Wapo watu wanne ndani ya nchi hii wakikuambia jambo nenda katafute ukweli kwingine kabla ya kulichukua kama lilivyo!

Wapo watu wanne ndani ya nchi hii wakikuambia jambo nenda katafute ukweli kwingine kabla ya kulichukua kama lilivyo!

Alisema Lowassa katelekeza mtoto. Katengeneza janamke jitu zima lililo tumika vya kutosha eti nalo limetekekezwa. Haya sasa Lowassa karudi CCM akampelekee mtoto wake
huyo namba 5
1. aliwajaza watu/ kinamama wenye shida
2. alileta miguu bandia bila kupima watu ikaishia stoo
3
 
Ndani ya hii nchi kuna watu wanne ambao wakikwambia jambo basi usilichukue kabla ya kutafuta ukweli wake kwingine.

Watu hao ni
1. Dkt. John Pombe Magufuli.
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Prof. Joyce Ndalichako
4. Paul Makonda
Wote wanatoka jamii maskini
 
Ningemwondoa Bashite kwenye orodha hiyo na kumweka Bashiru.

Bashite hana hata hadhi ya kuwa kati ya watu wa kuwasikiliza kwa jambo lolote.

Nchi hii viwango vimeshuka sana, ndio maana tunadaka kila kitu.
Upo sahihi ni jitu la hovyo
 
Ningemwondoa Bashite kwenye orodha hiyo na kumweka Bashiru.

Bashite hana hata hadhi ya kuwa kati ya watu wa kuwasikiliza kwa jambo lolote.

Nchi hii viwango vimeshuka sana, ndio maana tunadaka kila kitu.
Kwa basihite ni kwamba, rais ashampa mamlaka ya ku issue death warants.
 
Ndani ya hii nchi kuna watu wanne ambao wakikwambia jambo basi usilichukue kabla ya kutafuta ukweli wake kwingine.

Watu hao ni
1. Dkt. John Pombe Magufuli.
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Prof. Joyce Ndalichako
4. Paul Makonda

Na yule mlevi ndio wa kuamika?
IMG_0430.jpg
 
Huyo namba moja ni balaa sana juzi kasema tangu aingie madarakani kazalisha ajira milioni sita na zaidi.

Ajira milioni sita kwa tz hii saivi kusingekuwepo na vijana wanalialia huku Mtandaoni kutafuta ajira.
Nilikua najaribu kutafakari hapa nikagundua No. Moja sio Muongo bali wewe ndio huelewi.

Fanya mahesabu ya wafanyakazi wa lioajiriwa moja kwa moja na wale wa muda katika miradi yote inayoendelea nchini.
 
Nilikua najaribu kutafakari hapa nikagundua No. Moja sio Muongo bali wewe ndio huelewi.

Fanya mahesabu ya wafanyakazi wa lioajiriwa moja kwa moja na wale wa muda katika miradi yote inayoendelea nchini.
Tangu aingie madarakani alikuta nchi ina wafanyakazi wasio zidi laki tano na mpaka saivi bado kuna wafanyakazi hao hao laki tano. Hilo moja mbili ni miradi ipi hiyo mikubwa ambayo inauwezo wa kutoa hizo ajira zaidi ya milioni sita? Hivi idadi ya watu zaidi ya milioni sita wewe unaichukuliaje kwa mfano yaani?
 
Ndani ya hii nchi kuna watu wanne ambao wakikwambia jambo basi usilichukue kabla ya kutafuta ukweli wake kwingine.

Watu hao ni
1. Dkt. John Pombe Magufuli.
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Prof. Joyce Ndalichako
4. Paul Makonda
Yaani hawa ni waongo kupindukia!

Sisi wanadamu ni waongo ila hawa ni bonafides!
 
Ndani ya hii nchi kuna watu wanne ambao wakikwambia jambo basi usilichukue kabla ya kutafuta ukweli wake kwingine.

Watu hao ni
1. Dkt. John Pombe Magufuli.
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Prof. Joyce Ndalichako
4. Paul Makonda
Hawa watu mmmhhhh
 
Jina la pili la Daniel unalijua? Mwandishi wa habari za tukio hilo ni nani kwenye Bible?
Maswali yako wala hayana uhusiano na nilichosema. Daniel alipewa jina la Belteshaza na mkuu wa Matowashi. Nani mwandishi wa tukio siyo issue hapa, Ukweli ni kwamba Daniel hakuwepo kati ya waliotupwa kwenye tanuru la moto.
 
Ndani ya hii nchi kuna watu wanne ambao wakikwambia jambo basi usilichukue kabla ya kutafuta ukweli wake kwingine.

Watu hao ni
1. Dkt. John Pombe Magufuli.
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Prof. Joyce Ndalichako
4. Paul Makonda
Na uongo wao ni kishambashamba HIV kama watoto wanavyodanganyana😁😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom