Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Shida ninayoiona kwako na hilo linatokana na vyuo ulivyosomea hujui kutofautisha kati ya umbeya na ukweli. Ndiyo maana mpaka leo unaaminishwa kwamba Tanzania ina uchumi wa kati nawe unakenua na kukata mauno kama zuzu. HovyooooOngezea na Mchungaji Peter Msigwa maana ni mmbea huyo akishaumbuka kwa umbea anaomba msamaha, pia Zitto Kabwe na yeye kwa umbea hajambo