments

  • IMG-20220831-WA0349.jpg
    IMG-20220831-WA0349.jpg
    52.6 KB · Views: 3
Wakiwatetea wao peke yao ndiyo wanakula kisago, hakuna support kutoka kwa wananchi. Na juu yake munawacheka.

Sasa bora mtu aendelee na maisha yake na familia yake mpaka siku yake ya kuondoka duniani ikifika aende zake kimya kimya.
Safi kabisa,
Huwezi kutetea kitu ambacho hakijitambui.
 
Kwanini wewe na mumeo msiwe wapinzani wa kweli mkuu?
Huna nia nzuri na Mimi mkuu,unataka nivunjwe kiuno?!mi naupenda UGALI,au watoto wangu utanilelea wewe?😁

Siko tayari kufa kwa ajili ya Tanzania,Kama inapasuka wacha ipasuke
 
Back
Top Bottom