Shida ninayoiona kwako na hilo linatokana na vyuo ulivyosomea hujui kutofautisha kati ya umbeya na ukweli. Ndiyo maana mpaka leo unaaminishwa kwamba Tanzania ina uchumi wa kati nawe unakenua na kukata mauno kama zuzu. Hovyoooo
NOT, amesema ni kipindi chake cha mwisho ila ni wajinga tu watakaomuamini. Kwa mfano asipoimaliza miradi mikubwa unadhani atatoka? Na marafiki zake kina Kagame/ Museven ambao tangu enzi hizo "WAPO"
Duh, ila ka Kabudi bwana! Huwa kananifurahisha kanavyotoaga macho aisee! Dah, dada Ndalichako yeye aliniua na kile Kiingereza cha professeur "I will put you insaidi"