Mchawi mpe mtoto akulelee wewe mjini.EL ni fisadi wa ukweli Ila wa kumfunga hayupo,hata huyu bush man wenu anayejitapa kupambana na ufisadi kwa EL kapiga magotiHakuna aliyeboa kama Tundu Lissu, kabisa alikuwa anatuambia wananchi et kama Lowassa fisadi mbona hajashtakiwa? anatumbia twende mahakamani.
Sema mama Ndalichako msanii sana atanavopepetaga mdomo wake unajua kabisa huu ni uongo
Ilikuwa Mbowe ndio kawaaminisha hivyo. Lakini hapa full squad ya CCM na serikali ndio inasema hivyo ikipingana na maneno ya Msukuma kuwa "ameji..."Ila hawamfikii Mbowe na team yake kuwaaminisha wananchi kuwa Lowasa hafai halafu na kuwaaminisha Tena anafaa
Milioni sita na zaidi kidogo ya wakazi wote wa Dar including watoto na wazee.Huyu jamaa sijui ccm walimtoa wapi?Tangu aingie madarakani alikuta nchi ina wafanyakazi wasio zidi laki tano na mpaka saivi bado kuna wafanyakazi hao hao laki tano. Hilo moja mbili ni miradi ipi hiyo mikubwa ambayo inauwezo wa kutoa hizo ajira zaidi ya milioni sita? Hivi idadi ya watu zaidi ya milioni sita wewe unaichukuliaje kwa mfano yaani?
Mbowe kazidi sana umchafue lowasa halafu umsafishe halafu umuuzie nafasi kugombea uraisi!!! Msigwa anashika nafasi ya pili emedanganya kuhusu kinana mpaka akanukuu vifungu vya bibilia halafu akaita waandishi na kumuomba radhi,Ilikuwa Mbowe ndio kawaaminisha hivyo. Lakini hapa full squad ya CCM na serikali ndio inasema hivyo ikipingana na maneno ya Msukuma kuwa "ameji..."
Nani sasa watakuwa waongo hapo?
Ajira rasmi pekee umeona Madaktari 1000 juzi wakiajiriwa pia kumbuka majeshi ya ulinzi na Usalama wanaajiri na wao hawawezi kuweka idadi yao hadharani saana labda uamua kuzitafuta.Tangu aingie madarakani alikuta nchi ina wafanyakazi wasio zidi laki tano na mpaka saivi bado kuna wafanyakazi hao hao laki tano. Hilo moja mbili ni miradi ipi hiyo mikubwa ambayo inauwezo wa kutoa hizo ajira zaidi ya milioni sita? Hivi idadi ya watu zaidi ya milioni sita wewe unaichukuliaje kwa mfano yaani?
no 2 aliniacha hoi kuhusu dawa ya madagascar...duh...Ndani ya hii nchi kuna watu wanne ambao wakikwambia jambo basi usilichukue kabla ya kutafuta ukweli wake kwingine.
Watu hao ni
1. Dkt. John Pombe Magufuli.
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Prof. Joyce Ndalichako
4. Paul Makonda
Hao wanaoshindwa kumfunga walikataa huyo jamaa kuwa rais ila hao waliyokuwa wakimpigia kelele za ufisadi ndio walitaka awe rais. Hao ndio wanasiasa.Mchawi mpe mtoto akulelee wewe mjini.EL ni fisadi wa ukweli Ila wa kumfunga hayupo,hata huyu bush man wenu anayejitapa kupambana na ufisadi kwa EL kapiga magoti.
Mkuu kwani ufisadi ni nini?Hao wanaoshindwa kumfunga walikataa huyo jamaa kuwa rais ila hao waliyokuwa wakimpigia kelele za ufisadi ndio walitaka awe rais. Hao ndio wanasiasa.
Acha kutetea ujinga? Watu milioni sita unadhani mchezo? Kwanza tuambie serikali kwa ujumla wake Ina wafanyakazi wangapi?Ajira rasmi pekee umeona Madaktari 1000 juzi wakiajiriwa pia kumbuka majeshi ya ulinzi na Usalama wanaajiri na wao hawawezi kuweka idadi yao hadharani saana labda uamua kuzitafuta.
Aidha Wizara na Halmashauri zimekua zikiajiri pia japo kwa upande huu wa ajira rasmi unaweza kusema idadi sio kubwa Kama ambavyo imefanyika kwenye sekta zisizo rasmi.
Anyways Mkuu anazo data na takwimu nyingi toka kwenye authorized sources kuliko Mimi na wewe hivyo akisema hivyo anaweza kuclaim to be true.
Nadhani shida ya Wabongo mnapendelea alternative facts, nina uhakika Magufuli akiquote Bible bado kuna watu wataenda kuhakikisha kama iko sahihi
Nyamaza!Kweli kabisa hata aki-quote Bibke wapo tutakaofuatilia kama ni kweli, kwani hukumbuki aliposema Daniel alitupwa kwenye tanuru la moto wakati siyo kweli, waliotupwa kwenye tanuru la moto ni Shedrak, Meshak na Abednego.
Duh...!Nyamaza!
Kwamba hao ndio wapiga fix wa kitaifa?
Ongezea na Mchungaji Peter Msigwa maana ni mmbea huyo akishaumbuka kwa umbea anaomba msamaha, pia Zitto Kabwe na yeye kwa umbea hajamboNdani ya hii nchi kuna watu wanne ambao wakikwambia jambo basi usilichukue kabla ya kutafuta ukweli wake kwingine.
Watu hao ni
1. Dkt. John Pombe Magufuli.
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Prof. Joyce Ndalichako
4. Paul Makonda
Ndani ya hii nchi kuna watu wanne ambao wakikwambia jambo basi usilichukue kabla ya kutafuta ukweli wake kwingine.
Watu hao ni
1. Dkt. John Pombe Magufuli.
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Prof. Joyce Ndalichako
4. Paul Makonda