Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,497
- 3,823
Nakubaliana na wewe,lakini vyama vinaundwa na wananchi,Wananchi waoga huunda vyama dhaifu,visvyoweza kushindana katika uchaguzi,vyama vyenye wanachama wanaonunulika kirahisi na CHAMA tawala.Wapinzani wa kweli ila hakuna mtanzania jasiri, nchi zilizofanya mapinduzi ni vyama vya upinzani vilisaidia au ni raia wenyewe?
Mapinduzi ya kweli yanapaswa kuwa kwa mtaz wala si vyama. Acha tuvune uoga wetu maana hakuna jins
Nakubaliana na wewe,lakini vyama vinaundwa na wananchi,Wananchi waoga huunda vyama dhaifu,visvyoweza kushindana katika uchaguzi,vyama vyenye wanachama wanaonunulika kirahisi na CHAMA tawala.
Vyama dhaifu huzaa wananchi dhaifu wasoweza kufanya MAPINDUZI na kinyume chake Ni kweli.
Hapana mkuu mi siyo mmoja wao Ila sitaki kushikiwa akili zangu na hawa wanasiasa,iwe Ni wa CCM au CHADEMA!Pana jamaa pale kijitonyama hii ndiyo speciality yao sasa:
Tuwatambue wanaohaha kutusambaratisha kama Taifa
Wewe ni mmoja wao mkuu?
Ndugu yangu, kusubiri mwanaharakati, wanasiasa na siku hizi hata mbunge wako ambaye unadhani anawasilisha maslai ya wananchi wake bungeni ni kujidanganya! Hao wanasiasa uliowataja kuwa walikuwa makini kupaza sauti zamani ukumbuke pia serikali inawapa luzuku ya kuendesha vyama vyao, sasa.. unategemea nini? Inafikirisha eenhe! Mteteze wa wananchi katika haya yanayoendelea ni mtanzania mwenyewe (serikali ni wewe) na sheria mama ambayo hili nalo ni jipu! ikifika muda wa wewe kufanya maamuzi 2025 mkipewa T-shirt, kofia na vikoi unasahau haya yote!Ukimya umekuwa mkubwa kwa wanaharakati na wanasiasa ,ukimya ambao unashtusha na kutia hofu kubwa.
Leo hii yupo wapi Zitto Kabwe tuliyemzoea kukosoa serikali kwa hoja zenye mashiko, yupo wapi Freeman mbowe na tindu lissu was
Zote,mahakama,maandamano,migomo nkTunaidai vipi na kwanjia gani
Endelea tu kupambana na matatizo ya wakwe na baridi la usiku haya mengine ni kuumiza kichwa!Ndugu yangu, kusubiri mwanaharakati, wanasiasa na siku hizi hata mbunge wako ambaye unadhani anawasilisha maslai ya wananchi wake bungeni ni kujidanganya! Hao wanasiasa uliowataja kuwa walikuwa makini kupaza sauti zamani ukumbuke pia serikali inawapa luzuku ya kuendesha vyama vyao, sasa.. unategemea nini? Inafikirisha eenhe! Mteteze wa wananchi katika haya yanayoendelea ni mtanzania mwenyewe (serikali ni wewe) na sheria mama ambayo hili nalo ni jipu! ikifika muda wa wewe kufanya maamuzi 2025 mkipewa T-shirt, kofia na vikoi unasahau haya yote!
Mkuu Mimi Ni miongoni mwa Watanzania wachache walioonja Cha mtema kuni kwenye siasa za kuwa mpinzani!!
Mimi sio mlamba asali!.Hadi wewe unaramba asali mkuu Taifa linakutegemea
Hapana mkuu mi siyo mmoja wao Ila sitaki kushikiwa akili zangu na hawa wanasiasa,iwe Ni wa CCM au CHADEMA!
Wanasiasa wa Tanzania ni wa maigizo Sana aisee,bahati mbaya watu wachache wametutawala tuliowengi.
Mwisho wa wapiga kelele(wapinzani) siku zote Ni mbaya na huishia kuchekwa tuu na wananchi.
Ben saanane,Tundulisu,Mbowe,Mdude,n.k wamesulubiwa pasi na msaada wa wananchi,Siasa Ni Nyoko kwa Tanzania labda uwe chama Tawala.
Simama peke yako pale ulipo! usitegemee mtu akusemee! Hata Mbowe alipofungwa mpo mlioungana na mfumo kumuita gaidi.Ukimya umekuwa mkubwa kwa wanaharakati na wanasiasa ,ukimya ambao unashtusha na kutia hofu kubwa.
Leo hii yupo wapi Zitto Kabwe tuliyemzoea kukosoa serikali kwa hoja zenye mashiko, yupo wapi Freeman mbowe na tindu lissu wasemaji hodari wa kuwasemea wanachi pale Mambo serikalini yanapoenda mrama, wapo wapi wale wakereketwa wa CCM waliokuwa wanamshambulia mwenda zake na serikali yake kipindi Mambo yalipokuwa hayaeleweki wapo wapi wale wakina kigogo 2014 na Mange Kimambi watu waliokuwa wakifichua maovu ya serikali ya awamu ya tano, vipi Tweeter ya kina chaali na wapazaji sauti wengine mbona kimya hapa jamii forum hatuwasikii Tena kina mzee Mwanakijiji na Faizafox.
Je, ukimya huu ni kielelezo kuwa Mambo yapo shwari?
Au ukimya huu ni kwamba watu wamechoka kuongea ukweli na wamesusa Sasa kila mtu apambane na hali yake?
Au ukimya huu ni kwamba wamefungwa midomo kwa kupewa asali warambe?
Kipindi ambacho ufisadi na ubadhilifu upo waziwazi, kipindi ambacho tozo zimepitiliza, kipindi ambacho vitu vimependa bei kupitiliza, kipindi ambacho uchumi wa nchi umeshuka sana, kipindi ambacho miradi mikubwa imesimama, kipindi ambacho umeme wetu sio wa uhakika, kipindi ambacho tunakopa hela kupitiliza, kipindi ambacho matumizi ya serikali ya mekuwa makubwa kuliko makusanyo, kipindi ambacho wenye nacho wanaongezewa na maskini wanapokonywa hadi kidogo walichonacho, kipindi ambacho wamachinga wananyanyaswa.
Je, ni sahihi watu tunaowategemea watusemee kukaa kimya je ukimya huu na kutokupaza sauti ni kwamba hawayaoni yanayoendelea au wameridhika na machozi ya Watanzania kila kukicha. Nani wakutusemea wananchi wanyonge tumebaki kulalamika tu nani wa kukosoa utendaji mbovu wa serikali nani wa kumwajibisha waziri wa nishati na waziri wa fedha kwa utumbo wanaotufanyia Nani wa kukemea ubadhilifu yupo wapi au tukamfufue magu?[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
UnasimamajeNi zamu ya wananchi kusimama wenyewe kujitetea sasa.
sasa mkiambiwa muamke mnavuta mashuka msaidiweje ngoja akili iwakae kazi kupiga kelele mitandaoni.... tokeni tuwsoneUnajikomoa mwenyewe na familia yako kwani wewe upo China si upo Moshi wewe tutakoma sote
Tulipaza sauti ndio akaachiwa umesahau kuweni na shukran nyinyi m bw a wa ufipaSimama peke yako pale ulipo! usitegemee mtu akusemee! Hata Mbowe alipofungwa mpo mlioungana na mfumo kumuita gaidi.
Get the pinch from hot pot dude and wake up!
Mbona hufanyi press conference ukasema ukweli shida nini nyinyi ndio watu tunaowategemea umesahau kipindi Cha magu hadi ukaitwa bungeni na ndugai Yale makali yapo wapi ? Bwana pascoMimi sio mlamba asali!.
P
Mwandishi wa habari afanye press conference?!. Ni kinyume cha maadili!.Mbona hufanyi press conference ukasema ukweli shida nini nyinyi ndio watu tunaowategemea umesahau kipindi Cha magu hadi ukaitwa bungeni na ndugai Yale makali yapo wapi ? Bwana pasco
Wewe Kibaka usiyejulikana upaze sauti wewe>? Dunia ingeshuka mita 1000 chini ya bahari!Tulipaza sauti ndio akaachiwa umesahau kuweni na shukran nyinyi m bw a wa ufipa
Basi hata kuandika huwezi piaMwandishi wa habari afanye press conference?!. Ni kinyume cha maadili!.
P
Hao ni WAHUNI TU ...WALIMPINGA MAGUFULI USIKU NA MCHANA KWA SABABU WANATUMIWA NA MAFISADI YA NJE NAYA NDANI YA NCHIUkimya umekuwa mkubwa kwa wanaharakati na wanasiasa ,ukimya ambao unashtusha na kutia hofu kubwa.
Leo hii yupo wapi Zitto Kabwe tuliyemzoea kukosoa serikali kwa hoja zenye mashiko, yupo wapi Freeman mbowe na tindu lissu wasemaji hodari wa kuwasemea wanachi pale Mambo serikalini yanapoenda mrama, wapo wapi wale wakereketwa wa CCM